Hehehe jana nilipiga valeur mchana alafu ikayeyuka mpwa zipo feki siku hizi.
Unajua kuna watu hawapendi kuzaa mapema wanapenda wazae baada ya malengo flani kutimia.
Jamani ingawa hii ni kweli lakini tusisahau na kuanza kujivika joho la MUNGU. Watoto ni majaaliwa ya MUNGU.X-pin, tuweke uzungu na unafiki kando halafu tuseme ukweli wa Kiafrika... Umeoa Mke, amekaa mwaka mmoja hajapata mtoto, utaona eyebrows zinaanza kuinuliwa... na maswali kibao... mwaka wa pili ukipita inakuwa balaa... tusidanganyane...
Isipokuwa na watoto inakuwa si familia? Familia ni nini?
tuendeleee hommie
Haya kwa kibantu bado tutang'ang'ania ndoa ni lazima tupate watoto?! Au ndo mtasema itabidi mumewe atafute mke mwingine??
Sikatai. Nashtushwa kidogo kuwa je inapotokea hivyo kwa kuwa ni Mpango wa Mungu. Hiyo ndoa tuisarambatishe kijana akatesti zari kwingine?
Jamani ingawa hii ni kweli lakini tusisahau na kuanza kujivika joho la MUNGU. Watoto ni majaaliwa ya MUNGU.
Nina rafiki yangu aliyeolewa mwaka jana, after one month baada ya arusi akapata matatizo ya tumbo fibroid akaendapasuliwa itolewe madr si wakakosea wakakata vya kukata na kumsababishia kizazi kuharibika! Ndo hawezipata mtoto kabisa maana kilitolewa na ndio kwanza anatimiza 28 this december!
Haya kwa kibantu bado tutang'ang'ania ndoa ni lazima tupate watoto?! Au ndo mtasema itabidi mumewe atafute mke mwingine??
Ndoa sio lazima upate watoto.
Ndoa ni mwanamke na mwanaume kupata mtoto/watoto ni majaaliwa.
Kikuwa zaidi katika ndoa ni upendo, shibishaneni upendo ndani ya nyumba ndo raha ya ndoa na si watoto ambao kuwapata ni maajaliwa ya mwenyezi Mungu. Mkisha kuwa kitu kimoja kama mwili mmoja ni faraja kwenu wawili.
Baba, Mama na Watoto
Sasa hapa ndo tunarudi kwenye ile sredi nyingine ya Geoff... Arranged V/s Love Marriages... Kama ni arranged Marriage kule kwetu, Geoff angepewa mdogo wake Mshiki aendeleze familia...π
Sasa hapa ndo tunarudi kwenye ile sredi nyingine ya Geoff... Arranged V/s Love Marriages... Kama ni arranged Marriage kule kwetu, Geoff angepewa mdogo wake Mshiki aendeleze familia...π
Mpwa leo tukutane kwa ankal. Unanidai miksa ya valuu na safari!
Jamani ingawa hii ni kweli lakini tusisahau na kuanza kujivika joho la MUNGU. Watoto ni majaaliwa ya MUNGU.
Nina rafiki yangu aliyeolewa mwaka jana, after one month baada ya arusi akapata matatizo ya tumbo fibroid akaendapasuliwa itolewe madr si wakakosea wakakata vya kukata na kumsababishia kizazi kuharibika! Ndo hawezipata mtoto kabisa maana kilitolewa na ndio kwanza anatimiza 28 this december!
Haya kwa kibantu bado tutang'ang'ania ndoa ni lazima tupate watoto?! Au ndo mtasema itabidi mumewe atafute mke mwingine??
Watu mnapotosha nyie.
Ndoa bana sio lazima mzae watoto mm hili nalikataa nina babu yangu kaishi na mke wake miaka yote na hawana mtoto hata mmoja na wanaenjoy life. Upendo wenu ndani ya nyumba ni zaidi ya kuwa na mtoto wengine wanafikiri kuzaa ndo kunaongeza upendo ndani ya nyumba sio kweli.
Hebu turudi kwenye katiba yaani BIBLIA. Kuna Sehemu yoyote kwenye biblia inayosisitiza hilo? Sakramenti bana ni mambo ya kimapokeo tu, mi nafuatilia BIBLIA zaidi!
Watoto wanapokosekana si familia tena? Lets say Familia ya Askofu mlikuwa mume mke na watoto wawili. Bahati mbaya watoto wakatangulia mbele ya haki. Inakuwa tena si familia ya Askofu?
Jamani ingawa hii ni kweli lakini tusisahau na kuanza kujivika joho la MUNGU. Watoto ni majaaliwa ya MUNGU.
Nina rafiki yangu aliyeolewa mwaka jana, after one month baada ya arusi akapata matatizo ya tumbo fibroid akaendapasuliwa itolewe madr si wakakosea wakakata vya kukata na kumsababishia kizazi kuharibika! Ndo hawezipata mtoto kabisa maana kilitolewa na ndio kwanza anatimiza 28 this december!
Haya kwa kibantu bado tutang'ang'ania ndoa ni lazima tupate watoto?! Au ndo mtasema itabidi mumewe atafute mke mwingine??
Mi nikiwaambia huyu askofu feki watu wananibishia. Huyu ni askofu Mdumisha Mila mwenzetu! Senksi Askofu, unatumia bia gani vile?
Soma Mwa 1: 26-28, 2: 21-24. (agano la kale)
soma Math 19: 1-10, Mk 10:1-10, Lk:16:18 (agano jipya-injili)
hapo hatujagusa nyaraka.....inherent kwenye hilo ni msisitizo wa ndoa kama ilivyokuwa imeumbwa tangu mwanzo...manake mfano mafarisayo walitaka kumtega Yesu juu ya uhalali wa talaka...akaawaambia 'maandiko yanasemaje? wakasema kuwa Musa aliwapa ruhusa ya talaka.....akawaambia ilikuwa hivyo kwa sababu ya UGUMU wa mioyo yenu...ila tangu mwanzo ilikuwa mtu atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe nao watakuwa mwili mmoja...sasa ukisoma Mwanzo 1:26-28, Mungu aliwaagiza mwanamke na mwanaume kuwa "zaeni mkaongezeke, mkaijaze nchi".!
haya tuendelee jamani samahanini kwa maandiko yaliyo biased sina uzoefu wa quran tukufu!
Sasa hapa ndo tunarudi kwenye ile sredi nyingine ya Geoff... Arranged V/s Love Marriages... Kama ni arranged Marriage kule kwetu, Geoff angepewa mdogo wake Mshiki aendeleze familia...π