Shughuli za kuandaa katiba ya EAC zaanza huku Tanzania ikiendelea kununa

Acha ukasuku wako wewe, soma taarifa kwanza ndio uje na hizi porojo zako. Tafuta mtu wa kukutafsiria acha kujiabisha. Mada ni kuhusu political confedaration, federation ilitupiliwa mbali zamani sana.
 
Acha ukasuku wako wewe, soma taarifa kwanza ndio uje na hizi porojo zako. Tafuta mtu wa kukutafsiria acha kujiabisha. Mada ni kuhusu political confedaration, federation ilitupiliwa mbali zamani sana.
Pombavu wewe, soma huu Uzi unazungumza kuhusu katiba ya Political federation, akili zenu ni ndogo sana ninyi.
 
Onyesha wapi Kenya, Rwanda na Tanzania walikataa federation wakati hapa wanazunhumzia Federation. Ninyi wakenya mpo na matatizo ya akili sana. Huwa hamna uwezo wowote wa kufikiria badala yake unazungumza vitu kutoka Kichwani mwako, hovyo kabisa wewe jamaa. Ndio sababu njaa, ukabila na rushwa havitokwisha kutokana na akili zenu ndogo.
 
Huoni aibu kutumia toothpick na vijembe vya kenya...
 
Kweli kabisa...mi ukizingua kazini ifikapo siku ya kikao nakuanika...mambo ni km hayo...waeza kuta jamaa ni msela wako mwacheka pamoja lkn kikaoni anaamua kuku kaanga kweupe mpka aibu nakwambia...then mkishatoka nje ukimuuliza jamaa yakwambia "kwn nilichokisema ni uongo, badilika bana tuchape kazi"
 
We mbona unaandika kwa accent ya kibongo kabisa.... Acha kutuektia..... Wakenya wanajulikana...
 

Pamoja na hayo yote unayodai ni uwazi ila kenya ndio nchi pekee ambayo kila kiongozi ni Mwizi na Wengi wao Ni drug dealers kama yule wa Nairobi,
Halafu 90% ya Viongozi wote wanatoka kabila moja,
Huo kuanikana imewasaidia nini?
Halafu sioni sababu ya wewe kuanika chuki zako dhidi ya burundi kwa kusema ni Wavivu na Masikini ikiwa kenya pia ni Masikini kama Burundi tu,
Hizo ni chuki za kikenya na hazikubaliki, Hata Walioendelea kama Uingereza hawawezi kuisema Burundi namna hiyo,
Sisi huku hatuishi kama wanyama the way you do,
Mjifunze ustaarabu mkiwa sawa mje tuyajenge. Simple.
 
Ndio lakini sio unawaambia wenzako subirini hapo nakuja kisha unajificha ficha, huo sio udume, piga kifua ngumi ambia wenzako naridhia muondoke wenyewe nitawafuata baadaye.

Kwani mnalazimishwa? Si muendelee na mambo yenu mazee[emoji2]
Au Njaa imewapanda Vichwani
 

Hehehe!! Sijaona hata siku moja ukiandika zaidi ya sentensi moja kwa ulivyo mvivu, hongera naona imekugusa hadi umejitutumua na kuandika insha.
Ukweli unabaki pale pale kwa nilichokisema na nitakisema hadi mchana uishe kwamba nyie ni wavivu wa kutupwa kuleee na mumewaambukiza Warundi uzembe wenu huo.
Kuambiwa ukweli ndio hulka ya Kikenya, unaambiwa kama ilivyo hufichwi.
 
Heri uvivu kuliko kuwa na akili ndogo, huo ndio ukweli wa wakenya.
 
Hahahaaa! πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Kama nakuona vile ulivyonuna kwa kuwa Tanzania imenuna! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Hata hivyo, kununa siyo jambo zuri...
 
Nilimwambia jana akishaacha chuki zake ndo aje kudai EA community.
 
Wacha weeee!!!toothpick pia mnaagiza...tena unajipiga kifua..duh!!ldc bwana
Tunatumia toothpick kutoka China Sijawah kutana na ya kenya.
Mtu anaweza survive bila toothpick ila bila chakula hawezi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…