Shukuru tu mume wako, bwana wako, boyfriend wako hana hela

Shukuru tu mume wako, bwana wako, boyfriend wako hana hela

🤣🤣🤣🤣🤣 natania mkuu hiyo pisi ni kali sana.
Ulikua unaanza kufeli mkuu serious
Mcheki vizri sasa
Screenshot_20240522-022937.jpg
 
wazungu wanasema you only f**k up sio down , kuna mzigo mkeo akijua unagonga atajifanya amekereka ila anashangaa, moyoni anajiuliza mwamba aliivua ile ngoma chupi na kupiga
 
Bwana mmoja mwenye mihela alisikika akisema kile kifaa lazima mimi ntakuwa wa kwanza na akafanikiwa,tumemzika mwaka jana kwa ule ugonjwa...
 
LHRC kuna watu wanatudharirisha huku
LHRC ina watu wenye waledi mdogo sana kwa hapa bongo, ukiangqliq matukio wanayodili nayo mpaka unashangaa.... si ajabu hata hii comment yako ikavuta attention yao na wakaja kumuhoji huyu mleta mada.

Kuna matukio mengi sana ya unyanyasaji wa wanawake yanafanyika huku vijijini lakini wala hata hawana habari kabisa, wao wapo mijini wakifuatilia kauli za watu kwenye mitandao....
 
Back
Top Bottom