Shujaa wa filamu ya 'Hotel Rwanda', Paul Rusesabagina ashikiliwa kwa mashtaka ya ugaidi

Shujaa wa filamu ya 'Hotel Rwanda', Paul Rusesabagina ashikiliwa kwa mashtaka ya ugaidi

mbona misheni ya kumlipua kikwete haijatimia ? mbona mission ya kuipindua Burundi haijatimia.. anaonea wapuuzi wenzake wa rwanda tu< congo alisumbua sana ila baada ya Tanzania kupeleka majeshi tu chaliii
Embu kumbuka maneno ya Mtikila kuhusu PK kupandikiza majasusi.
Kumlipua Kikwete siokweli ni uzushi tu.
Majeshi ya Tanzania kule Congo ni kwajili ya kulinda amani,Tanzania ni hazina ya amani.
PK anaingia Congo kuwasaka wabaya wake na wauwaji waliokimbilia Congo kama mwenyewe anavyadai,lakini sio Congo tu anawafata popote pale ulimwenguni na mpaka sasa anafanya hivyo.
 
[emoji16][emoji16][emoji16] . endelea kuota
Kajiua yewe mwenyewe! Hakua na mvuto wowe yule au kazi yoyote ya kuisumbua serikali.

Kajiua mwenyewe! Kuwa chochote kwa serikali,ni complex ya kua msani alietengeneza jina na kuharibika mda mfupi. Alijuta na kujiona hana maana tena kwa jamii.

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Shida ni kuikosoa serikali ya Rais Kagame.
 
Usinipangie jukwaa. Kagame role model wa timu pinga pinga
WeweNumbisa huku umevamia kambi, kambi yako ni kule kwenye jukwaa la celebrities na lile LA Uhusiano, Urafiki na Mapenzi. Unajua Kagame ni role model wa nani hapa bongo? Uliza hata watoto watakwambia
 
Muulize wewe,ninachojua timu pelekwa upepo mna role model kila kona mara kenyatta,museven na kagame

Corona imewaumbua sana mlikua mnamfagilia huyu jamaa
Sawa dada. Uwe na mchana mwema.
 
Kuna sehemu nimewahi kusoma kuwa wakimbizi wengi wenye hadhi ya Paul uhifadhiwa katika nchi husika kama sehemu ya trade hapo baadaye...means pale linapokuja suala la biashara watu wanakutoa kafara
 
WeweNumbisa huku umevamia kambi, kambi yako ni kule kwenye jukwaa la celebrities na lile LA Uhusiano, Urafiki na Mapenzi. Unajua Kagame ni role model wa nani hapa bongo? Uliza hata watoto watakwambia
Muambie wewe banah! Yaani huku kavamia jukwaa, siyo saizi yake kabisa
 
Wanasema huyo jamaa 'wamemteka' akiwa Dubai,kuna video yake nimeiona inapostiwa kule twitter akiongea kwa kiingereza akipongeza mashambulizi yaliyoua watu kadhaa na kuchoma magari yaliyofanywa na kikundi chake huko Rwanda chini ya yule msemaji wao aliyekua anajiita Major Sankara ambae nae 'walimteka' kule Comoro sasa yuko Kigali akiwa na kesi.

So nadhani yule msemaji wake anayejiita Major Sankara ndie atatumika kumchoma huyo jamaa.

Wazungu kule twitter wamechachamaa balaa kwa hasira,naona wanajibiwa kwa kuwekewa hio video jamaa akipongeza kikundi chake kwa mashambulizi hayo,wanakua wapole.
Kwa shemeji kuna king'amuzi kizuri

shemeji oyee[emoji28][emoji28]
 
Muambie wewe banah! Yaani huku kavamia jukwaa, siyo saizi yake kabisa
Hahahah! Halafu anajisimamia kwelikweli aonekane yupo sahihi, asijue anaendelea kupuyanga.
 
Wazungu sometimes don't give the fuc.k about Africans&other races.

Yule Kashogi si aliuwawa ndani ya ubalozi wa uturuki wazungu waliifanya nini Saudi Arabia mpk sasa?

PK ana makando kando kibao lkn ndiye rais pekee anayeenda kupiga lectures huko kwa wazungu Harvard University,Cambridge,King's College etc,kila siku yuko huko Davos na hao hao wazungu na wala hawahaingiki nae.

Wanaweza kuishia kuweka tu hashtags huko twitter ndo nitolee hio.

Inshort,mimi naona wazungu hua wanaangalia maslahi yao tu kama hujawagusa wala hawahangaiki na wewe hata uuee raia wako nchi nzima wanapiga kimya kama hawaoni vile.,gusa maslahi yao sasa ndio utawajua vzr.

Let's wait&see mkuu.
Nakazia
 
Kwa shemeji kuna king'amuzi kuzuri

shemeji oyee[emoji28][emoji28]
Hahah haya ni matunda ya kusikiliza bbcswahili/dw swahili kila asubuhi/jioni kwny karedio ka mchina kenye bluetooth, shemeji alikoniletea kama zawadi sababu ya kumuoshea ndinga lake vzr kila mara mkuuu,hahahah.

Ila daah una kumbukumbu si mchezo.
 
Hahah haya ni matunda ya kusikiliza bbcswahili/dw swahili kila asubuhi/jioni kwny karedio ka mchina kenye bluetooth, shemeji alikoniletea kama zawadi sababu ya kumuoshea ndinga lake vzr kila mara mkuuu,hahahah.

Ila daah una kumbukumbu si mchezo.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Huwa inafurahisha sana jinsi unavyowachota
 
Back
Top Bottom