FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Ndio hapo sasa, na mshumaa hadu unaanguka chini yeye akawa anauangalia tu? Hadi soko linaungua?Hata soko la kariakoo mateja ndio wameliunguza na mihadarati yao.
Kwa mujibu wa maelezo ya awali moto ulianza kuwaka usiku wa manane, je huyo shuhuda ni kweli alikuwepo eneo la tukio huo usiku wa manane?
Wakati mshumaa unadondoka si aliushuhudia? Wakati unaanza kuunguza akawa anashuhudia tu? Yeye kazi yake kushuhudia tu? Si kuukanyaga uzimike? Au wanauza petrol mule?Unashangaa nini! Kijiti kimoja cha kibiriti kinaweza kuunguza kijiji chote.
AlipambanaNdio hapo sasa, na mshumaa hadu unaanguka chini yeye akawa anauangalia tu? Hadi soko linaungua?
Anasema alipambanaWakati mshumaa unadondoka si aliushuhudia? Wakati unaanza kuunguza akawa anashuhudia tu? Yeye kazi yake kushuhudia tu? Si kuukanyaga uzimike? Au wanauza petrol mule?
Maelezo yamenyooka ni ubishi wa watu tu.Anasema alipambanaView attachment 2085998
si mateja ndugu yangu!?!. mishumaa imeua sana watu ndugu yanguHuo mshumaa wakati wanaushuhudia unadondoka, wao wakauangalia tu bila kuuzima?
Na huyo shuhuda aliyeshuhudia hapo clouds, nae ni teja?si mateja ndugu yangu!?!. mishumaa imeua sana watu ndugu yangu
Sasa kama aliitwa tu, kajuaje ni mshumaa? Na hao waliomuita wako wapi? Na walichukua hatua gani mshumaa ulipodondoka?Anasema alipambanaView attachment 2085998
tupe ushahidi how serikali imehusika au ndio ma speculation uonekane mjanja kijiweniMuda huo shuhuda huyo alikuwa wapi!! Huyu jamaa wala siyo mfanyabiashara ni type ya yule mwandishi aliyefariki kwenye mazishi akaagwa kijeshi anajaribu kutengeneza mazingira ya kuonyesha siyo serikali iliyohusika na uchomaji wa soko kama watu wengi walivyodai
yeye sio teja ila ni mmoja wa watu walioenda kutoa msaada, naamini wkati wanafanya juhudi hizo ndio wakaambiwa na mateja kwamba mshumaa ulidondoka,inawezekana kabisa mateja walisinzia kidogo si unajua mambo ya kuranduka!!!Na huyo shuhuda aliyeshuhudia hapo clouds, nae ni teja?
Kwahiyo hao mateja ni mataahira kiasi cha kutozima moto wa mshumaa waliouona ukidondoka tena wakiwa usingizini kwenye ndoto, ila bado huko huko ndotoni wakaweza kuuona ukidondoka na kuunguza soko, ila ni smart kiasi cha kuwaamini wanapotoa ushuhuda juu ya mshumaa na yeye akawaamini, si ndio? Kiasi hata kama hao mateja walipewa pesa kidogo by who knows who ili wakachome, hiyo shaka iondoke kabisa, tusitilie shaka maelezo yao, si ndio?yeye sio teja ila ni mmoja wa watu walioenda kutoa msaada, naamini wkati wanafanya juhudi hizo ndio wakaambiwa na mateja kwamba mshumaa ulidondoka,inawezekana kabisa mateja walisinzia kidogo si unajua mambo ya kuranduka!!!
Sawa, lkn soko halina ulinzi? Moto, sababu ya giza usiku, rahisi kuuonaCloudsfmtz "Chanzo cha moto ni mateja ambao tupo nao sokoni Karume ambao wao wanajihusisha na kuuza viatu , unajua pale sokoni kuna moja ya banda ambalo wao huwa wanalitumia kutengeneza mihadarati yao ambayo huwa wanatumia mishumaa kuitengeneza na siku hiyo mshumaa ulianguka na kuanza kuungua " Thomas Benedicto , Mfanyabiashara na shuhuda wa moto soko Karume #PowerBreakFastView attachment 2085884
Kama inajulikana kuna mateja, na wanaachwa, kwanini tuwachangie sasa?Cloudsfmtz "Chanzo cha moto ni mateja ambao tupo nao sokoni Karume ambao wao wanajihusisha na kuuza viatu , unajua pale sokoni kuna moja ya banda ambalo wao huwa wanalitumia kutengeneza mihadarati yao ambayo huwa wanatumia mishumaa kuitengeneza na siku hiyo mshumaa ulianguka na kuanza kuungua " Thomas Benedicto , Mfanyabiashara na shuhuda wa moto soko Karume #PowerBreakFastView attachment 2085884