Shujaa Majaliwa ajira yake, elimu yake inakidhi vigezo vya Serikali?

Shujaa Majaliwa ajira yake, elimu yake inakidhi vigezo vya Serikali?

Raisi ana mamlaka ya kuajiri mtu yoyote, mambo mengine mnayouliza mbona ni rahisi sana mnatuchosha great thinkers

UKO SAHIHI . Katiba ya sasa, Rais anaweza kumwajiri mdogo wake kuwa waziri wa fedha, mme/mke kuwa ulinzi na familia yote kuwapa mavyeo na mkwe kuwa spika na wote wakawawanaishi pale pale ikullu au mnasemaje jamani
 
Kijana Shujaa Majaliwa kamaliza darasa la saba (kama alivyohojiwa mama yake). Policy/sheria ya uajiri serikalini inasema lazima uwe at least darasa la 12, ie form 4. Sasa Majaliwa anaajiliwa kwa sheria ipi? anakidhi vigezo?

Note: sina tatizo/wivu and the like naye kuajiliwa , but tusiwe vipofu wa kutotoa hoja za kisheria ambazo zimewafukuza vijana wengi seriklini kwa ajili hawana elimu ya kidato cha nne na kuendela.
 
Nikukumbushe kidogo tu.
Katibu wa wilaya wa ccm wilaya ya muheza mkoa wa Tanga ni darasa la saba (7).
Kila kitu Tanzania kinawezekana mkuu
 
Msukuma zero brain lasaba tu na Hana impact sasa kwanini Majaliwa hamtaki alambe Asali
 
was that within the law requirements?
Whatever laws you are talking about, the president of this country can always override at his/her behest. (Unfortunately/FORTUNATELY ??) if you happen to hold that office you are like GOD in this country.
 
Kijana Shujaa Majaliwa kamaliza darasa la saba (kama alivyohojiwa mama yake). Policy/sheria ya uajiri serikalini inasema lazima uwe at least darasa la 12, ie form 4. Sasa Majaliwa anaajiliwa kwa sheria ipi? anakidhi vigezo?

Note: sina tatizo/wivu and the like naye kuajiliwa , but tusiwe vipofu wa kutotoa hoja za kisheria ambazo zimewafukuza vijana wengi seriklini kwa ajili hawana elimu ya kidato cha nne na kuendela.
Lolote linawezekana anaweza kuwa kwenye ajira na huku anasoma ni kitu kinachofahamika popote duniani, vilevile imeongelewa kuwa anaenda kupewa ujuzi wa kinadhalia na matendo yawezekana hata level ya elimu yake ikapanda na zaidi tushaambiwa kuwa tayari kaishapokelewa. Isitoshe tambua kuwa ajira yake imekuwa ni tunu kutoka kwa Mkuu wa nchi na ni tamko la Amiri jeshi mkuu.

Sasa sijui wewe sheria yako unaiweka upande upi katika aya na uliitunga lin, vilevile elewa tamko la Rais ni sheria pia. Kama unapinga kajitose baharini "Msilalie bahati za wenzenu milango wazi" Dogo kwa ushujaa na moyo aliyouonyesha hii ilikuwa haki yake.[emoji3578]
 
Kama anajua maana y ma situation basi anafaa..nimependa anavojaribu kuwafagilia na wenzake wanne...
 
Kwa kauli yake alisema alisoma mpaka form 2 hili la 7 sijui limetokea wapi?

Anyway hata yule wa kolomije alipewa ajira na hakuokoa kitu
 
Sheria inaweza kuvunjwa kwa maslahi mapana ya umma. Hata wahalifu wanaweza kupunguziwa adhabu by the way tafuta pesa nyingi, tengeneza connection, zungunga uijue dunia. Utafurahi sana
Hajajua yule kijana wa Mali aliyekuwa france akaokoa mtt akapewa jobu kwa zimamoto army ya ufaransa na raisi wa nchini kwao akamuita kumpa kazi Kama iyo iyo.
Lazima braveness
 
Kijana Shujaa Majaliwa kamaliza darasa la saba (kama alivyohojiwa mama yake). Policy/sheria ya uajiri serikalini inasema lazima uwe at least darasa la 12, ie form 4. Sasa Majaliwa anaajiliwa kwa sheria ipi? anakidhi vigezo?

Note: sina tatizo/wivu and the like naye kuajiliwa , but tusiwe vipofu wa kutotoa hoja za kisheria ambazo zimewafukuza vijana wengi seriklini kwa ajili hawana elimu ya kidato cha nne na kuendela.
Aliyempa fursa hiyo ana mamlaka ya kurekebisha sheria yoyote kwa maslahi ya umma. Hakuna kilichoharibika hapo. Wivu ndio tatizo lako japo umejitetea huna wivu.
 
Sheria inaweza kuvunjwa kwa maslahi mapana ya umma. Hata wahalifu wanaweza kupunguziwa adhabu by the way tafuta pesa nyingi, tengeneza connection, zungunga uijue dunia. Utafurahi sana
Hapo kwenye zunguka dunia. Nakazia. ZUNGUKA DUNIA MEANS, NDIO ELIMU KUBWA KULIKO HATA YA DARASANI
 
Kijana Shujaa Majaliwa kamaliza darasa la saba (kama alivyohojiwa mama yake). Policy/sheria ya uajiri serikalini inasema lazima uwe at least darasa la 12, ie form 4. Sasa Majaliwa anaajiliwa kwa sheria ipi? anakidhi vigezo?

Note: sina tatizo/wivu and the like naye kuajiliwa , but tusiwe vipofu wa kutotoa hoja za kisheria ambazo zimewafukuza vijana wengi seriklini kwa ajili hawana elimu ya kidato cha nne na kuendela.
Kwa hicho alichofanya mdogo wetu Majaliwa nakubali sheria kuvunjwa kwa manufaa yake na taifa. Dogo alihatarisha maisha yake kwa manufaa ya wengine. Huo ndio uzalendo halisi. Na hiyo ndiyo maana ya Upendo wa kweli.
 
Back
Top Bottom