Shukrani kwa Jamii Forums kwa kunipa Tuzo πŸ™πŸ½

 
Ndiyo ujifunze na wewe kuoa PisiKali ambayo ni smart pia upstairs

We hujifunzi Kwa sisi Wazee wenu pia tulivyoweza kupoint visu😜
Ndio hadi nipate binti anaetoka kwenye familia ya watu smart upstairs kama ya mheshimiwa. Huku mtaani kwetu wamejaa wavaa vijora tu familia yote inachamba hadi baba mzazi anajua kusuta.
 
Hongera sana
 
Mheshimiwa hauna baya, hongera sana.Samahani hauna binti mwenye miaka kuanzia 24?
Nataka tutengeneze ujamaa wa kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…