Bado kupaa na ungo tu....Yeye mwenyewe anajua, ananambiaga mama legeza Moyo mambo yatiki🤣🤣🤣🤣Ushakua mchawi tayari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado kupaa na ungo tu....Yeye mwenyewe anajua, ananambiaga mama legeza Moyo mambo yatiki🤣🤣🤣🤣Ushakua mchawi tayari
Sasa ina maana gani kumuombea na kumsupport mtu ambaye yake yakimnyookea anabadilika?Duuuh! Hii kali, 🤣🤣🤣
Hizi ndoa hizi Mungu saidia tu
Una maana dili zake zikienda vizuri anazidi kuzichapa nje huko kwa hiyo bora zifeli tu
♌️Hahaha 🙌🙌🙌 noma sana. Wewe ni wife material hakynani
Ikiwezekana mnapiga na 3some kabisa
Hakuna shida mkuuNini mbaya
Ipo ndio maana ukasema au basiHakuna shida mkuu
Sana dah 😂Unakabia juu sana mzee baba 🤣🤣🤣
😂 cha muhimu ushindiHAhaa... ndio mfumo huoView attachment 3000079
Umeona mkuu 😅😅😅Sana dah 😂
Naona uzi ni picha, mali zimetulia haswa.
mali haswa sijui kama tutajengaUmeona mkuu 😅😅😅
Oyaa mali kama zile sio poa
Mkuu hii pisi umeileta mpaka huku🤣🤣Peart walt... Ni vile maokoto tuuView attachment 3000414
Mkuu huyu mtu endapo akisema nitoe hata kafara nipo tayari aiseeeeeeMkuu hii pisi umeileta mpaka huku🤣🤣
Nature ndo ipo hvo kwa kila mwanaume 😂😂Kwa hizi comments za humu unamkuta mwanaume anamchinja mwanamke wake kisa katumiwa message na kidume mwengine😂😂😂 nyie wenyewe mnayoyafanya hamyaoni
Hivi aliewaambia nyie peke yenu ndo mna hisia ni nani? Yani nyie mfanye ujinga kwa kujisifu na mna familia ila mchumba ako akinunuliwa gari na mwanaume mwengine unataka kumshikia panga
Mbona ya kawaida wameiedit sana cheki vidole vilivyo na sugu, angalia pisi ya kwanza aliyoipost mwenye uzi utakubali.Mkuu huyu mtu endapo akisema nitoe hata kafara nipo tayari aiseeeeee
Nature ndo nini? Mbona hao hao wanaume wenzenu wakija kwenye mawindo yenu mnaua vitoweo.Nature ndo ipo hvo kwa kila mwanaume 😂😂
Unafeli sasa...Mbona ya kawaida wameiedit sana cheki vidole vilivyo na sugu, angalia pisi ya kwanza aliyoipost mwenye uzi utakubali.
🤣🤣🤣🤣🤣 natania mkuu hiyo pisi ni kali sana.Unafeli sasa...
Soon unakula block.😂😂😂
Umekuja hapa kuponda au ..????
Tatizo kuna mda unanifokea sasa 😂😂😂Nature ndo nini? Mbona hao hao wanaume wenzenu wakija kwenye mawindo yenu mnaua vitoweo.
So mnakubaliana kwamba nature inamruhusu mwanamme kuwa na wanawake wengi, sasa anaangukia kwa mtu wa msukuma kama alieishia kuchinja mchumba ake juzi. We unataka kuniambia yule msukuma alikua hana kamchepuko!? Wanaume kuna shida mahala kwenye vichwa vyenu. Acheni kutetea ujinga you can control your damn selves