Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani limejengwa kwa matofali ya dhahabu?Habari ndugu wapambanaji..
Hivi kweli jengo hili la Mahakama ya Wilaya linaweza kugharimu mil.723 Kweli?
Pamoja na kwamba Sina michoro na BoQ yake Ila kwa haraka haraka hilo jengo halizisi mil.400 kwa kila kitu, C hapo gumepigwa..
Na bahati mbaya sana Majengo mengi ya Mahakama yamekuwa yalijengwa kwa gharama kubwa Sana ambazo haziakisi uhalisia.
CAG pitia na kipande hiki..👇
View attachment 2470268
Zuri sio kama kile kidaraja fake cha bilioni 7Habari ndugu wapambanaji..
Hivi kweli jengo hili la Mahakama ya Wilaya linaweza kugharimu mil.723 Kweli?
Pamoja na kwamba Sina michoro na BoQ yake Ila kwa haraka haraka hilo jengo halizisi mil.400 kwa kila kitu, C hapo gumepigwa..
Na bahati mbaya sana Majengo mengi ya Mahakama yamekuwa yalijengwa kwa gharama kubwa Sana ambazo haziakisi uhalisia.
CAG pitia na kipande hiki..👇
View attachment 2470268
Apo milion mia mojaHabari ndugu wapambanaji..
Hivi kweli jengo hili la Mahakama ya Wilaya linaweza kugharimu mil.723 Kweli?
Pamoja na kwamba Sina michoro na BoQ yake Ila kwa haraka haraka hilo jengo halizisi mil.400 kwa kila kitu, C hapo gumepigwa..
Na bahati mbaya sana Majengo mengi ya Mahakama yamekuwa yalijengwa kwa gharama kubwa Sana ambazo haziakisi uhalisia.
CAG pitia na kipande hiki..👇
View attachment 2470268
Hiyo ni full zege hamna tofali hapo.Kwani limejengwa kwa matofali ya dhahabu?
Local investors.Nyie si mnataka hela ije mtaani? Ndiyo inakuja kwa style hiyo. Hamjapigwa hapo mmeletewa hela mtaani..w
Kwako:
Magonjwa Mtambuka
Stroke
Kulwa Jilala
Na chachu ya haya yote ni wananchiAcha watu wapige hela kama zinapatikana,maana nchi yetu hakuna heshima ya mali za umma kuanzia walioko juu mpaka serikali za mitaa
Hata mia na hamsini haifiki namaanisha ( 150,000,000/= haifikiHabari ndugu wapambanaji..
Hivi kweli jengo hili la Mahakama ya Wilaya linaweza kugharimu mil.723 Kweli?
Pamoja na kwamba Sina michoro na BoQ yake Ila kwa haraka haraka hilo jengo halizisi mil.400 kwa kila kitu, C hapo gumepigwa..
Na bahati mbaya sana Majengo mengi ya Mahakama yamekuwa yalijengwa kwa gharama kubwa Sana ambazo haziakisi uhalisia.
CAG pitia na kipande hiki..👇
View attachment 2470268
Sasa wewe kada wa wapi? We kada gani unashangaa haya wakati ndo zenu? Unawasaliti wenzio au sio?Habari ndugu wapambanaji..
Hivi kweli jengo hili la Mahakama ya Wilaya linaweza kugharimu mil.723 Kweli?
Pamoja na kwamba Sina michoro na BoQ yake Ila kwa haraka haraka hilo jengo halizisi mil.400 kwa kila kitu, C hapo gumepigwa..
Na bahati mbaya sana Majengo mengi ya Mahakama yamekuwa yalijengwa kwa gharama kubwa Sana ambazo haziakisi uhalisia.
CAG pitia na kipande hiki..👇
View attachment 2470268
Mi ninawasiwasi hela wanazotumia serikali kujenga sio tunazotumia sisi huku kitaaniHabari ndugu wapambanaji..
Hivi kweli jengo hili la Mahakama ya Wilaya linaweza kugharimu mil.723 Kweli?
Pamoja na kwamba Sina michoro na BoQ yake Ila kwa haraka haraka hilo jengo halizisi mil.400 kwa kila kitu, C hapo gumepigwa..
Na bahati mbaya sana Majengo mengi ya Mahakama yamekuwa yalijengwa kwa gharama kubwa Sana ambazo haziakisi uhalisia.
CAG pitia na kipande hiki..👇
View attachment 2470268
Aisee..!!! Kama huna data ni bora ukakaa kimyaSidhani kama ni jengo peke yake nadhani ni mchakato mzima mpaka kukamilisha na jengo ndio imetumika hiyo fedha.
Milioni 50 ni nyingi. Hata ukiweka na samani za bei mbaya haifiki 90mHabari ndugu wapambanaji..
Hivi kweli jengo hili la Mahakama ya Wilaya linaweza kugharimu mil.723 Kweli?
Pamoja na kwamba Sina michoro na BoQ yake Ila kwa haraka haraka hilo jengo halizisi mil.400 kwa kila kitu, C hapo gumepigwa..
Na bahati mbaya sana Majengo mengi ya Mahakama yamekuwa yalijengwa kwa gharama kubwa Sana ambazo haziakisi uhalisia.
CAG pitia na kipande hiki..👇
View attachment 2470268
Nyie si mnataka hela ije mtaani? Ndiyo inakuja kwa style hiyo. Hamjapigwa hapo mmeletewa hela mtaani..w
Kwako:
Magonjwa Mtambuka
Stroke
Kulwa Jilala
Milioni 200 unajenga hilo na chenji inabakiHabari ndugu wapambanaji..
Hivi kweli jengo hili la Mahakama ya Wilaya linaweza kugharimu mil.723 Kweli?
Pamoja na kwamba Sina michoro na BoQ yake Ila kwa haraka haraka hilo jengo halizisi mil.400 kwa kila kitu, C hapo gumepigwa..
Na bahati mbaya sana Majengo mengi ya Mahakama yamekuwa yalijengwa kwa gharama kubwa Sana ambazo haziakisi uhalisia.
CAG pitia na kipande hiki..👇
View attachment 2470268
Bongo Kuna burj khalifa?Wawe wazalendo hiyo pesa waliyopiga hapo waile hapa-hapa nchini.
...Naam, wameruhisiwa kula Urefu wa Kamba Zao!!...Acha watu wapige hela kama zinapatikana,maana nchi yetu hakuna heshima ya mali za umma kuanzia walioko juu mpaka serikali za mitaa
Jengo liwe full zege? Yaani kuta zote hapo ziwe full zege? Hata gereza haliwezi kujengwa hivyo. Bongo Kuna watu wengi wajinga mnoHaya majengo huwa ni full zege hakuna tofali inatumika hapo.
Hizo kuta unazoona ni zege sio tofali niliona wakati wanajenga huku kwetu!
Nadhani hiyo ramani imetumika nchi nzima!
Isinge stahili kuzidi 250-300 Mlioni.Habari ndugu wapambanaji..
Hivi kweli jengo hili la Mahakama ya Wilaya linaweza kugharimu mil.723 Kweli?
Pamoja na kwamba Sina michoro na BoQ yake Ila kwa haraka haraka hilo jengo halizisi mil.400 kwa kila kitu, C hapo gumepigwa..
Na bahati mbaya sana Majengo mengi ya Mahakama yamekuwa yalijengwa kwa gharama kubwa Sana ambazo haziakisi uhalisia.
CAG pitia na kipande hiki..👇
View attachment 2470268