Shule 24 zafungiwa kuwa vituo vya Mitihani kwa udanganyifu

Karibia zote kama si zote ni zile wanafunzi hupanda mabasi ya njano.Ukiangalia matokeo yao unakutana na wastani wa A nyiiingiii.Kumbe utapeli mtupu.
 
Wizi ya mitihani kwa watoto wetu tena shule za msingi. Chama tawala chaiba chaguzi mchana kweupe. Tunasimamia nini? Kama nchi tunavalueszipi? Hao watoto tunawafundisha nini?
 
Matokeo yao lini hawa
 
Kanda ya ziwa imetia Fora. Wajifunze kwanini Kilimanjaro kuna Quality education...huu upuuzi hawa untertain na nakumbukuka kipindi hicho walimu na wasimamizi walikua wakali kama Mbogo.

Ila sishangai maana ma Role model wao ni PHD holder Darasa la Saba B kingi Msukuma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…