Askofu
JF-Expert Member
- Feb 14, 2009
- 1,664
- 87
Askofu, huo ndio ukweli, nadhani hilola watoto limeshaeleweka hapa......sasa wamebaki kwenye maana ya familia na nimeshawaelezea lakini kama kawaida watazunguka zunguka tu!
nimekugongea ka senks kako, kanywee supu