Coutinho zenji
Member
- Aug 11, 2018
- 41
- 56
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Ushuhuda nimepona nguvu za kiume zilizoharibika kwa puunyeto (masterbashion)." 😀😀hahaha heading imenivunja mbavu mkuu
hahaha daaahh mtu unapiga punyeto mpaka unaharibikiwa nguvu za kiume " mambo mengine nikipaji aisee"Ushuhuda nimepona nguvu za kiume zilizoharibika kwa puunyeto (masterbashion)." 😀😀
hahahah.. ni kaugonjwa ujue!.hahaha daaahh mtu unapiga punyeto mpaka unaharibikiwa nguvu za kiume " mambo mengine nikipaji aisee
Brother issue yako it's more of psychological kuliko hata hy sababu uliyosema (punyeto), kwakuwa ulishaskia au kusoma shm mblmbl kuwa punyeto ina madhara ktk performance kitandani so akili yako ikaji turn hvy...ingawa inaweza kuwa kweli lkn sababu kubwa na ya msingi ni saikologia yako, nikupe siri moja...hali kama yako huwatokea wanaume wengi sana, ila suala linakuja pale linapotokea utalibebaje, kuna watu wanachukua demu mkaliiiii na lodge wanalipia kisha akiingia ngoma inagoma kbs, tena unaweza kuta akiwa na nguo zake (mshkaji) kitu kinasoma 4g ila sasa itokee ule wakati wa kuingia katikati na demu ndy keshasaula,,,basi dushe linaanza kusinyaaa. Hapo sasa reaction yako ndy itakayokufanya uweze kupiga mzigo badae kdg, au usipige kbs na kujijengea fear....khs chaputa mkuu....inaweza pita hata miaka 5 lkn iko siku utajihudumia tu amini nachokwambia.Kitu sirejei hiki kaka haijawai kukukuta unamtazama mwenzio kakumiss uume hausimami anakuangalia kwakukuangalia huruma na maneno mazur anakupa utapoa we unaona kama anakudharau anakukejel na akiondoka unapiga sim kila muda isipopokelewa unawaza ushaibiwa kaka acha huu mchezo
Sent using Jamii Forums mobile app
We mbovu tu, kumbe umejiunga chaputa juz tu. Wenzako kabla ya kumla dem tunashtua kimoko akija dem anapigwa vitatu na akiondoka tunapiga puchu kimoko tena.Kitu sirejei hiki kaka haijawai kukukuta unamtazama mwenzio kakumiss uume hausimami anakuangalia kwakukuangalia huruma na maneno mazur anakupa utapoa we unaona kama anakudharau anakukejel na akiondoka unapiga sim kila muda isipopokelewa unawaza ushaibiwa kaka acha huu mchezo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha daah asee kuna watu nimafundi yaani puchu before and after mgegedo wa 3 goals[emoji38] [emoji38] [emoji38]We mbovu tu, kumbe umejiunga chaputa juz tu. Wenzako kabla ya kumla dem tunashtua kimoko akija dem anapigwa vitatu na akiondoka tunapiga puchu kimoko tena
Unayosema ni sawa ila kwangu chaputa ndio ilikua tatizo.Brother issue yako it's more of psychological kuliko hata hy sababu uliyosema (punyeto), kwakuwa ulishaskia au kusoma shm mblmbl kuwa punyeto ina madhara ktk performance kitandani so akili yako ikaji turn hvy...ingawa inaweza kuwa kweli lkn sababu kubwa na ya msingi ni saikologia yako, nikupe siri moja...hali kama yako huwatokea wanaume wengi sana, ila suala linakuja pale linapotokea utalibebaje, kuna watu wanachukua demu mkaliiiii na lodge wanalipia kisha akiingia ngoma inagoma kbs, tena unaweza kuta akiwa na nguo zake (mshkaji) kitu kinasoma 4g ila sasa itokee ule wakati wa kuingia katikati na demu ndy keshasaula,,,basi dushe linaanza kusinyaaa. Hapo sasa reaction yako ndy itakayokufanya uweze kupiga mzigo badae kdg, au usipige kbs na kujijengea fear....khs chaputa mkuu....inaweza pita hata miaka 5 lkn iko siku utajihudumia tu amini nachokwambia.