imotions ndio zimewajaa wabongo> wanaishia kulalamika kidown down, kama kulikua na mwenye ushahidi hawajabaka angejitoa mhanga akasimama front, bt kwa ukunguru wetu kila mtu anakaa kimya af mnakuja kulalamika kwenye forums like this, mfano hai ni watu wanauliza hapa nini chanzo.. hakuna anaetoa jhibu la kueleweka! where r we heading???
Money?!, money au madaraka!?
miKwenu wadada wa JF,hebu jaribuni kuvaa uhusika,ungekuwa wewe ndo 'SALIMA',(mama mwenye nyumba),ungemshauri nini BABA MWENYE NYUMBA?
Bw. Mwita acha ubishi usio na maana ishu ya jamaa ni nzito, Bwana mkubwa mwenyewe ashawahi izungumzia naungana na aliyesema MWENYE NGUVU MPISHE
Mbakaji huyo 2namjua afu jizi la wake za wa2 fisadi la mapenzi
kuna tetesi zingine kwamba alibaka kweliAlibaka, na hii ni kwa mujibu wa mmoja wa baba mtoto aliyebakwa.
nimepata kusikia hata mim kwamba ni kwelHuyu alibaka kweli na kama unataka uthibitisho tembelea familia za watoto waliotendewa kitendo hicho upate ukweli. nyingi ya familia hizo wanaishi maeneo ya sinza jirani na mashujaa primary school. Ameharibu watoto na si kusingiziwa!
Kuna habari kuwa hata nyumba zake zote ziliuzwa ili kulipia fidia ya wale malaika, tupeni habari kama ni ukweli.
Alisemaje?!
!
Mange Kimambi atambuliwe kama *Mheshimiwa Nabii Mtume Mange Kimambi* hili la Familia ya Babu Seya alilitabiri kitambo kidogo
[HASHTAG]#TunafukuaMakaburi[/HASHTAG]
Ulisema hatotolewa kwa msamaha...imekuaje tena loeKilichopo hapa ni kwamba amewekwa gerezani, kama wewe unatafuta haki jaribu uone kilicho ndani ya kesi yake. Kosa la nguza linafahamika, jaribu kutumia muda wako ujue ni kwanini amewekwa ndani , na ni kwanini hatatolewa kwa msamaha wa mwaka mpya au wowote ule. At least for now. Ukumbuke kuwa Tanzania si nchi ya haki, nguza si wa kwanza. At least yeye yuko gerezani. Kuna wale waliopigwa risasi pale Sinza bila hatia, no body cares and life goes on.