Shukuru Kawambwa kwenye mgogoro wa ardhi na diwani mstaafu, Hassani Usinga. Watishiana kufungana pingu

Shukuru Kawambwa kwenye mgogoro wa ardhi na diwani mstaafu, Hassani Usinga. Watishiana kufungana pingu

Kuna siku wananchi watawafunga kamba mafisadi wote wa sisiem na kuwaburuta kama bokasa mtaani.
 
Pingu kanyimwa, kuna mdada kavua wigi wakatumia kama kamba sheme on him, unafunga kamba mtu ana phd kweli? Hapana kabisa,
Kwenye clip inaonekana pingu nahisi hapo kulikuwa na mgambo!,
Profesa PhD holder waziri mgambo anamfunga....
Huyu kijana lazima ashughulikie sio kwa kumdhalilisha mheshimiwa hivyo.

Alishindwa nini kutumia hekima kuobgea nae?
 
Mleta mada huna adabu.
Prof. Kawambwa ninafahamiana naye.
Hawezi kujiingiza kwenye udalali. Hakua na elimu ya kudesa huyu bwana. Amesoma uhandisi UDSM akasoma PhD yake masuala ya engineering Australia
Hakua na skendo za kipuuzi na si mtu wa kujikweza na mpuuzimpuuzi kama walivyo CCM wengi.
Kijana aliyemtishia Dr.Kawambwa lazima achezee vitasa
Huwezi mzalilisha PhD holder ukaachwa hivi hivi
 
Dah
Wakuu hii inaudhunisha sana
Huyu Mwamba alikuwa Mhadhiri, Mbunge na Waziri.

Akiwa Waziri aliwahi kuja kutuliza mgomo UDSM. Kwa kipindi hicho, alionekana ni mtu asijitambua, hajui kujieleza na hana maono wala solution ya changamoto za wanafunzi. Aidha alikuwa anayumba sana Sana Bungeni. Kutokana na udhaifu huo wadau walihoji sana kuhusu alivyopata PhD, na aliwezaje kuwa mbunge na Waziri.

Ingawa sijajua backgraound ya huu mnyukano, naona fedhehe, huruma kwa mtu mwenye hadhi yake kuwa katika mazingira ya kurumbana na kuvunjiwa heshima na vijana uswekeni. Hii inafanya tuanze kuamini kuwa pengine wale waliokuwa wanahoji uwezo wake kiutendaji na kifikra, walikuwa sahihi.

Haiingii akilini kwa PhD, na mtu aliwahi kuwa Waziri wa Ujenzi/Mawasiliano, Waziri wa Elimu kufikia hali hii. Kutokana na elimu na Uzoefu wake, alipaswa kuwa mtu decent anayemudu maisha yake na anayekubalika katika jamii. Wengine tulitegemea awe katika majukwaa ya kimataifa akitoa uzoefu kwa new generation, au kuwa investors au mkulima mwenye mafanikio au kuwa sehemu akilea wajukuu huku akifurahia pension yake.

Hii inatoa picha kuwa siasa ndio ilikuwa biashara na kitu kilichokuwa kinampa heshima mjini. Nje ya siasa hana uwezo wa kumudu kuendesha maisha yake ipasavyo. Kwa maana nyingine tuliongozwa na kilaza. Kama yeye mwenyewe ameshindwa kumudu maisha licha ya kupata fursa adimu na kubwa aliwezaje kuwa kichwa cha wizara alizoziongoza.

Huyu ni mfano tu lakini wapo mawaziri na makatibu wakuu wastaafu wengi tu ambao maisha yao ni huzunin tupu baada ya kustaafu. Kuna kiongozi mmoja mzito wakati akiwa juu aliwahi piga deal la 20B, lakini hivi sasa hana kitu, anasumbua tu vijana walipo serikalini ili wampige tafu. Somo ni kuwa kujilimbikizia hela haramu siyo deal, deal ni akili na nidhamu ya maisha uku ukimtegemea mungu.

Mungu atusaidie tupate viongozi bora wenye uwezo kutuongoza
Ungejipa hata muda wa kupitia comments za wachangiaji wa awali kabla ya kubwabwaja.
 
View attachment 2973546

Alihudumu kama Waziri kwa vipindi vyote viwili vya JK kama Waziri wa Ujenzi kisha Elimu. Dkt. Shukuru Kawambwa ambaye baada ya kuwa Lecturer UDSM akagombea ubunge wa Bagamoyo.

Kwenye clip anaonekana akiburuzwa na vijana kwenye udalali/ utapeli wa viwanja eneo la Bagamoyo. Mafao ya ubunge ya vipindi 2 yote yamekwisha

Kweli siasa ni nyokooo!!
Wakuu sio kweli Mimi niko kitopeni Kwa Mashaka kilichotokea ni kwamba shukuru kawambwa anatetea maslahi ya wengi hapa kitopeni yameanzishwa machimbo ya mchanga kilometer mbili kutoka stand kuu ya bagamoyo na Mita mia tatu kutoka bagamoyo road kama unaitazama kesho unaona kabisa shukuru kawambwa na dso walikua wakitetea kizazi Cha kesho hasa ukitazama shughuli za machimbo hayo zimewaacha wananchi bila ya Barbara Yan sio pikpik sio gari wala watembea Kwa miguu
 
Wakuu sio kweli Mimi niko kitopeni Kwa Mashaka kilichotokea ni kwamba shukuru kawambwa anatetea maslahi ya wengi hapa kitopeni yameanzishwa machimbo ya mchanga kilometer mbili kutoka stand kuu ya bagamoyo na Mita mia tatu kutoka bagamoyo road kama unaitazama kesho unaona kabisa shukuru kawambwa na dso walikua wakitetea kizazi Cha kesho hasa ukitazama shughuli za machimbo hayo zimewaacha wananchi bila ya Barbara Yan sio pikpik sio gari wala watembea Kwa miguu
Wahuhuni wanamzushia udalalali Mzee wa watu, vijana waliohusika na kumfedhehesha laana khum
 
Huyu farasi anaropoka kama mwijaku, daaah kamletea fedhea sana mheshimiwa, abinywe kidogo siku nyingine aheshimu watu wazima.
 

Alihudumu kama Waziri kwa vipindi vyote viwili vya Jakaya Kikwete kama Waziri wa Ujenzi kisha Elimu. Dkt. Shukuru Kawambwa ambaye baada ya kuwa Lecturer UDSM akagombea ubunge wa Bagamoyo.

Kwenye clip anaonekana akiburuzwa na vijana kwenye changamoto ya viwanja eneo la Bagamoyo. Mafao ya ubunge ya vipindi 2 yote yamekwisha.

Kweli siasa ni nyokooo!!
Rekebisha heading, sio watishiani sema Diwani mstaafi amtishia kumfunga pingu Mh Kawambwa.Period.
 

Alihudumu kama Waziri kwa vipindi vyote viwili vya Jakaya Kikwete kama Waziri wa Ujenzi kisha Elimu. Dkt. Shukuru Kawambwa ambaye baada ya kuwa Lecturer UDSM akagombea ubunge wa Bagamoyo.

Kwenye clip anaonekana akiburuzwa na vijana kwenye changamoto ya viwanja eneo la Bagamoyo. Mafao ya ubunge ya vipindi 2 yote yamekwisha.

Kweli siasa ni nyokooo!!
Wewe ni miongoni mwa mavijana ya hovyo humu nchini yenye akili finyu, zilizojaa makamasi, we unaujua vizuri huo mgogoro? Mtu anaharibu mazingira, anasababisha mamia ya wananchi wanashindwa kupita kwa uharibifu wa barabara uliofanywa na huyo muhuni aliyevaa kaboka na genge lake la wachota michanga, Kawambwa anazuia uharibifu, tena kwa baraka za mkutano wa kijiji ,halafu wewe unamkebehi na kumwita dalali!!! Hovyo kabisa wewe.
 
Eeh mipunga kama kawaida
Zamani kuna kisa nakikumbuka
Tulikuwa tunakaa jirani na mzee mzena,sasa pale kwa mzena kutimba ilikuwa kawaida tu
Sasa kuna siku waliendaga watu wa dawasco wakati ule wanaitwa NUWA something like that,jamaa wale walienda kwake kukata maji
Walizuiwa sema jamaa wakakata maji kibabe na maneno mengi ya kashfa,jamaa wakaambiwa nyie mnapajuwa pale kwa nani 😄
Kilichowapata wale jamaa wanajuwa wenyewe.....maana walikuja mabosi zao wenyewe wakafungua maji 😄
Ilikiwa adaestate hiyo

Haya mambo ya kukurupuka kumsomea mtu mbovu bila kumjuwa ni hatari sana

Ova
 
Mk
Wewe ni miongoni mwa mavijana ya hovyo humu nchini yenye akili finyu, zilizojaa makamasi, we unaujua vizuri huo mgogoro? Mtu anaharibu mazingira, anasababisha mamia ya wananchi wanashindwa kupita kwa uharibifu wa barabara uliofanywa na huyo muhuni aliyevaa kaboka na genge lake la wachota michanga, Kawambwa anazuia uharibifu, tena kwa baraka za mkutano wa kijiji ,halafu wewe unamkebehi na kumwita dalali!!! Hovyo kabisa wewe.
Mkuu mkoa wa pwani naye kazungumza
Huyo jamaa atabanwa
Ila kawambwa miaka nenda rudi syo muongeaji sana Ana ustarabu fulani ndomana kwenye ile clip alikuwa anamcheki tu jamaaa
Ila jamaaa msng kweli eti anataka kuwafunga kamba

Ova
 
Wewe ni miongoni mwa mavijana ya hovyo humu nchini yenye akili finyu, zilizojaa makamasi, we unaujua vizuri huo mgogoro? Mtu anaharibu mazingira, anasababisha mamia ya wananchi wanashindwa kupita kwa uharibifu wa barabara uliofanywa na huyo muhuni aliyevaa kaboka na genge lake la wachota michanga, Kawambwa anazuia uharibifu, tena kwa baraka za mkutano wa kijiji ,halafu wewe unamkebehi na kumwita dalali!!! Hovyo kabisa wewe.
Nilipost kadri nilivyoipata kutoka kwenye magroup kwa wakati ule. Na ninajuwa Diwani wa zamani ndiye aliishia kushikwa na Polisi.

Mbona hili limekwisha. Kawwmbwa hana shida
 
Back
Top Bottom