- Thread starter
- #41
SIKIMBII UNAAGALIA LEVEL GANI UNA ARGUE NAYO. JUST A SINGLE SENTENCE IS ENOUGH TO MAKE A DECISION! TO ARGUE OR NOT TO ARGUE!Usikimbie....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SIKIMBII UNAAGALIA LEVEL GANI UNA ARGUE NAYO. JUST A SINGLE SENTENCE IS ENOUGH TO MAKE A DECISION! TO ARGUE OR NOT TO ARGUE!Usikimbie....
Does the law say so?Kwa hicho alichofanya mdogo wetu Majaliwa nakubali sheria kuvunjwa kwa manufaa yake na taifa. Dogo alihatarisha maisha yake kwa manufaa ya wengine. Huo ndio uzalendo halisi. Na hiyo ndiyo maana ya Upendo wa kweli.
Kazi ya upolisi ni ya kuonea wivu? KAZI YA MITULINGA MIMGI AKILI KIDOGO! mtu aone wivu?Acha wivu,
Hatujui sheria za ajira za huko zinasemajeHapa Tz ni kuwa kama huna elimu ya form 4 and above huruhusiwi kuajiliwa na hakuna kipengele cha outstanding perfoemance kama ya majaliwa kuwa itakuruhusu uajiliwe..Hajajua yule kijana wa Mali aliyekuwa france akaokoa mtt akapewa jobu kwa zimamoto army ya ufaransa na raisi wa nchini kwao akamuita kumpa kazi Kama iyo iyo.
Lazima braveness
Cha msingi ajiendeleze tu hata akiwa kazini ili awe at least na elimu ya kidato cha nne,kwani huko mbeleni sana,hawa waliotumia busara hawatakuwepo,pale atakapokuja kuulizwa vipi bnana ilikuwaje mbona hukuwa na vigezo vya kuajiliwa,hasa wakati atakapo kuwa ana fuatilia mafao yake miaka hiyo.Lazima mambo yawekwe sawa muda huu,zisije zikawa ni siasa tu.Ndo maana nilisema majaliwa atakuja kutelekezwa kusikojulikana na serikali ya ccm ni suala la muda tu ngoja huu upepo upite, ni bora majaliwa apelekwe shule akapate hata elimu ya fom4 kupitia QT. ndo aje asome hayo mafunzo mengine baada ya kupata cheti cha fom4 na kuendelea au apewe mtaji wa kufanya shughuli yake ya uvuvi akiwa huru
Hapo lazima mambo yawekwe sawa kwanza,huko mbeleni asije akalia kilio cha samaki!!!Kuna siasa mingi hapo, wasije mfanya ajira ya kibarua.. sijui mshara wake ni daraja gani
Hili swala lina mihemuko sana watu wamepatwa na mi emotion yao. Kama nia njema, Meja wangekaa nae na kuangalia ndoto zake na kumsaidia kufikia huko hizi za ajira tena wamapotaka wao na huenda meja wala sio ndoto zake, pili wana secure vipi legacy ya alichofanyaHapo lazima mambo yawekwe sawa kwanza,huko mbeleni asije akalia kilio cha samaki!!!
Unajua Raisi ana mamlaka gani juu ya Taifa hili na juu ya katiba lakini?Hatujui sheria za ajira za huko zinasemajeHapa Tz ni kuwa kama huna elimu ya form 4 and above huruhusiwi kuajiliwa na hakuna kipengele cha outstanding perfoemance kama ya majaliwa kuwa itakuruhusu uajiliwe..
Siku hizi darasa la saba hawaendi jeshini?Kijana Shujaa Majaliwa kamaliza darasa la saba (kama alivyohojiwa mama yake). Policy/sheria ya uajiri serikalini inasema lazima uwe at least darasa la 12, ie form 4. Sasa Majaliwa anaajiliwa kwa sheria ipi? anakidhi vigezo?
Note: sina tatizo/wivu and the like naye kuajiliwa , but tusiwe vipofu wa kutotoa hoja za kisheria ambazo zimewafukuza vijana wengi seriklini kwa ajili hawana elimu ya kidato cha nne na kuendela.
Case Closed.Umesahau kwamba kauli ya RAISI ni sheri, kwa hiyo hapa sheria inashindana na sheria
isiwe sababu ya kuacha taaluma na kuajir wajingaHusda+wivu =makasiriko
si kweli - kauli ya rais si sheria hata kidogoUmesahau kwamba kauli ya RAISI ni sheri, kwa hiyo hapa sheria inashindana na sheria
Binafsi nampongeza sana dogo kwa kazi aliyofanya japo hailingani na malipo aliyopewakuna vijamaa navyo sasa vinatamani vingekua majaliwa, shame, mtu aliishia form 2 kwa kukosa hela ya sare za shule leo hii mnamuonea wivu? shule atasoma na kazi atafanya vile vile , ndiomaana hata wale lasaba waliambiwa wajiendeleze wafike form 4 waliokaidi jiwe alikula kichwa.
shda so ajira hivi wewe hujasomea uganga tukupe ajira hujaua watu?Unamtamani uajiriwe wewe
yes,atuwekee tusomeKifungu please....