Shule 24 zafungiwa kuwa vituo vya Mitihani kwa udanganyifu

Shule 24 zafungiwa kuwa vituo vya Mitihani kwa udanganyifu

Kwa hivyo hatima ya wanafunzi wa shule zilizofungiwa na kushikiliwa matokeo itakuwaje?
Watarudia mitihani?
Watapewa muda gani kujiandaa na mitihani?
Kuchaguliwa shule za sekondari nafasi zao zitakuwaje?
Hii inaleta usumbufu sana kwa wazazi na wanafunzi ambao hawahusishwi katika kupanga kufanya udanganyifu.
Wakirudi shule gharama atabeba nani?
Je serikali itawasaidia wazazi wasibebeshwe mzigo wa gharama za ziada?
 
Kumbe nawe umepita Anne Marie, hivi yale Mabweni wamejenga mapya?
Achilia mbali mbweni hata madarasa ya o level hadi a level ni Kama mabanda ya kufugia nguruwe

USSR
 
Ku
Huwa nawaambia waislaam... Hakunaga shule ya kiislaam... Ni shule za wajanja wajanja tu ambao wanaotaka kuteka hisia za waislaam wajinga wakidhani wanaenda kujifunza uislaam... Wanawadanganya kwa mavazi ya kiislaam majalbiib... Wakati mavazi kama hayo yapo hata shule za serikali... Huo uislaam wenyewe unafundishwa kwa kuonja na wala haupewi kipaumbele.

Sasa ona hiyo AL HIKMA ya SHEIKH NURDEEN KISHKI... imefungiwa kwa udangangifu... (they always try to do so kunyanyua ufaulu waweze kujitangaza na kupandisha ada) alafu baadae wanageuka ETI WAISLAAM TUNAONEWA KWENYE MATOKEO... WAPUMBAVU WAKUBWA.

Nyingine ni hiyo JAMIA...

NINGEKUWA RAIS NINGEKATAZA KUITA SHULE KUINASIBISHA NA DINI... ETI ISLAMIC... NI UHUNI NA UTAPELI TU...
KUNA SHULE ZA KIISLAM NA SHULE ZA WAISLAMU,Tofautisha hilo.TANZANIA HAKUNA SHULE ZA KIISLAMU
 
Ku
Huwa nawaambia waislaam... Hakunaga shule ya kiislaam... Ni shule za wajanja wajanja tu ambao wanaotaka kuteka hisia za waislaam wajinga wakidhani wanaenda kujifunza uislaam... Wanawadanganya kwa mavazi ya kiislaam majalbiib... Wakati mavazi kama hayo yapo hata shule za serikali... Huo uislaam wenyewe unafundishwa kwa kuonja na wala haupewi kipaumbele.

Sasa ona hiyo AL HIKMA ya SHEIKH NURDEEN KISHKI... imefungiwa kwa udangangifu... (they always try to do so kunyanyua ufaulu waweze kujitangaza na kupandisha ada) alafu baadae wanageuka ETI WAISLAAM TUNAONEWA KWENYE MATOKEO... WAPUMBAVU WAKUBWA.

Nyingine ni hiyo JAMIA...

NINGEKUWA RAIS NINGEKATAZA KUITA SHULE KUINASIBISHA NA DINI... ETI ISLAMIC... NI UHUNI NA UTAPELI TU...
KUNA SHULE ZA KIISLAM NA SHULE ZA WAISLAMU,Tofautisha hilo.TANZANIA HAKUNA SHULE ZA KIISLAMU
 
Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) limezifungia shule 24 kuwa vituo vya mitihani ya Taifa baada ya kuthibitika kupanga kufanya udanganyifu katika mitihani ya kumaliza elimu ya msingi.

Shule hizo ambazo ni sawa na asilimia 0.13 ya vituo vyote vya mitihani nchini, ndani yake zipo shule maarufu ikiwemo ya Musabe ya jijini Mwanza na St Anne Marie ya jijini Dar es Salaam na shule ya Rweikiza ya mkoani Kagera.

Hayo yameleezwa leo Desemba Mosi na Kaimu Katibu Mtendaji wa Necta, Athuman Amasi wakati akitangaza matokeo ya mtihani wa kumaliza darasa la saba mwaka 2022.

Akizitaja shule hizo ni Kadama shule ya msingi iliyopo Chato- Geita, Rweikiza (Bukoba), Kilimanjaro shule ya msingi (Arusha) Sahare (Tanga), Ukerewe (Mwanza), Peaceland (Mwanza), Karume (Kagera), Al-hikma (Dar es Salaam)

Nyingine ni Kazoba (Kagera), Mugini (Mwanza), Busara (Mwanza), Jamia (kagera), Winners (Mwanza), Musabe (Mwanza), Elisabene (Songwe), High Challenge (Arusha), Tumaini (Mwanza), Olele (Mwanza), Mustlead (Pwani).

Pia zipo shule za Moregas (Mara), Leaders (Mara), Kivulini (Mwanza) na St Severine (Kagera).

“Vituo hivi vimefungiwa kwa mujibu wa kifungu 4(8) cha kanuni za mitihani mwaka 2016 hadi hapo Baraza litakapojiridhisha kuwa ni salama kwa uendeshaji wa mitihani ya kitaifa,” amesema.

Mtihani huo wa kumaliza elimu ya msingi ulihusisha watahiniwa zaidi ya 1.38 milioni nchi nzima.
Kanda ya ziwa kwenye suala la mitihani ya kitaifa kuanzia mwaka 2016hadi sasa kuna matatizo.
 
Huwa nawaambia waislaam... Hakunaga shule ya kiislaam... Ni shule za wajanja wajanja tu ambao wanaotaka kuteka hisia za waislaam wajinga wakidhani wanaenda kujifunza uislaam... Wanawadanganya kwa mavazi ya kiislaam majalbiib... Wakati mavazi kama hayo yapo hata shule za serikali... Huo uislaam wenyewe unafundishwa kwa kuonja na wala haupewi kipaumbele.

Sasa ona hiyo AL HIKMA ya SHEIKH NURDEEN KISHKI... imefungiwa kwa udangangifu... (they always try to do so kunyanyua ufaulu waweze kujitangaza na kupandisha ada) alafu baadae wanageuka ETI WAISLAAM TUNAONEWA KWENYE MATOKEO... WAPUMBAVU WAKUBWA.

Nyingine ni hiyo JAMIA...

NINGEKUWA RAIS NINGEKATAZA KUITA SHULE KUINASIBISHA NA DINI... ETI ISLAMIC... NI UHUNI NA UTAPELI TU...
Punguza chuki maalim,
 
Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) limezifungia shule 24 kuwa vituo vya mitihani ya Taifa baada ya kuthibitika kupanga kufanya udanganyifu katika mitihani ya kumaliza elimu ya msingi.

Shule hizo ambazo ni sawa na asilimia 0.13 ya vituo vyote vya mitihani nchini, ndani yake zipo shule maarufu ikiwemo ya Musabe ya jijini Mwanza na St Anne Marie ya jijini Dar es Salaam na shule ya Rweikiza ya mkoani Kagera.

Hayo yameleezwa leo Desemba Mosi na Kaimu Katibu Mtendaji wa Necta, Athuman Amasi wakati akitangaza matokeo ya mtihani wa kumaliza darasa la saba mwaka 2022.

Akizitaja shule hizo ni Kadama shule ya msingi iliyopo Chato- Geita, Rweikiza (Bukoba), Kilimanjaro shule ya msingi (Arusha) Sahare (Tanga), Ukerewe (Mwanza), Peaceland (Mwanza), Karume (Kagera), Al-hikma (Dar es Salaam)

Nyingine ni Kazoba (Kagera), Mugini (Mwanza), Busara (Mwanza), Jamia (kagera), Winners (Mwanza), Musabe (Mwanza), Elisabene (Songwe), High Challenge (Arusha), Tumaini (Mwanza), Olele (Mwanza), Mustlead (Pwani).

Pia zipo shule za Moregas (Mara), Leaders (Mara), Kivulini (Mwanza) na St Severine (Kagera).

“Vituo hivi vimefungiwa kwa mujibu wa kifungu 4(8) cha kanuni za mitihani mwaka 2016 hadi hapo Baraza litakapojiridhisha kuwa ni salama kwa uendeshaji wa mitihani ya kitaifa,” amesema.

Mtihani huo wa kumaliza elimu ya msingi ulihusisha watahiniwa zaidi ya 1.38 milioni nchi nzima.
Mwanza kwa bwana yule na chifu inaongoza kwa udanganyifu.
 
Huwa nawaambia waislaam... Hakunaga shule ya kiislaam... Ni shule za wajanja wajanja tu ambao wanaotaka kuteka hisia za waislaam wajinga wakidhani wanaenda kujifunza uislaam... Wanawadanganya kwa mavazi ya kiislaam majalbiib... Wakati mavazi kama hayo yapo hata shule za serikali... Huo uislaam wenyewe unafundishwa kwa kuonja na wala haupewi kipaumbele.

Sasa ona hiyo AL HIKMA ya SHEIKH NURDEEN KISHKI... imefungiwa kwa udangangifu... (they always try to do so kunyanyua ufaulu waweze kujitangaza na kupandisha ada) alafu baadae wanageuka ETI WAISLAAM TUNAONEWA KWENYE MATOKEO... WAPUMBAVU WAKUBWA.

Nyingine ni hiyo JAMIA...

NINGEKUWA RAIS NINGEKATAZA KUITA SHULE KUINASIBISHA NA DINI... ETI ISLAMIC... NI UHUNI NA UTAPELI TU...
Ndio kimbilio ndugu, hapa watakuja Waislamu wa mbagala na magomeni kukuambia Waislamu tunaonewa angalia tunafutiwa vituo, mpumbafu akifanya umbufafu hata awe anatoka dini gani lazima awajibishwe.
 
Nimesoma pale najua Kila kitu kuhusu pale Kuanzia primary up to Advance ..... Acha nicheke TU😂 ...Mzee Kanasa
Kwa hiyo Mkuu ulionyeshwa paper.

Huoni dhambi inawahusu nyote nyie watu wangedhibiti hii hali watoto wa watu Leo wasingewekwa kwenye sintofahamu. Mtoto siku zote Hali yake kubwa ni kuongozwa na kuendelezwa. Hii ni sahihi kweli
 
Ndio kimbilio ndugu, hapa watakuja Waislamu wa mbagala na magomeni kukuambia Waislamu tunaonewa angalia tunafutiwa vituo, mpumbafu akifanya umbufafu hata awe anatoka dini gani lazima awajibishwe.
So wamefutiwa kuwa kituo!? na watoto wamefutiwa matokeo au yamekuwa withheld tuu
 
Back
Top Bottom