Shuhuda: Chanzo cha moto soko la Karume ni mateja, waliangusha mshumaa wakati wanatengeneza mihadarati

Shuhuda: Chanzo cha moto soko la Karume ni mateja, waliangusha mshumaa wakati wanatengeneza mihadarati

Ndio hapo sasa, na mshumaa hadu unaanguka chini yeye akawa anauangalia tu? Hadi soko linaungua?
Alipambana
Screenshot_20220118-102022_Instagram.jpg
 
Muda huo shuhuda huyo alikuwa wapi!! Huyu jamaa wala siyo mfanyabiashara ni type ya yule mwandishi aliyefariki kwenye mazishi akaagwa kijeshi anajaribu kutengeneza mazingira ya kuonyesha siyo serikali iliyohusika na uchomaji wa soko kama watu wengi walivyodai
tupe ushahidi how serikali imehusika au ndio ma speculation uonekane mjanja kijiweni
 
Na huyo shuhuda aliyeshuhudia hapo clouds, nae ni teja?
yeye sio teja ila ni mmoja wa watu walioenda kutoa msaada, naamini wkati wanafanya juhudi hizo ndio wakaambiwa na mateja kwamba mshumaa ulidondoka,inawezekana kabisa mateja walisinzia kidogo si unajua mambo ya kuranduka!!!
 
yeye sio teja ila ni mmoja wa watu walioenda kutoa msaada, naamini wkati wanafanya juhudi hizo ndio wakaambiwa na mateja kwamba mshumaa ulidondoka,inawezekana kabisa mateja walisinzia kidogo si unajua mambo ya kuranduka!!!
Kwahiyo hao mateja ni mataahira kiasi cha kutozima moto wa mshumaa waliouona ukidondoka tena wakiwa usingizini kwenye ndoto, ila bado huko huko ndotoni wakaweza kuuona ukidondoka na kuunguza soko, ila ni smart kiasi cha kuwaamini wanapotoa ushuhuda juu ya mshumaa na yeye akawaamini, si ndio? Kiasi hata kama hao mateja walipewa pesa kidogo by who knows who ili wakachome, hiyo shaka iondoke kabisa, tusitilie shaka maelezo yao, si ndio?
 
Cloudsfmtz "Chanzo cha moto ni mateja ambao tupo nao sokoni Karume ambao wao wanajihusisha na kuuza viatu , unajua pale sokoni kuna moja ya banda ambalo wao huwa wanalitumia kutengeneza mihadarati yao ambayo huwa wanatumia mishumaa kuitengeneza na siku hiyo mshumaa ulianguka na kuanza kuungua " Thomas Benedicto , Mfanyabiashara na shuhuda wa moto soko Karume #PowerBreakFastView attachment 2085884
Sawa, lkn soko halina ulinzi? Moto, sababu ya giza usiku, rahisi kuuona
 
Cloudsfmtz "Chanzo cha moto ni mateja ambao tupo nao sokoni Karume ambao wao wanajihusisha na kuuza viatu , unajua pale sokoni kuna moja ya banda ambalo wao huwa wanalitumia kutengeneza mihadarati yao ambayo huwa wanatumia mishumaa kuitengeneza na siku hiyo mshumaa ulianguka na kuanza kuungua " Thomas Benedicto , Mfanyabiashara na shuhuda wa moto soko Karume #PowerBreakFastView attachment 2085884
Kama inajulikana kuna mateja, na wanaachwa, kwanini tuwachangie sasa?
 
Back
Top Bottom