Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
mishumaa ni hatari sana imeshasababisha majanga kama hayo mengi sana. ndio maana siku hizi wenye nyumba wengi wanapiga marufuku matumizi yas mishumaa baada ya koroboi za mchina kuwa nyingi
Nafahamu mkuu madhara yake...ila huyo jamaa sio kuwa anatupanga tu?
Chanzo cha moto waliopaswa kukitaja ni jeshi la polisi/zimamoto...