Shuhuda za waliowahi kukutana kupitia JF

Shuhuda za waliowahi kukutana kupitia JF

Hahahaha, Mkuu una namba yangu IPI hy , MTN au Africell ?

Unataka nikae kwa amu ? Huyu mm simuwezi
Mkuu Tabia mtabadilishana huko huko mbele kwa mbele " Zile swing swags zake za kuweka breech kichwani na kuvaa jeans zilizo chanika chanika ... Endapo akijiweka kwako ataziacha tu ... Siwajua kipendacho roho kula nyama mbichi
 
Hana utoto ni mtu mzima ana biashara zake na huwa tuna badilishana pia mawazo ktk maswala ya kilimo,... Recwntly hakuwa na smartphone nahis ni moja kati vitu vinavyo mfanya asitumie JF ....
Privacy ina uhusiano gani na utoto.

Nina mashaka na uwelewa wako na hujui nini maana ya Jf.
 
Sasa si ndio maana nimeandika hii JF ni kama uraiani tu, tena umetolea mfano mzuri kabisa, mtu akiwa na tatizo anaandika uzi watu wanachangia kadri ya uelewa wao. Na wengine wanaandika jinsi walivyonufaika kupitia JF.

Hauoni kwa hii thread wenye uelewa wa shake well before use wanaweza kufunguka zaidi wakaenda mbali hadi kutaja watu kwa ID zao?
Hapana sizani kama.kuna mtu anaweza kwenda m ali kiasi icho !! Huyo mtu atakuwa hana nia nzuri ... SNs ni moja kati ya platform kukutana na watu mbalimbali kama ambavyo mtu mwingine anakutana na mtu through seminars au makongamano ya kidini
 
Mkuu Tabia mtabadilishana huko huko mbele kwa mbele " Zile swing swags zake za kuweka breech kichwani na kuvaa jeans zilizo chanika chanika ... Endapo akijiweka kwako ataziacha tu ... Siwajua kipendacho roho kula nyama mbichi
Hahahaha, we MTU una uchochezi sana
 
Privacy ina uhusiano gani na utoto.

Nina mashaka na uwelewa wako na hujui nini maana ya Jf.
Ni mtazamo wako. Kama una shindwa kulink usiri (mambo binafsi) na akili ya kitoto .... Sijui ulikuwa una jibu vp maswali ya essay enzi unasoma yaan unashindwa kutengeneza hoja ya kulink privacy na utoto ...... I feel sorry for you
 
Hahahaha, tatizo utakuja kufungua Uzi na kutembeza selfie PM huko

Kuwa mtu chake huyu hapa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hiyo tabia sina.
Nyie wanaume ndo mna tabia hizo.
Yaani kitendo tu cha mtu kupata picha anaitembezaaaaaaaaaa na akitaka kibuyu akinyimwa ndo kabisa hasira anamalizia jukwaani anaweka picha hewani na bla bla kibao.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hiyo tabia sina.
Nyie wanaume ndo mna tabia hizo.
Yaani kitendo tu cha mtu kupata picha anaitembezaaaaaaaaaa na akitaka kibuyu ukinyimwa ndo kabisa hasira anamalizia jukwaani anaweka picha hewani na bla bla kibao.
Aisee ..... !!!!!!
 
Mkuu Tabia mtabadilishana huko huko mbele kwa mbele " Zile swing swags zake za kuweka breech kichwani na kuvaa jeans zilizo chanika chanika ... Endapo akijiweka kwako ataziacha tu ... Siwajua kipendacho roho kula nyama mbichi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu husahau? hizo ni swag za mtaani tu.
 
Hahaa msikilize mwenzio tafadhali ...na wewe amu watu wazima kama hawa huwa wakikubali jambo kwa issue kama hiyo huwa hawaitikii ndio nimekubali hapa mbele ya hadhira ... Wewe mfuate Pm mkayajenge then thanks me later
Ngoja nijiongeze pm[emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Ahsante.
Uwe na asubuhi njema.
 
Back
Top Bottom