Full charge
JF-Expert Member
- Mar 1, 2018
- 1,678
- 1,617
kwan by law ni nini?Tamko la Rais ni sheria... Kateuliwa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwan by law ni nini?Tamko la Rais ni sheria... Kateuliwa...
aah! kumbe mwana siasa?Nikukumbushe kidogo tu.
Katibu wa wilaya wa ccm wilaya ya muheza mkoa wa Tanga ni darasa la saba (7).
Kila kitu Tanzania kinawezekana mkuu
Maisha aliyojitolea kuyaokoa ya watu zaidi ya 20 yana thamani kuliko hata PhD.. Tusipojifunza kutiana mioyo kwa mambo mema tutaelekea kule kwenye kuwa wachawi bila tunguli...Kijana Shujaa Majaliwa kamaliza darasa la saba (kama alivyohojiwa mama yake). Policy/sheria ya uajiri serikalini inasema lazima uwe at least darasa la 12, ie form 4. Sasa Majaliwa anaajiliwa kwa sheria ipi? anakidhi vigezo?
Note: sina tatizo/wivu and the like naye kuajiliwa , but tusiwe vipofu wa kutotoa hoja za kisheria ambazo zimewafukuza vijana wengi seriklini kwa ajili hawana elimu ya kidato cha nne na kuendela.
Acha kudharau watu bnana!!form 4 failure anakuwaje na cheti cha kuhitimu kidato cha 4?Hivi drs la 7 ana tofauti na form 4 failure ambao ndo wamejaa kwenye hiki kitengo?
Hakuna njia nyingine ya kumzawadia vema bila kuvunja sheria?Maisha aliyojitolea kuyaokoa ya watu zaidi ya 20 yana thamani kuliko hata PhD.. Tusipojifunza kutiana mioyo kwa mambo mema tutaelekea kule kwenye kuwa wachawi bila tunguli...
Hiyo sheria haipo jeshini.. sheria ya majeshi yetu hairuhusu mashoga tu.. ndo maana watu tulipigwa tochi tukiwa tunaingia kule kwenye mtanange [emoji23] alafu unaambiwa kohoa kudadeki..Kijana Shujaa Majaliwa kamaliza darasa la saba (kama alivyohojiwa mama yake). Policy/sheria ya uajiri serikalini inasema lazima uwe at least darasa la 12, ie form 4. Sasa Majaliwa anaajiliwa kwa sheria ipi? anakidhi vigezo?
Note: sina tatizo/wivu and the like naye kuajiliwa , but tusiwe vipofu wa kutotoa hoja za kisheria ambazo zimewafukuza vijana wengi seriklini kwa ajili hawana elimu ya kidato cha nne na kuendela.
Inaitwa Mkuu Akishauri Ni Amri Ndugu Mwenyekiti HuelewiUmesahau kwamba kauli ya RAISI ni sheri, kwa hiyo hapa sheria inashindana na sheria
Wewe ndio upo kule siasa na matukio mix wewe ni aina ya watu wenye chuki kubwa choyo na nina imani pia ni mchawi mkubwa sana kule matukio mix whatsup group tumekuelekezaKijana Shujaa Majaliwa kamaliza darasa la saba (kama alivyohojiwa mama yake). Policy/sheria ya uajiri serikalini inasema lazima uwe at least darasa la 12, ie form 4. Sasa Majaliwa anaajiliwa kwa sheria ipi? anakidhi vigezo?
Note: sina tatizo/wivu and the like naye kuajiliwa , but tusiwe vipofu wa kutotoa hoja za kisheria ambazo zimewafukuza vijana wengi seriklini kwa ajili hawana elimu ya kidato cha nne na kuendela.
Hatujui sheria za ajira za huko zinasemajeHapa Tz ni kuwa kama huna elimu ya form 4 and above huruhusiwi kuajiliwa na hakuna kipengele cha outstanding perfoemance kama ya majaliwa kuwa itakuruhusu uajiliwe..