Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
Itawavuruga watoto, wengine walishafanya maandalizi ya kwenda sekondariImenikera sana hii kitu aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itawavuruga watoto, wengine walishafanya maandalizi ya kwenda sekondariImenikera sana hii kitu aisee
Wengine waapo shule za private pre form OneItawavuruga watoto, wengine walishafanya maandalizi ya kwenda sekondari
HatariWengine waapo shule za private pre form One
Hii nadhani baadae watawawaachia matokeo yao.OLYMPIO NAYO naona wameandika * W* wanafunzi wote. naona matokeo yamezuiliwa
Mbona nyingi ni za ukanda mmoja...?Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) limezifungia shule 24 kuwa vituo vya mitihani ya Taifa baada ya kuthibitika kupanga kufanya udanganyifu katika mitihani ya kumaliza elimu ya msingi.
Shule hizo ambazo ni sawa na asilimia 0.13 ya vituo vyote vya mitihani nchini, ndani yake zipo shule maarufu ikiwemo ya Musabe ya jijini Mwanza na St Anne Marie ya jijini Dar es Salaam na shule ya Rweikiza ya mkoani Kagera.
Hayo yameleezwa leo Desemba Mosi na Kaimu Katibu Mtendaji wa Necta, Athuman Amasi wakati akitangaza matokeo ya mtihani wa kumaliza darasa la saba mwaka 2022.
Akizitaja shule hizo ni Kadama shule ya msingi iliyopo Chato- Geita, Rweikiza (Bukoba), Kilimanjaro shule ya msingi (Arusha) Sahare (Tanga), Ukerewe (Mwanza), Peaceland (Mwanza), Karume (Kagera), Al-hikma (Dar es Salaam)
Nyingine ni Kazoba (Kagera), Mugini (Mwanza), Busara (Mwanza), Jamia (kagera), Winners (Mwanza), Musabe (Mwanza), Elisabene (Songwe), High Challenge (Arusha), Tumaini (Mwanza), Olele (Mwanza), Mustlead (Pwani).
Pia zipo shule za Moregas (Mara), Leaders (Mara), Kivulini (Mwanza) na St Severine (Kagera).
“Vituo hivi vimefungiwa kwa mujibu wa kifungu 4(8) cha kanuni za mitihani mwaka 2016 hadi hapo Baraza litakapojiridhisha kuwa ni salama kwa uendeshaji wa mitihani ya kitaifa,” amesema.
Mtihani huo wa kumaliza elimu ya msingi ulihusisha watahiniwa zaidi ya 1.38 milioni nchi nzima.
Una majibu yako tayari Mana naona unakimbilia kujudge.Kwa hiyo Mkuu ulionyeshwa paper.
Huoni dhambi inawahusu nyote nyie watu wangedhibiti hii hali watoto wa watu Leo wasingewekwa kwenye sintofahamu. Mtoto siku zote Hali yake kubwa ni kuongozwa na kuendelezwa. Hii ni sahihi kweli
Hii musabe umaarufu wake ni upi?Musabe kwisha habari[emoji23][emoji23]
Walimu wa sekondari wa Kanda ya ziwa wako makini zaidi ukilinganisha na Kanda zingine na wamiliki na wakuu wa shule wa Kanda ya ziwa wanaamini miujiza zaidi kuliko kufundisha ukilinganisha na Kanda zingineKwenye list hapa naona kanda ya ziwa ndiyo kinara [emoji3]
Hahahah nimetoroka sana kwenda mbezi angalia mpira....Achilia mbali mbweni hata madarasa ya o level hadi a level ni Kama mabanda ya kufugia nguruwe
USSR
Ina ka umaarufu kule mwanza so watu wa mwanza watakua wanaelewa na inasemekana pia ni shule ya mtu mkubwa😁Hii musabe umaarufu wake ni upi?
Aise!!!!Ina ka umaarufu kule mwanza so watu wa mwanza watakua wanaelewa na inasemekana pia ni shule ya mtu mkubwa[emoji16]
CCM na WIZI ni chanda na Pete.Shule zenu zote kaka ile ya bukoba na hii ya hapa ubungu st Anne Marie na lweikiza zote zimefutiwa
USSR
Rweikiza Mimi nilimwambia,kufaulu kwa magumashi kutamcost akakataa.Sasa najua ananikumbuka.Magumashi Sana,eti mkuu wa shule ni form six leaver tu,unategemea nini?Kama unawalazimisha walimu wakuletee matokeo ya A zote unategemea nn
USSR
Nitakuwa nilikufundisha wewe.Nimesoma pale najua Kila kitu kuhusu pale Kuanzia primary up to Advance ..... Acha nicheke TU[emoji23] ...Mzee Kanasa
Mwaka gani Ticha ...au wewe Ni Ticha William Lugendo 😂Nitakuwa nilikufundisha wewe.
Hapana siyo willy,Kuna mkuu wa A level alikuwa mkali Sana na mwenye msimamo kati ya 2011 na 2014.Mwaka gani Ticha ...au wewe Ni Ticha William Lugendo [emoji23]