Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamesharudisha baada ya hutuba ya jakaya kupitia Je , ni Bahati mbaya AU walipanga iwe hivyoWakati zamu ya jakaya inafika Kwa ajili ya kutoa Pole, Tanesco wamekata umeme 😲
Mi chawa ya CCM hiyo kaka, ikale wapi? Hapo kashaweka kibindoni hela kibao afu anajidai eti anamlilia Lowassa kha!!Mpoto tayar ameanza kubwabwaja imenibidi ni mute, si pendi kusikiliza wanafiki
Mpoto tayar ameanza kubwabwaja imenibidi ni mute, si pendi kusikiliza wanafiki
Enyi watu! Kwa hakika tumekuumbeni (nyote) kwa (yule) mwanaume (mmoja, Adamu) na yule yule) mwanamke (mmoja Hawaa). Na tumekufanyeni mataifa na makabila (mbalimbali) ili mjuane (tu basi, siyo mkejeliane). Hakika aheshimiwaye sana miongoni mwenu mbele ya Mwenyezi Mungu ni yule ambaye mcha Mungu zaidi katika nyinyi. Kwa yakini Mwenyezi Mungu ni Mjuzi, Mwenye habari (za mambo yote)". (49:13).Unaposema lala salama, RIP, pumzika kwa amani n.k haifanyi mabadiliko yoyote ya hukumu yake mbele ya Mungu.
Baada ya kifo ni hukumu, apandacho mtu ndicho avunacho, ukipanda mema utavuna mema, ukipanda mabaya utavuna mabaya.
Kipi cha msingi? Pesa au heshima?Heshima ya watu kwa Mpoto imeshuka kwa kasi sana, Mpoto wa mjomba sio huyu wa leo.
Lakni pesa anapata!
Kipi cha msingi? Pesa au heshima?
Lowassa alikua na tamaa alafu mjeuri sana + madharau mobHakuna mnafiki, kama umemsikiliza Warioba vizuri amesema Lowasa aliwekewa vikwazo na mowamo wa kuwa rais hata na baba wa taifa mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Mungu hakutaka Lowasa awe rais, hivyo hawa akina Nyerere na Kikwete walitumika tu.
Ni ujinga kumlaumu Yuda kwa kumsaliti Yesu wakati ilikuwa ni mpango wa Mungu.
Serious? Embu jiongeze mkuu.Wamesharudisha baada ya hutuba ya jakaya kupitia Je , ni Bahati mbaya AU walipanga iwe hivyo
Wizara zote ikiwemo ya ujenzi zipo chini ya serikali, Kiongozi mkuu wa serikali ni raisi. EL hajawahi kuwa raisi wa JMT. Jiongeze mkuu.Mtoto wa EL Fred, anasema Udom wanaombeleza. Huku jk anasemaga yeye ndio aliye Jenga Udom patamu apo 😂