Shukuru tu mume wako, bwana wako, boyfriend wako hana hela

Shukuru tu mume wako, bwana wako, boyfriend wako hana hela

Nilimwanza mimi tukiwa vijana enzi hizo.

Tukaachana kama miaka 4 hivi, tulivyorudiana ndio ikawa mazima yani.

We have a family ñow.

Kuchepuka ni mpaka nifanye risk assessment 🤣🤣.

Kuna uzi wangu huku wa Michepuko Experience 🤣🤣
Nitag huo uzi kaka

Sema hiyo miaka 4 mliyoachana lazima wahuni waliruka naye 😅 ila si haba ulimzindua mrembo

Yh risk assessment muhimu
 
Hahaha asante kwa ushuhuda Mamy K wanasema firisika tujue tabia ya mkeo...mwanaume akiwa na kibunda utamjua tabia yake
Nashukuru nilimjua tabia yake kuhusu pesa.....now nafanya mambo yangu tu, hata kwenye maombi nimemtoa🤣🤣🤣, Yani wakati mwingine dili zake zikifeli nakuwa napata kiraha flani hiviii....🤣🤣🤣
 
Nashukuru nilimjua tabia yake kuhusu pesa.....now nafanya mambo yangu tu, hata kwenye maombi nimemtoa🤣🤣🤣, Yani wakati mwingine dili zake zikifeli nakuwa napata kiraha flani hiviii....🤣🤣🤣
Duuuh! Hii kali, 🤣🤣🤣

Hizi ndoa hizi Mungu saidia tu

Una maana dili zake zikienda vizuri anazidi kuzichapa nje huko kwa hiyo bora zifeli tu
 
Back
Top Bottom