Elections 2015 Shuhudieni CCM walivyoshangilia tishio la kupotezwa kwa Watanzania wenzao wenye mawazo tofauti, halafu eti tunashangaa ndugu zetu wapinzani kupotea!

Elections 2015 Shuhudieni CCM walivyoshangilia tishio la kupotezwa kwa Watanzania wenzao wenye mawazo tofauti, halafu eti tunashangaa ndugu zetu wapinzani kupotea!


Nyerere.jpg

Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere!​
 
Naam, hiyo ndiyo Tanzania na hao ndio viongozi wa chama tawala wanaotaka tuwape ridhaa ya kuendelea kututawala kwa miaka mingine mitano. Cha ajabu ni kwamba wapo Watanzania wenzetu ambao wako tayari kutoa ridhaa hiyo bila hata kuhoji.

Kitu kimoja kilicho wazi ni kwamba tukifanya makosa tena, safari hii tutalia sana kwani kama alivyowahi kuonya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (RIP), aliyeonja nyama ya mtu haachi.
CCM kumejaa mataahira!
 
CCM hakuna mwema
Mtu mwema awe huko akifanya nini? CCM ni genge la wezi, mafisadi na wauwaji. Wanateka, wanaua na wanapoteza watu. Hata hivyo kwa Mh. Tundu Antiphas Lissu wamegonga mwamba, wamegota. Tarehe 28/10/2020 ni siku ya ukombozi.
 
Kuziba-mdomo.jpg

Nitafutieni huyo Chinua Achebe mumlete hapa nimshughulikie. Unasemaje? Yupo nchi gani?
Nigeria? Basi bahati yake, huko siwezi kufika mpaka nipande ndege, angenitambua!​
 
Binafsi sijaelewa, na huwa nauliza watu wangu mara kwa mara, hivi huyu mtu huwa anamtaja mungu yupi anaedai kumtanguliza, yaani umtangulize Mungu kwenye kupanga kuwapoteza watu ?, na huyu ni muuaji nasema kila siku.
Lucifer pia ni mungu
 
Mtatengeneza kila aina ya video ili mpate kura za huruma
Ila Watanzania hatuna huruma na msaliti wa Nchi kutoka ubeligiji, visiwani tayari amechinjwa tunasubiria bara keshokutwa tumuadhibu kwenye boksi
Inasikitisha sana,nafikiri ni vema ukayaacha makalio yako yafanye Kazi yake ya asili kuliko kuyalazimisha yafikiri na kutoa maamuzi,hiyo clip ni genuine,haijatengenezwa popote zaidi ya kinywani mwa huyo anayetamka hayo maneno ya kutisha ambayo hayajawahi kutamkwa na kiongozi yoyote zaidi yake.

Unapolazimisha ukweli uwe uwongo unatupa fursa ya kuamini hata kile mnachotuaminisha kuwa ni Ukweli basi chaweza kuwa ni uongo wa kiwango cha SGR.Hivi kuwa mwanaCCM ni laana?Maana kila aliyepo huko akili zake huwezi kuzitofautisha na zezeta,wote mnafanana.
 
Naam, hiyo ndiyo Tanzania na hao ndio viongozi wa chama tawala wanaotaka tuwape ridhaa ya kuendelea kututawala kwa miaka mingine mitano. Cha ajabu ni kwamba wapo Watanzania wenzetu ambao wako tayari kutoa ridhaa hiyo bila hata kuhoji.

Kitu kimoja kilicho wazi ni kwamba tukifanya makosa tena, safari hii tutalia sana kwani kama alivyowahi kuonya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (RIP), aliyeonja nyama ya mtu haachi.
Nimeweka wazi mimi mwana wa nchi hii! sitaumia upinzani ukipoteza wabunge wote ila tuondokane na huy dracular! Aghhhhhhhhhhhhhhhhh! jamani hatuelewani? Huyu ni mhutu! Nimeona wanajeshi wenye nguo nyeusi wamenyoa kiduku zanzibar je hiyo ni uniform ya JWTZ?
 
Naam, hiyo ndiyo Tanzania na hao ndio viongozi wa chama tawala wanaotaka tuwape ridhaa ya kuendelea kututawala kwa miaka mingine mitano. Cha ajabu ni kwamba wapo Watanzania wenzetu ambao wako tayari kutoa ridhaa hiyo bila hata kuhoji.

Kitu kimoja kilicho wazi ni kwamba tukifanya makosa tena, safari hii tutalia sana kwani kama alivyowahi kuonya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (RIP), aliyeonja nyama ya mtu haachi.
Tutawapoteza wao sasa! Ccm ni wa kumalizwa wote waishe
 
Back
Top Bottom