fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,026
- 22,549
Mkuu ni swala la kumjulisha tu. Usharudi toka Mbeya?Ninatamani kukuta a na GENTAMYCINE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ni swala la kumjulisha tu. Usharudi toka Mbeya?Ninatamani kukuta a na GENTAMYCINE
😂😂😂Kwanini umebold Uzi wako? Yan ni kama vile unatufokea na kutulazimisha tutoe shuhuda wakati we mwenyewe hujatoa.
Edit Uzi wako, weka ushuhuda wako tuone mfano then wachangiaji tuendelee
Sasa utakuta fala moja linakuja huku ,kuonesha kuwa anakujua nje ya JFJF yanabaki JF, mtaani yanabaki huko huko.
Hahahaha, we na uhakika ushakutana nao sanamkuu unataka kufanya nini na hizo Data?
nimekutana nao Ila why telling the mass?Hahahaha, we na uhakika ushakutana nao sana
Haina maananimekutana nao Ila why telling the mass?
Steve acha kumkatili jamaaaa😁😁.Fanyia kazi maoni ya wachangiaji wa mwanzo
Mkuu amesema ashakutana nae, means face to face au mkuu we umeelewaje kuhusu kukutana nae!Unamjuaje kuwa ni mdada Wa sifa hizo ilhali anatumia utambulisho usio halisi , fake id ?
Hahahaha, nzuri , sometimes wanakua hawana ishu ya maanaSijawahi kukutana na mwana Jf yeyote
Hahahaha, "mzuri na mtamu sanaa"Niliwahi kukutana n mtoto mmoja w Jf.alikuw mzuri n mtamu sanaaa
Upo sawa kabisa comrade, hakuna sababu ya kujuana wala kukutana hapa...[emoji3525]Hahahaha, nzuri , sometimes wanakua hawana ishu ya maana
Kabisa Mkuu labda tukutane bila kujuana km ni memba wa JFUpo sawa kabisa comrade, hakuna sababu ya kujuana wala kukutana hapa...[emoji3525]
Weeewweeeeee acha upotolo, barua ya maombi ya kazi umei bold kuanzia anwani Hadi your sincerely, Nani atakupa kazi??Hapana mdau, iv ukiandika barua then heading uka bold mean unamfokea msomaji ? Assume barua ni ya kuomba kazi au una request kitu kwa head wako kazin .... Bolding does not mean commanding language
Kohh kohhh NakaziaWhat happened outside JF.. stay outside JF