Shuhuda za waliowahi kukutana kupitia JF

Shuhuda za waliowahi kukutana kupitia JF

Kwanini umebold Uzi wako? Yan ni kama vile unatufokea na kutulazimisha tutoe shuhuda wakati we mwenyewe hujatoa.

Edit Uzi wako, weka ushuhuda wako tuone mfano then wachangiaji tuendelee
😂😂😂
 
Hapana mdau, iv ukiandika barua then heading uka bold mean unamfokea msomaji ? Assume barua ni ya kuomba kazi au una request kitu kwa head wako kazin .... Bolding does not mean commanding language
Weeewweeeeee acha upotolo, barua ya maombi ya kazi umei bold kuanzia anwani Hadi your sincerely, Nani atakupa kazi??
Kemea pepo Hilo la Utopolo likutoke ASAP
 
Back
Top Bottom