Uzito wangu unacheza ndani ya 50 - 55 miaka zaidi ya 5 sasa... Niliwahi kuvuka 56 mara moja.. ni namna gani naweza kuongeza uzito wangu angalau ufikie 60kg
Sent using Jamii Forums mobile app
ThanksBasi upo Vizuri .....Hongera ulijitahidi sana aisee....
Baki hapo hapo!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu usisubiri ramadhani Anza leo ... Usiku chakula chako kisiwe na wanga na sukari kwa sana... Funga mwezi mzima halafu ulete mrejesho hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiko ni kitairi...piga magot una kiendesha kwenda mbele unajirudisha nyumaasante je hii hutumikaje
Nimesema na kuchukulia mfano wa mwezi wa ramadhani watu huwa tunakula na kunywa Mara 1 ndani ya masaa 24.Hii ni sahihi ,ila kutokunywa maji hii si sahihi , kwa afya maji ni muhimu sana.
Kwa maoni yangu.
Hehehe unadhani kupungua ni lele mama... Unashangaa mtu kukaa mwez mmoja kufunga. Watu wanafunga miezi na wanadunda..Kwahyo mchana wote natumia maji tu au haata maji NO!..
Mzee umenikumbusha nilipata shida sana kutoa tumbo la chiniTumbo la chini kulitoa linahitaji uvumilivu mno....Yan kwa hizo kilo zako na height tumbo la chini hukupaswa kuwa nalo..
Fanya mazoezi ya tumbo kwa muda mrefu takribani mwezi mzima hvi..asubuhi na jioni kila siku..
Kazania hayo mazoezi kwa muda mrefu kama ukiweza kimbia ama ruka kamba kwa uchache ili usipungue kilo sana,Lengo liwe tu kutoa tumbo la chini...
Pale utakapoona maumivu endelea usiache mazoezi ya tumbo japo ukweli yanahitaji uvumilivu..
Usile sana vyakula vya mafuta kila siku...kula tu mara moja moja inapobidi...
Thank me later!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ukikosea ufanyaji lazima usumbuliwe na kiuno na hii sidhani kama ni sahihi kwa mtu mwenye kitambi kikuuubwa kutumia kwa sababu hyo inakaza misuli kwa mtu ambae tumbo lake limelegea legea na sio kubwa inamfaa.
Sijawai kupunguza au kuongeza huu uzito wa Kilo 68Kg
mkuu kiwanjani wapi huko, nami nijeKweli mkuu...ahsante kwa kuliona hilo...nafurahi pia niliwasaidia na wenzangu kupunguza unene...kwa mazoez kuna jamaa angu alikuwa aenda gym miezi sita...kuna siku nilimuuliza unahitaji kupungua?...akanambia ndio...nkamuambia tukutane kiwanjani saa 12 asubuhi...leo hii kawa kimodo[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona BMI yako inacheza between 18.8 na 20.7 ambayo ni normal.
View attachment 1350279
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahyo kama bmi ni normal there is no need kuongeza weight.. najiona niko skinny
Sent using Jamii Forums mobile app
Anza kuruka kamba, ukiongeza muda wa kuruka kadri unavyozoeaNina urefu wa sentimita 167 uzito wangu ni 70 kg najiona mzito sana . Je nifanyaje nipungue nashindwa sana sana kufanya mazoezi deily.