hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Naunga mkono hojaGentlemen, we keep it dark!
Maisha nje ya jf tayari ni privacy,
Matumizi sahihi ya ufahamu ni kujua nafsi yako ni maktaba yako have a lock on it!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hojaGentlemen, we keep it dark!
Maisha nje ya jf tayari ni privacy,
Matumizi sahihi ya ufahamu ni kujua nafsi yako ni maktaba yako have a lock on it!
Halo ndio huwaga kitim Tim kivumbi na jasho na server kutaka ku-jamSasa utakuta fala moja linakuja huku ,kuonesha kuwa anakujua nje ya JF
Hahahaha, kitim Tim kweli , ila ni ufala tuHalo ndio huwaga kitim Tim kivumbi na jasho na server kutaka ku-jam
Unamjuaje kuwa ni mdada Wa sifa hizo ilhali anatumia utambulisho usio halisi , fake id ?
[/QUOTtunazunhumza kwa njia ya simu zaidi ya miaka mowili ss
Na we we ilikuwa hivyo hivyo !? Uliye kutana nae alikuwa na sifa hizo hizo??Hahahaha, "mzuri na mtamu sanaa"
HaswaaaGentleman never kiss and tell.
Mpaka sasa wanafika 200+ kwenye nyanja zote hizo
Naam kwa kweli ni ufala mkubwa sana ..especially ukikutana na watu wasiojitambua ..aisee usiombee hakuna rangi utakayo acha kuiona ...muhimu nikutoacha kukutana na members wa jf kama hakuna ulazima au umuhimu huoHahahaha, kitim Tim kweli , ila ni ufala tu
Hahahaha aisee !!!!!!Weeewweeeeee acha upotolo, barua ya maombi ya kazi umei bold kuanzia anwani Hadi your sincerely, Nani atakupa kazi??
Kemea pepo Hilo la Utopolo likutoke ASAP
Kabisa Mkuu ni kupoteza tu ,km kukutana iwe bahati mbayaNaam kwa kweli ni ufala mkubwa sana ..especially ukikutana na watu wasiojitambua ..aisee usiombee hakuna rangi utakayo acha kuiona ...muhimu nikutoacha kukutana na members wa jf kama hakuna ulazima au umuhimu huo
Naomba tukutane babe.Kabisa Mkuu ni kupoteza tu ,km kukutana iwe bahati mbaya
Utopolo ni ww. Kama hajawaona ona bac usipige kelele No research no right to speak shut up and walk awayWeeewweeeeee acha upotolo, barua ya maombi ya kazi umei bold kuanzia anwani Hadi your sincerely, Nani atakupa kazi??
Kemea pepo Hilo la Utopolo likutoke ASAP
Hahahaha, ingekua rahisi hivi si ningekutafuta toka nirudi na mpk nakaribia kuondokaNaomba tukutane babe.
Hahahaha, bahati gani Mkuu hy ? Huyo anazingua chit chat
Tunajaribu kukuelewesha tu mdogo wangu, hapa hamna Vita, wakati mwingine ujifunze kwamba kinachokuwa bolded ni Title na subtitles tu.Utopolo ni ww. Kama hajawaona ona bac usipige kelele No research no right to speak shut up and take walk away
[emoji28][emoji28][emoji28] Unajishauaaaaaaa!!Hahahaha, ingekua rahisi hivi si ningekutafuta toka nirudi na mpk nakaribia kuondoka
We si ndio utatangaza live kabisa uko na Mimi
Kwanini umebold Uzi wako? Yan ni kama vile unatufokea na kutulazimisha tutoe shuhuda wakati we mwenyewe hujatoa.
Edit Uzi wako, weka ushuhuda wako tuone mfano then wachangiaji tuendelee
Ss ktk comment yangu nilisema HEADING una bold au heading sio title ? Kweli walimu wako walifanya jitihada kubwa sana kukufunza. Samahan mkubwa au ulikuwa unasoma ile comment yqngu huku mdomoni umemeza pande la nyama au ilikuwaje kuwaje ukatiririka tu mkuu jumla jumlaTunajaribu kukuelewesha tu mdogo wangu, hapa hamna Vita, wakati mwingine ujifunze kwamba kinachokuwa bolded ni Title na subtitles tu.