Shukrani za Jamal Emil Malinzi kwa wana JF

ukiamini katika kushinda ni jambo zuri kinyume chake huwa ni Huzuni umepewa dhamana ya kuongoza soka la Bongo tupe Furaha Watanzania tushinde Vikombe na kushiriki mashindano makubwa kwa mafanikio.
 
Hongera sana Mkuu... Namalizia kwa Shukurani yako na Wewe tunakupa Waikora Waitu
 

....Kwanza pongezi za dhati kwa kuchaguliwa kwako... Pili tunafahamu wazi kwamba wewe ni Yanga DAMU ... sasa chonde chonde weka U-Yanga wako mbali na utende haki kwa wote.... na watanzania wamekua na kiu kubwa sana na kiu yao kubwa ni kutaka mabadiliko.... TFF iliyopita ilijaa ubabaishaji... Rais Tenga hakuwa mtu wa kufuatilia maswala mengi ili kusukuma na kupata uamuzi wa haraka.. ni kama vile alikuwa anaongoza TFF kwa remote control ... kuna watu alikuwa anawaogopa hasa wale waliomweka madarakani.. alikuwa anaogopa lawama... mpira wa miguu ni mchezo unaochezwa hadharani... kwa maana hiyo maamuzi ya refa yakienda kinyume wataZamaji wanaona wanaangalia ... hatua kali sana zichukuliwe bila upendeleo kwa waamuzi wanaochezesha kinyume na sheria 17 za michezo .... nimeona na kusoma ilani yako ya uchaguzi wa Tz tunasubiri kuona mabadiliko... Narudia kukupongeza na kukutakia kila la kheri katika majukumu yako ya siku hadi siku kuliendeleza gurudumu la soka la BONGO... Mwenyezi Mungu akusaidie... Amina

 
ahaaaa mi wala sitaki bana ..am taken!

Taken wapi! Wacha kuzuga majuto ni mjukuu. Siku si nyingi nitajitokeza kama verified user utajisikia vibaya sana.

Sioni sababu yoyote sasa yakutokuwa verified user maana wengi sasa tunajulikana huku tukitumia id hizi za kujificha. Sasa najiripuwa soon.
 
Hongera na kila la heri katika majukumu.
 
Hii nadhani itakuwa ni mojawapo ya surprise za mwaka...
 
hongera sana. ukiharibu uje pia kutupa taarifa humu. all the best.
 
Ameanza kwa kuwasamehe wote walio fungiwa na uongozi wa Tenga na amefumua kamati zote.
 
ahaaaa am taken kweli! kwani ulidhani nitabaki single milele mi padre au sister
 
Hongera sana Mzee mwenzangu Jamal Malinzi tupo pamoja....
Nakutakia kila la kheri katika kuliongoza jahazi la TFF naamini kwa busara zako na hekima alizokujaalia mwenye enzi Mungu uaifikisha TFF mbali na nchi yetu itapiga hatua kubwa katika medani ya mchezo wa mpira wa miguu.
 
Hongera sana mkuu,kila la kheri ni wakati wa kuonyesha kuwaNyerere hakuwa sahihi watu kutoka huko kuwa wakikabidhiwa taasisi nyeti WANAWEZA.
 
Tukiandaa Afcon ndio bomba kwanza Taifa Stars itapata tiketi ya kucheza michezo yenyewe bila hustle 😎
 
Ha ha ha ha, watu hawajui kuwekeza, wanataka hadi ufanikiwe kwanza.

Hawajui mie niliwekeza mapema, sasa hivi nddio nashkilia trip zote.

Kwa Malinzi umeshachelewa Kongosho tayari amekaba mpaka penati vekesheni za Uswiss anazdhibiti mwenyewe.

Ni nafasi yako hii usisubili mpaka Matola amuuwe kuwa verified user muanze kugombea vile visima vya gesi.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…