Shuhuda za waliowahi kukutana kupitia JF

Shuhuda za waliowahi kukutana kupitia JF

Weeewweeeeee acha upotolo, barua ya maombi ya kazi umei bold kuanzia anwani Hadi your sincerely, Nani atakupa kazi??
Kemea pepo Hilo la Utopolo likutoke ASAP
Utopolo ni ww. Kama hajawaona ona bac usipige kelele No research no right to speak shut up and walk away
 
Kwanini umebold Uzi wako? Yan ni kama vile unatufokea na kutulazimisha tutoe shuhuda wakati we mwenyewe hujatoa.

Edit Uzi wako, weka ushuhuda wako tuone mfano then wachangiaji tuendelee

Nami niliamka na hasira hasira ila hasira zako zimeondoa hasira zangu 😂😂😂😂😂😂
 
Tunajaribu kukuelewesha tu mdogo wangu, hapa hamna Vita, wakati mwingine ujifunze kwamba kinachokuwa bolded ni Title na subtitles tu.
Ss ktk comment yangu nilisema HEADING una bold au heading sio title ? Kweli walimu wako walifanya jitihada kubwa sana kukufunza. Samahan mkubwa au ulikuwa unasoma ile comment yqngu huku mdomoni umemeza pande la nyama au ilikuwaje kuwaje ukatiririka tu mkuu jumla jumla
 
Back
Top Bottom