Shule 24 zafungiwa kuwa vituo vya Mitihani kwa udanganyifu

OLYMPIO NAYO naona wameandika * W* wanafunzi wote. naona matokeo yamezuiliwa
 
Utakuta wengine watoto hadi sasa wanasoma "PRE-FORM ONE" alafu unatokea ujinga Kama huo. Tatizo ni tamaa ya kuongoza kitaifa na kusifiwa ilishule ada ipande.
 
OLYMPIO NAYO naona wameandika * W* wanafunzi wote. naona matokeo yamezuiliwa
Hii nadhani baadae watawawaachia matokeo yao.

Yaliyofutwa wanaweka alama gani.

Kuna *W-witheld.
*E - JE?
 
Mbona nyingi ni za ukanda mmoja...?
 
Kwa hiyo Mkuu ulionyeshwa paper.

Huoni dhambi inawahusu nyote nyie watu wangedhibiti hii hali watoto wa watu Leo wasingewekwa kwenye sintofahamu. Mtoto siku zote Hali yake kubwa ni kuongozwa na kuendelezwa. Hii ni sahihi kweli
Una majibu yako tayari Mana naona unakimbilia kujudge.
Half told story isikukimbize puta.
Wangekuwa wanapewa mitihani kila mwaka wangeongoza
 
Achilia mbali mbweni hata madarasa ya o level hadi a level ni Kama mabanda ya kufugia nguruwe

USSR
Hahahah nimetoroka sana kwenda mbezi angalia mpira....
 
Mwisho wa siku mzazi ndo anaumia zaidi kwa huu ujinga unaofanywa na hizo baadhi ya shule.

Sababu kiukweli Std VII inakuwaga na mahitaji 100 kidogo kwa ajili ya kumuandaa mtoto kumbe nyuma ya pazia walimu wana mbinu zao za hovyo kabisa.
 
Kama unawalazimisha walimu wakuletee matokeo ya A zote unategemea nn

USSR
Rweikiza Mimi nilimwambia,kufaulu kwa magumashi kutamcost akakataa.Sasa najua ananikumbuka.Magumashi Sana,eti mkuu wa shule ni form six leaver tu,unategemea nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…