Shughuli yote nzuri ya kilele Cha Simba day imetiwa dosari na uletaji wa jeneza uwanjani

Maana yake. Ni Nini Sasa kinyago ndo kimekufa au vp
 

Kuna hadi movie zinaigizwa ma Padri wakifanya tendo la ndoa na ma sister tena nyingi na kila siku zinatoka
 
Khaaaaaaaaah, sasa jeneza ni ushirikina??? Serious??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unavurugwa vibaya siku hizi. Umepatwa na nn??

Byuti byuti
Subiri tu kumwagiwa mrembo wa pori
 
Kuna wacheza sinema za wakubwa huvaa kross nenda ukapigane nao,acha kukaza fuvu hapa.
 
Tofautisha hii ya Simba na ya Yanga

Yanga ilikuwa kwenye mechi yao na sba


Lkn simb wameleta siku ambayo siyo mechi na Yanga maana yake

Wamezika timu zote za ligi kuu Kwa kuwa ni ufunguzi wao wa kuanza msimu

Ingekuwa kwenye mechi zao tungesema ni ushabiki hili lilipangwa kabisa ndiyo maana ya hawazuiliki

Umenipata
 
Mleta mada chuki ya udini inakutafuna,ungeleta thd kukemea hilo tukio bila kuingiza dini zingine,kidogo ungeonekana upo timamu,ila unasasambua tu hapa kuingiza dini zingine.
 
Huyo mwenye akaunti hiyo ni shoga na sio Kilaini tunayemjua.
Mwambieni akatubu kwa baba askofu Kilaini kutumia jina lake bila ridhaaa.
Kama anapenda ukoo wa Kilaini aende akaolewe na ndugu wa baba askofu Kilaini.
 
kilaini wa mchongo. uto bhana...
 
Huyo mwenye akaunti hiyo ni shoga na sio Kilaini tunayemjua.
Mwambieni akatubu kwa baba askofu Kilaini kutumia jina lake bila ridhaaa.
Kama anapenda ukoo wa Kilaini aende akaolewe na ndugu wa baba askofu Kilaini.
Acheni dhihaka na dini za watu.
 
Ukweli hakuna shida yoyote kwenye hilo jeneza na wala haihusiani na kudhihaki dini bali ni mfano wa kuizika Yanga Case closed!
 
Mleta mada chuki ya udini inakutafuna,ungeleta thd kukemea hilo tukio bila kuingiza dini zingine,kidogo ungeonekana upo timamu,ila unasasambua tu hapa kuingiza dini zingine.
Nimeuliza swali rahisi tu, wangetumia lile jeneza lenu la msikitini na kushika tasbihi msingeingia barabarani?
 
Huo ni Uzushi.Hiyo siyo account ya Kilain.Mchezo wa majeneza na msalaba walianza Yanga.Kilaini hawezi kuandika upupu
Mbona hata kwenye movie watu wanaigiza hadi makanisani?
 
Nimeuliza swali rahisi tu, wangetumia lile jeneza lenu la msikitini na kushika tasbihi msingeingia barabarani?
Unarudia upumbavu wako ule ule,cha ajabu unaweza kukuta ww ni mtu na ndevu zake kabisaa.
 
.
Huyu msanii ni chenga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…