Shukuru Kawambwa kwenye mgogoro wa ardhi na diwani mstaafu, Hassani Usinga. Watishiana kufungana pingu

Shukuru Kawambwa kwenye mgogoro wa ardhi na diwani mstaafu, Hassani Usinga. Watishiana kufungana pingu

Kuna mdau Leo kanitonya kuwa afande 'kipigo Cha mbwa koko' Ni mlinzi Kama walinzi wengine wanaoshika rungu usiku wakati ndani mke na mume wanakulana.
Mtakumbuka alikua akitoa press conference nyuma yake alikuwepo ADC wa FFU aliyevalia uniform nadhifu na nyumbani kwake alikua na walinzi na Batman.
Kuna maisha baada ya hizi kazi.
Acha kuongeza chumvi. Anafanya kazi kama consultant kwenye kampuni ya ulinzi. Halafu hata hivyo elewa kwamba kwenye haya makampuni ya ulinzi wadau wakubwa nyuma yake ni wakubwa kutokea kwenye majeshi.
 
Yaani mtu umkute shambani kwake analima unaanza kumfunga kamba eti unampeleka polisi kivipi? Alikuwa na arrest warranty? Mie sio polisi wangekuja kuchukua miili yao,
Kuna sehemu.imeonekana kwenye hiyo clip akiwa analima?Mimi nimesikia unatufungia njia na magogo, Arrest warranty ni nini vile hebu nikumbushe na hutolewa wakati gani na mamlaka gani?
 
Acha kuongeza chumvi. Anafanya kazi kama consultant kwenye kampuni ya ulinzi. Halafu hata hivyo elewa kwamba kwenye haya makampuni ya ulinzi wadau wakubwa nyuma yake ni wakubwa kutokea kwenye majeshi.
Konsaltanti!!
 
Huyu Wembe ni mjinga sana, ilitakiwa atumie ustaarabu hata kama ana haki si kwa kutumia uhuni na udhalilishaji wa aina hii, nina wasiwasi na pia na huo umiliki wa machimbo ya mchanga kama kaupata kihalali na kwa tabiii hii sidhani kama hata analipa kodi kutokana na uchimbaji huo,na kingine ameharibu barabara hapa inatakiwa mamlaka zifanye kazi yake, kwa jeuri aliyoonyesha sina shaka kwamba huyu jamaa anafanya shughuli zake kimagumashi kwa kuwatishia hao wanakijiji wa kawaida,kama anaonyesha kiburi na jeuri kwa mtu kama Dr Kawambwa na huyo askari mstaafu je kwa mwananchi wa kawaida inakuwaje, yeye Wembe kwa Kawambwa ni ni mtu mdogo sana na ndio maana mzee Kawambwa aliamua kuwasaidia wananchi wenzake, sijui hii jeuri huyu wembe kaitoa wapi, sijui huyu Wembe ni mtu wa wapi! Inabidi atolewe mfano ili liwe fundisho, na nina hakika huyu mhuni huo mgodi ameupata kwa njia za kihuni na halipi kodi au tozo zinazostahili.
Afadhali wewe umesema hujui ni mtu wa wapi.
 
Tatizo watu tunashabikia heading tu badala ya kujiridhisha. Mh Mstaafu Shukuru Kawambwa siyo dalali, narudia tena siyo dalali alichokuwa akifanya ni kutaka kunusuru mazingira kutokana na uharibifu unaotokana na uchimbaji wa mchanga uliokwa ukiendelea kiholela.
 
Yaaan watanzania akili zetu ni ndogo kweli kweli, sijui umasikin umemaliza bongozetu. Mim sijaona kuchoka kwa kawambwa ila nimeona tu ni mtu inawezekana anaishi maisha yake ya kawaida ya kuustafu. Yaan unataka kunambia kawambwa akipiga simu moja hapo haiwafikii wakubwa.

Anavijana wake kibao alishaga waweka kwenye mifumo naamini. Nilichojifunza ni huyo jamaa anaweza jutia vijaziba vyake na kawambwa akawa kaamua kuwa low key.
Hatahivo ni mtazamo wangu kwanyie mnao amin hanapesa endeleen, ila mkumbuke ng'ombe hazeeki maini.
 
Umeongea kweli mpaka JPM alivyokuja Raisi, na kwenda Chalinze, na Mbunge WA Chalinze Rizwani, alipomuomba awapatie maji, Marehemu -Hayati alimwambia Raisi alikuwa Baba yako na waziri wa Maji alikuwa Kwamba na hela ilitoka na mradi ukaliwa Fedha. Na hiyo Barabara ya toka Bunju kwenda Bagamoyo ndio ikajengwa chini ya kiwango
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila JPM alikua anatema kitu wazi wazi.
 
Kuna mdau Leo kanitonya kuwa afande 'kipigo Cha mbwa koko' Ni mlinzi Kama walinzi wengine wanaoshika rungu usiku wakati ndani mke na mume wanakulana.
Mtakumbuka alikua akitoa press conference nyuma yake alikuwepo ADC wa FFU aliyevalia uniform nadhifu na nyumbani kwake alikua na walinzi na Batman.
Kuna maisha baada ya hizi kazi.
mlinzi mwenye kampuni, kwa mwezi anaingiza si chini ya 50m.
 
Haya ndiyo huwa yanasababisha mpaka watu wanatekeleza jinai. Sasa fikria una kipaja cha kuku si unalilipua? Eti linamsukumasukuma na kumtishia kumfunga kamba shenzi kabisa!
Mimi nimechukia sana hawezi kuongea na kiongozi mstaafu vile! Huyo kijana yuko wapi nikampige ngumi za uso tatu na ya pua moja. Yaani anataka kumfunga kamba waziri mstaafu!?
 
Kuna mdau Leo kanitonya kuwa afande 'kipigo Cha mbwa koko' Ni mlinzi Kama walinzi wengine wanaoshika rungu usiku wakati ndani mke na mume wanakulana.
Mtakumbuka alikua akitoa press conference nyuma yake alikuwepo ADC wa FFU aliyevalia uniform nadhifu na nyumbani kwake alikua na walinzi na Batman.
Kuna maisha baada ya hizi kazi.
Sidhani kama ni kweli. Sema amefungua kampuni ya ulinzi so kaajili watu sio kwamba yeye ndiye anakaa magetini.
RPC ni cheo kikubwa sana hawezi kufulia kiasi hicho.
Nyingine huwa ni story za changamsha kijiwe tu.
 
Kuna mdau Leo kanitonya kuwa afande 'kipigo Cha mbwa koko' Ni mlinzi Kama walinzi wengine wanaoshika rungu usiku wakati ndani mke na mume wanakulana.
Mtakumbuka alikua akitoa press conference nyuma yake alikuwepo ADC wa FFU aliyevalia uniform nadhifu na nyumbani kwake alikua na walinzi na Batman.
Kuna maisha baada ya hizi kazi.
Mkuu wa Kitengo cha ulinzi Kwenye moja ya migodi ya barrick,anakula hela nyingi
 
kuwa sehemu akilea wajukuu huku akifurahia pension yake.
alee wajukuu, hao wajukuu hawana wazazi ?

Hivi baba aliyekulea unawezaje kum dampia watoto wako nao awalee, umezaa na baa medi ??????? Acha kukariri misemo ya mitaani, mingine imetungwa na wapika pombe.

Video inaongelea Kawambwa kafunga barabara ambayo imevamiwa na wafanyabiashara, possibly wa mchanga. Wapi wameongelea udalali wa viwanja? Video inasema wanalipa kodi. Dalali wa viwanja analipa kodi?

Yani tunajadili matopiki kuendana na yalivyoanzishwa na mpika pombe labda. Na sisi tunatiririka nayo hivyo hivyo ttttrrrrrr....

Akae afurahie pensheni! hivi Waziri ana pensheni? Again, acha kukariri.
 
View attachment 2973546

Alihudumu kama Waziri kwa vipindi vyote viwili vya JK kama Waziri wa Ujenzi kisha Elimu. Dkt. Shukuru Kawambwa ambaye baada ya kuwa Lecturer UDSM akagombea ubunge wa Bagamoyo.

Kwenye clip anaonekana akiburuzwa na vijana kwenye udalali/ utapeli wa viwanja eneo la Bagamoyo. Mafao ya ubunge ya vipindi 2 yote yamekwisha

Kweli siasa ni nyokooo!!
Mpiga picha mwoga. Ila katolewa nishai 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom