Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana pia wanamtoa nje ya reli,ili asizidi kuongea maana kwa kitendo alichofanya kawavua nguo especially vyombo vya uokoaji nkKuna siasa mingi hapo, wasije mfanya ajira ya kibarua.. sijui mshara wake ni daraja gani
Majeshi bado wanaajiri la7 mpaka leo.Kijana Shujaa Majaliwa kamaliza darasa la saba (kama alivyohojiwa mama yake). Policy/sheria ya uajiri serikalini inasema lazima uwe at least darasa la 12, ie form 4. Sasa Majaliwa anaajiliwa kwa sheria ipi? anakidhi vigezo?
Note: sina tatizo/wivu and the like naye kuajiliwa , but tusiwe vipofu wa kutotoa hoja za kisheria ambazo zimewafukuza vijana wengi seriklini kwa ajili hawana elimu ya kidato cha nne na kuendela.
Wewe ndiye umetoa jibu la kisomi, la kisayansi. Siyo haya mengine takataka kuwa Rais yuko juu ya sheria na upuuzi mwingine kama huo!Majeshi bado wanaajiri la7 mpaka leo.
Ukitaka uthibitisho zaidi wa haya ninayokueleza, uliza staff wa jeshi kwa kujiridhiaha ukianzia na Jwtz.
Matusi ya nini, jibu swali huna haja ya matusi. Muulize mama yako kama sijaamka, Stupid. Mjinga mama yako na baba yako.Enyi wajinga na wapumbavu, mtaamka lini?
Lakini na wewe huwa unapenda sana kupinga! Kama si muha au mrundi kama Zitto basi ni MhayaKijana Shujaa Majaliwa kamaliza darasa la saba (kama alivyohojiwa mama yake). Policy/sheria ya uajiri serikalini inasema lazima uwe at least darasa la 12, ie form 4. Sasa Majaliwa anaajiliwa kwa sheria ipi? anakidhi vigezo?
Note: sina tatizo/wivu and the like naye kuajiliwa , but tusiwe vipofu wa kutotoa hoja za kisheria ambazo zimewafukuza vijana wengi seriklini kwa ajili hawana elimu ya kidato cha nne na kuendela.
Hakuna aliye juu ya sheria! Hili ni jibu linalo reflect level yako ya understanding! Poor my JF, hawa ndio members of this time contrary to earlier times when "think tanks" were on JFRais yupo juu ya sheria.. ama hujui ili.. sheria zote rais yupo juu nazo
la kwanza nimelisikia kwako, na labda ni kweli, then that is OK. Hilo ni jibu la mtu anayefikiri. Angalia majiby ya wenzako mara Oh Rais yuko juu ya sheria etc etc. Wewe umejibu vema. Hilo lingine silijui....la tochiHiyo sheria haipo jeshini.. sheria ya majeshi yetu hairuhusu mashoga tu.. ndo maana watu tulipigwa tochi tukiwa tunaingia kule kwenye mtanange [emoji23] alafu unaambiwa kohoa kudadeki..
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Huwezi jua.. ilawaliopitia jkt hiyo code wanaijua mkuu [emoji23]la kwanza nimelisikia kwako, na labda ni kweli, then that is OK. Hilo ni jibu la mtu anayefikiri. Angalia majiby ya wenzako mara Oh Rais yuko juu ya sheria etc etc. Wewe umejibu vema. Hilo lingine silijui....la tochi
Okay chamsingi vyombo vya habari, vilivyompaisha, visimwachie njiani ila iwe continues stori hata kwa miaka kumi ijayo ili tujua issue hii imeishia wap!Kijana Shujaa Majaliwa kamaliza darasa la saba (kama alivyohojiwa mama yake). Policy/sheria ya uajiri serikalini inasema lazima uwe at least darasa la 12, ie form 4. Sasa Majaliwa anaajiliwa kwa sheria ipi? anakidhi vigezo?
Note: sina tatizo/wivu and the like naye kuajiliwa , but tusiwe vipofu wa kutotoa hoja za kisheria ambazo zimewafukuza vijana wengi seriklini kwa ajili hawana elimu ya kidato cha nne na kuendela.
Inawezekana, wanataka ku cover kitu, magumashi mengi sana hii nchiInawezekana pia wanamtoa nje ya reli,ili asizidi kuongea maana kwa kitendo alichofanya kawavua nguo especially vyombo vya uokoaji nk
Ukiwangalia sekta ya uokoaji bongo
Hawajui mambo mengi,mf first aid kutoa hawajui,CPR hawajui....
Tupotupo tu
Haya mambo inabd watu wafundishwe ikiwezekana kuanzia mashuleni...syo watoto ubongo wao umejaa bongo fleva tu na kukata mauno tu
Ova
Majeshi yana mikondo miwili kuna wanaoajoriwa elimu za darasani na kuna wanaoajoriwa kwa kijipambanua kwa vitu vya ujasiriMajeshi bado wanaajiri la7 mpaka leo.
Ukitaka uthibitisho zaidi wa haya ninayokueleza, uliza staff wa jeshi kwa kujiridhiaha ukianzia na Jwtz.
Wa mwaka gani? Mbona yule Mmasai wa sasa anaonekana msomi?Nikukumbushe kidogo tu.
Katibu wa wilaya wa ccm wilaya ya muheza mkoa wa Tanga ni darasa la saba (7).
Kila kitu Tanzania kinawezekana mkuu