Shuhuda: Chanzo cha moto soko la Karume ni mateja, waliangusha mshumaa wakati wanatengeneza mihadarati

mishumaa ni hatari sana imeshasababisha majanga kama hayo mengi sana. ndio maana siku hizi wenye nyumba wengi wanapiga marufuku matumizi yas mishumaa baada ya koroboi za mchina kuwa nyingi

Nafahamu mkuu madhara yake...ila huyo jamaa sio kuwa anatupanga tu?

Chanzo cha moto waliopaswa kukitaja ni jeshi la polisi/zimamoto...
 
Naona "Mateja" wanawatetea "Mateja", ni mwendo kuteteana.
 
Huu ni upuuzi na ujinga, huyo mtu katumwa na nani akatoe hiyo kauli?'kwanini asisubiri majibu ya ripoti ya tume?

Ukweli umeanza kuwachoma, siri zao zimejulikana, ni wao ndio huchoma hayo masoko moto usiku, huyo kibaraka waliemtuma Clouds apuuzwe.
 
Clouds Fm ni tawi la CCM, hapa wanatumia Watu kujikosha, si tume imeshaundwa, atulie uchunguzi ufanyike. Clouds na TBC usiziamini kamwe
 
Huu ushahidi unafikirisha sana, moto umeanza saa 7, hao mateja wakat wanadondosha huo mshumaa huyo shuhuda ye aliangalia tu na asiende kuzima huo mshumaa? Ushuhuda huu km sio wa michongo! Mi acha nishukie hapa japo sijafika kituo changu

Sent from my TECNO BC2c using JamiiForums mobile app
 
Bwana Thomas Benedicto kwanza i guess sio jina lk halisi, lkn je wakati huo yy alikuwa wapi? yy pia ni teja? mateja hufanya haya kwa kujificha yy Benedicto alikuwa amepiga pose wapi kusubiri mshumaa uwe chanzo cha moto huo? Inafikirisha!!!
Mara anadai yeye ni Mlinzi na wakati mwengine anajisahau anasema yeye ni mfanyabiashara. Huu ni Ushuhuda wa MCHONGO na umejaa UHUNI
 
Ndio mimi nimeuliza swali hilo hilo, kwamba alishuhudia tu mshumaa bila kuuzima au kutoa taarifa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…