mishumaa ni hatari sana imeshasababisha majanga kama hayo mengi sana. ndio maana siku hizi wenye nyumba wengi wanapiga marufuku matumizi yas mishumaa baada ya koroboi za mchina kuwa nyingi
Naona "Mateja" wanawatetea "Mateja", ni mwendo kuteteana.Cloudsfmtz "Chanzo cha moto ni mateja ambao tupo nao sokoni Karume ambao wao wanajihusisha na kuuza viatu , unajua pale sokoni kuna moja ya banda ambalo wao huwa wanalitumia kutengeneza mihadarati yao ambayo huwa wanatumia mishumaa kuitengeneza na siku hiyo mshumaa ulianguka na kuanza kuungua " Thomas Benedicto , Mfanyabiashara na shuhuda wa moto soko Karume #PowerBreakFastView attachment 2085884
Swali zuri sana hiloMhuni huyo kwanini wakati unaanza kuwaka asiuzime kama alishuhudia? asilete janja janja hapa
Unashangaa nini! Kijiti kimoja cha kibiriti kinaweza kuunguza kijiji chote.Duh! kwa hiyo mshumaa tu ndio ulisababisha balaa lote lile?
Why not, mishumaa imashauwa watu baada ya kusahauliwa na kuchoma makaperti.Duh! kwa hiyo mshumaa tu ndio ulisababisha balaa lote lile?
Clouds Fm ni tawi la CCM, hapa wanatumia Watu kujikosha, si tume imeshaundwa, atulie uchunguzi ufanyike. Clouds na TBC usiziamini kamweCloudsfmtz "Chanzo cha moto ni mateja ambao tupo nao sokoni Karume ambao wao wanajihusisha na kuuza viatu , unajua pale sokoni kuna moja ya banda ambalo wao huwa wanalitumia kutengeneza mihadarati yao ambayo huwa wanatumia mishumaa kuitengeneza na siku hiyo mshumaa ulianguka na kuanza kuungua " Thomas Benedicto , Mfanyabiashara na shuhuda wa moto soko Karume #PowerBreakFastView attachment 2085884
Mshumaa huo ulidondoka huku wanaushuhudia tu bila kuuzima?!Duh! kwa hiyo mshumaa tu ndio ulisababisha balaa lote lile?
Huu ushahidi unafikirisha sana, moto umeanza saa 7, hao mateja wakat wanadondosha huo mshumaa huyo shuhuda ye aliangalia tu na asiende kuzima huo mshumaa? Ushuhuda huu km sio wa michongo! Mi acha nishukie hapa japo sijafika kituo changuCloudsfmtz "Chanzo cha moto ni mateja ambao tupo nao sokoni Karume ambao wao wanajihusisha na kuuza viatu , unajua pale sokoni kuna moja ya banda ambalo wao huwa wanalitumia kutengeneza mihadarati yao ambayo huwa wanatumia mishumaa kuitengeneza na siku hiyo mshumaa ulianguka na kuanza kuungua " Thomas Benedicto , Mfanyabiashara na shuhuda wa moto soko Karume #PowerBreakFastView attachment 2085884
Huo mshumaa wakati wanaushuhudia unadondoka, wao wakauangalia tu bila kuuzima?mishumaa ni hatari sana imeshasababisha majanga kama hayo mengi sana. ndio maana siku hizi wenye nyumba wengi wanapiga marufuku matumizi yas mishumaa baada ya koroboi za mchina kuwa nyingi
Mara anadai yeye ni Mlinzi na wakati mwengine anajisahau anasema yeye ni mfanyabiashara. Huu ni Ushuhuda wa MCHONGO na umejaa UHUNIBwana Thomas Benedicto kwanza i guess sio jina lk halisi, lkn je wakati huo yy alikuwa wapi? yy pia ni teja? mateja hufanya haya kwa kujificha yy Benedicto alikuwa amepiga pose wapi kusubiri mshumaa uwe chanzo cha moto huo? Inafikirisha!!!
Ndio mimi nimeuliza swali hilo hilo, kwamba alishuhudia tu mshumaa bila kuuzima au kutoa taarifa?Muda huo shuhuda huyo alikuwa wapi!! Huyu jamaa wala siyo mfanyabiashara ni type ya yule mwandishi aliyefariki kwenye mazishi akaagwa kijeshi anajaribu kutengeneza mazingira ya kuonyesha siyo serikali iliyohusika na uchomaji wa soko kama watu wengi walivyodai