Shuhudia jengo la Mahakama ya Wilaya ya Namtumbo lililotafuna Milioni 723. Hatujapigwa kweli?

Shuhudia jengo la Mahakama ya Wilaya ya Namtumbo lililotafuna Milioni 723. Hatujapigwa kweli?

Habari ndugu wapambanaji..

Hivi kweli jengo hili la Mahakama ya Wilaya linaweza kugharimu mil.723 Kweli?

Pamoja na kwamba Sina michoro na BoQ yake Ila kwa haraka haraka hilo jengo halizisi mil.400 kwa kila kitu, C hapo gumepigwa..

Na bahati mbaya sana Majengo mengi ya Mahakama yamekuwa yalijengwa kwa gharama kubwa Sana ambazo haziakisi uhalisia.

CAG pitia na kipande hiki..👇

View attachment 2470268
Kwani limejengwa kwa matofali ya dhahabu?
 
Habari ndugu wapambanaji..

Hivi kweli jengo hili la Mahakama ya Wilaya linaweza kugharimu mil.723 Kweli?

Pamoja na kwamba Sina michoro na BoQ yake Ila kwa haraka haraka hilo jengo halizisi mil.400 kwa kila kitu, C hapo gumepigwa..

Na bahati mbaya sana Majengo mengi ya Mahakama yamekuwa yalijengwa kwa gharama kubwa Sana ambazo haziakisi uhalisia.

CAG pitia na kipande hiki..👇

View attachment 2470268
Zuri sio kama kile kidaraja fake cha bilioni 7
 
Habari ndugu wapambanaji..

Hivi kweli jengo hili la Mahakama ya Wilaya linaweza kugharimu mil.723 Kweli?

Pamoja na kwamba Sina michoro na BoQ yake Ila kwa haraka haraka hilo jengo halizisi mil.400 kwa kila kitu, C hapo gumepigwa..

Na bahati mbaya sana Majengo mengi ya Mahakama yamekuwa yalijengwa kwa gharama kubwa Sana ambazo haziakisi uhalisia.

CAG pitia na kipande hiki..👇

View attachment 2470268
Apo milion mia moja
 
Habari ndugu wapambanaji..

Hivi kweli jengo hili la Mahakama ya Wilaya linaweza kugharimu mil.723 Kweli?

Pamoja na kwamba Sina michoro na BoQ yake Ila kwa haraka haraka hilo jengo halizisi mil.400 kwa kila kitu, C hapo gumepigwa..

Na bahati mbaya sana Majengo mengi ya Mahakama yamekuwa yalijengwa kwa gharama kubwa Sana ambazo haziakisi uhalisia.

CAG pitia na kipande hiki..👇

View attachment 2470268
Hata mia na hamsini haifiki namaanisha ( 150,000,000/= haifiki
 
Habari ndugu wapambanaji..

Hivi kweli jengo hili la Mahakama ya Wilaya linaweza kugharimu mil.723 Kweli?

Pamoja na kwamba Sina michoro na BoQ yake Ila kwa haraka haraka hilo jengo halizisi mil.400 kwa kila kitu, C hapo gumepigwa..

Na bahati mbaya sana Majengo mengi ya Mahakama yamekuwa yalijengwa kwa gharama kubwa Sana ambazo haziakisi uhalisia.

CAG pitia na kipande hiki..👇

View attachment 2470268
Sasa wewe kada wa wapi? We kada gani unashangaa haya wakati ndo zenu? Unawasaliti wenzio au sio?
 
Habari ndugu wapambanaji..

Hivi kweli jengo hili la Mahakama ya Wilaya linaweza kugharimu mil.723 Kweli?

Pamoja na kwamba Sina michoro na BoQ yake Ila kwa haraka haraka hilo jengo halizisi mil.400 kwa kila kitu, C hapo gumepigwa..

Na bahati mbaya sana Majengo mengi ya Mahakama yamekuwa yalijengwa kwa gharama kubwa Sana ambazo haziakisi uhalisia.

CAG pitia na kipande hiki..👇

View attachment 2470268
Mi ninawasiwasi hela wanazotumia serikali kujenga sio tunazotumia sisi huku kitaani
 
Habari ndugu wapambanaji..

Hivi kweli jengo hili la Mahakama ya Wilaya linaweza kugharimu mil.723 Kweli?

Pamoja na kwamba Sina michoro na BoQ yake Ila kwa haraka haraka hilo jengo halizisi mil.400 kwa kila kitu, C hapo gumepigwa..

Na bahati mbaya sana Majengo mengi ya Mahakama yamekuwa yalijengwa kwa gharama kubwa Sana ambazo haziakisi uhalisia.

CAG pitia na kipande hiki..👇

View attachment 2470268
Milioni 50 ni nyingi. Hata ukiweka na samani za bei mbaya haifiki 90m
 
Habari ndugu wapambanaji..

Hivi kweli jengo hili la Mahakama ya Wilaya linaweza kugharimu mil.723 Kweli?

Pamoja na kwamba Sina michoro na BoQ yake Ila kwa haraka haraka hilo jengo halizisi mil.400 kwa kila kitu, C hapo gumepigwa..

Na bahati mbaya sana Majengo mengi ya Mahakama yamekuwa yalijengwa kwa gharama kubwa Sana ambazo haziakisi uhalisia.

CAG pitia na kipande hiki..👇

View attachment 2470268
Milioni 200 unajenga hilo na chenji inabaki
 
Haya majengo huwa ni full zege hakuna tofali inatumika hapo.

Hizo kuta unazoona ni zege sio tofali niliona wakati wanajenga huku kwetu!

Nadhani hiyo ramani imetumika nchi nzima!
Jengo liwe full zege? Yaani kuta zote hapo ziwe full zege? Hata gereza haliwezi kujengwa hivyo. Bongo Kuna watu wengi wajinga mno
 
Habari ndugu wapambanaji..

Hivi kweli jengo hili la Mahakama ya Wilaya linaweza kugharimu mil.723 Kweli?

Pamoja na kwamba Sina michoro na BoQ yake Ila kwa haraka haraka hilo jengo halizisi mil.400 kwa kila kitu, C hapo gumepigwa..

Na bahati mbaya sana Majengo mengi ya Mahakama yamekuwa yalijengwa kwa gharama kubwa Sana ambazo haziakisi uhalisia.

CAG pitia na kipande hiki..👇

View attachment 2470268
Isinge stahili kuzidi 250-300 Mlioni.
Hivyo 400milion zimepigwa hadharani.
Shortly hiyo fedha ilitosha kujenga Mahakama nyingine mahala pengine.
 
Back
Top Bottom