Shule Binafsi ziheshimu likizo za watoto wetu

Shule Binafsi ziheshimu likizo za watoto wetu

Kabisa! naunga mkono hoja.
Inasemekana hizo "home packages" ni za kutengeneza fedha.
Mtoto asipofanya mzazi anatozwa fedha na hiyo fedha wanakwambia ndiyo fidia kwa mwalimu atakayemfundisha masomo ambayo hakufanya.
Mbona miaka ya nyuma enzi zetu kulikuwa hamna uho ujinga na wanafunzi walikuwa wanafaulu vizuri tu.
 
Imekuwa ni kawaida kwa watoto wanasoma Shule za Binafsi kuwabebesha watoto mafurushi ya kazi za kufanya wakiwa likizo almaarufu Kama HOLIDAY PACKAGES na wakati mwingine watoto wanaendelea kwenda shuleni wakati wa likizo kwa kile kinachoitwa HOLIDAY COACHING. Sasa hizi ni likizo?

Likizo zingeachwa huru ili watoto wawe huru kuwasaidia wazazi wao kazi za nyumbani au kusafiri kwenda kuwasalimia bibi zao huko vijijini ili wafahamu asili yao na pia kujumuika na ndugu zao wengine.

Tungeomba Serikali ilitazame hili jambo na ikiwezekana itoe mwongozo kuhusiana na jili jambo. Tusiwafanye watoto wetu kuwa kama ndondocha, kuna maarifa mengine ambayo watoto wanayahitaji zaidi ya hesabu, fizikia na jiorafia.

Naomba kuwasilisha.
Hizi holiday programs huwa ni optional, kama unaziona kero ni kumkataza tu mototo wako wala usipate tabu

Holiday package ni sawa tu homework, mtoto hawezi kukaa mwezi mzima nyumbani bila hata kufanya revision ya yale aliyoyasoma shuleni, its a way of keeping them active during holidays
 
Ni kweli kabisa.

Hii inatokana na walimu wa shule hizo kuwa wavivu kumaliza syllabus.

Kingine ni kwamba ma director wa shule pia huchelelewa kuwalipa walimmu mishahara au kutowalipa kabisa na hivyo walimu hawafundishi.

Wanakuja kukurupuka mwezi wa 5 umekaribia na ndiyo matokeo yake wanaleta hizi HOLIDAY PACKAGE.

Serikali iingilie kati hili suala maana madirector wanaadhbu mtu asiyetoa HOLIDAY PACKAGE
Wahamishieni kayumba, huwezi kukutana na hizi kero
 
Hizi holiday programs huwa ni optional, kama unaziona kero ni kumkataza tu mototo wako wala usipate tabu

Holiday package ni sawa tu homework, mtoto hawezi kukaa mwezi mzima nyumbani bila hata kufanya revision ya yale aliyoyasoma shuleni, its a way of keeping them active during holidays
if that is a case,what is the meaning of Holiday?
 
Ubongo unahitaji mapumziko ili ufanye tafakari na organization of knowledge, madhara yake ndio hawa wasomi wenu wa bongo mnawaita 'hawezi kuconnect dots'. Hakikisha mtoto anapumzika na kusocialize wakati wa likizo sana hawa wa private school wanawaoverload sana kwenye ubongo
Hiyo kweli kabisa
 
Imekuwa ni kawaida kwa watoto wanasoma Shule za Binafsi kuwabebesha watoto mafurushi ya kazi za kufanya wakiwa likizo almaarufu Kama HOLIDAY PACKAGES na wakati mwingine watoto wanaendelea kwenda shuleni wakati wa likizo kwa kile kinachoitwa HOLIDAY COACHING. Sasa hizi ni likizo?

Likizo zingeachwa huru ili watoto wawe huru kuwasaidia wazazi wao kazi za nyumbani au kusafiri kwenda kuwasalimia bibi zao huko vijijini ili wafahamu asili yao na pia kujumuika na ndugu zao wengine.

Tungeomba Serikali ilitazame hili jambo na ikiwezekana itoe mwongozo kuhusiana na jili jambo. Tusiwafanye watoto wetu kuwa kama ndondocha, kuna maarifa mengine ambayo watoto wanayahitaji zaidi ya hesabu, fizikia na jiorafia.

Naomba kuwasilisha.
Uzi Bora wa mwaka
Sina Cha kuongeza imeeleweka
Serikali chukue hatua kuhusu hili
 
Hizi holiday programs huwa ni optional, kama unaziona kero ni kumkataza tu mototo wako wala usipate tabu

Holiday package ni sawa tu homework, mtoto hawezi kukaa mwezi mzima nyumbani bila hata kufanya revision ya yale aliyoyasoma shuleni, its a way of keeping them active during holidays
Mtoto anaweza akakaa nyumban maez mzima bill hzo homework
Hzo homework zenyeww ni theory tu
Wakati was likizo mtoto afanye practical works sio Kila muda akae na makaratas tu
Michezo mbalimbali inakuza uwezo was mtoto kufikiri na vipaji
Kazi za nyumban nk
Hata mtu mzima ana likizo ya 28 days kazin itakuwa mtoto?
Ubongo was binadamu unahiitaji kupumzika iuweze kupokea zaidi
Ndio maana tumekosa kizaz chenye udadisi
 
Kuna kitu kinaitwa kupumzika au kutuliza akili ndomana walitengeneza kalenda kuwa Kuna muda akili inatakiwa ifikirie vitu vingine ili ukirudi kwenye Jambo la msingi akili inakuwa active na concentration inakuwa Bora zaidi.

Muda huu watoto walitakiwa kupumzika na kufikiria watarudije term ijayo haijalishi n darasa la mtiani au lah,

Hawa walimu Kama sio Giza watoto wangekuwa wanashinda darasani usiku na mchana
Kwel kbs mkuu
 
Imekuwa ni kawaida kwa watoto wanasoma Shule za Binafsi kuwabebesha watoto mafurushi ya kazi za kufanya wakiwa likizo almaarufu Kama HOLIDAY PACKAGES na wakati mwingine watoto wanaendelea kwenda shuleni wakati wa likizo kwa kile kinachoitwa HOLIDAY COACHING. Sasa hizi ni likizo?

Likizo zingeachwa huru ili watoto wawe huru kuwasaidia wazazi wao kazi za nyumbani au kusafiri kwenda kuwasalimia bibi zao huko vijijini ili wafahamu asili yao na pia kujumuika na ndugu zao wengine.

Tungeomba Serikali ilitazame hili jambo na ikiwezekana itoe mwongozo kuhusiana na jili jambo. Tusiwafanye watoto wetu kuwa kama ndondocha, kuna maarifa mengine ambayo watoto wanayahitaji zaidi ya hesabu, fizikia na jiorafia.

Naomba kuwasilisha.
Kweli kabisa mtoto anashindwa hata kufundishwa vitu vya nyumbani alaf akiharibikiwa wanaanza kusema oooohh wazazi nyonyonyoooooooi nyoonyooooooo nyoooooo
 
Mimi wanasema eti hawafungi bado kuna mambo wana cover eti ,halafu ni Nursery just imagine. Mi nimegoma nimesema atabaki home ,yaan nursery kwel hata primary hajaanza uniambie kuna viti hawaja cover ,sa akifika primary/secondary watakua ata mapumziko hawatoki.
 
Ni kweli kabisa.

Hii inatokana na walimu wa shule hizo kuwa wavivu kumaliza syllabus.

Kingine ni kwamba ma director wa shule pia huchelelewa kuwalipa walimmu mishahara au kutowalipa kabisa na hivyo walimu hawafundishi.

Wanakuja kukurupuka mwezi wa 5 umekaribia na ndiyo matokeo yake wanaleta hizi HOLIDAY PACKAGE.

Serikali iingilie kati hili suala maana madirector wanaadhbu mtu asiyetoa HOLIDAY PACKAGE
Hujui kitu kwenye haya mambo wewe. Kwanza, kiherehere cha nini kumpeleka mtoto wako huko? Si umpeleke shule za Serikali? Mizazi mingine bwana!!!
 
Imekuwa ni kawaida kwa watoto wanasoma Shule za Binafsi kuwabebesha watoto mafurushi ya kazi za kufanya wakiwa likizo almaarufu Kama HOLIDAY PACKAGES na wakati mwingine watoto wanaendelea kwenda shuleni wakati wa likizo kwa kile kinachoitwa HOLIDAY COACHING. Sasa hizi ni likizo?

Likizo zingeachwa huru ili watoto wawe huru kuwasaidia wazazi wao kazi za nyumbani au kusafiri kwenda kuwasalimia bibi zao huko vijijini ili wafahamu asili yao na pia kujumuika na ndugu zao wengine.

Tungeomba Serikali ilitazame hili jambo na ikiwezekana itoe mwongozo kuhusiana na jili jambo. Tusiwafanye watoto wetu kuwa kama ndondocha, kuna maarifa mengine ambayo watoto wanayahitaji zaidi ya hesabu, fizikia na jiorafia.

Naomba kuwasilisha.
Anzisha shule yako hayo mambo usiyaweke!

Wazazi ni vichwa ngumu sana, kesho mwanao akifeli lawama kwa shule
akipewa shughuli za masomo ili afahulu vizuri napo maneno
 
Acha uvivu mwalimu,
Tumia muda wako shuleni kumfundisha mtoto, umeajiriwa na kulipwa kwa muda huo.

Wewe ndiye hujui Scheme of work pamoja na Lesson Planning.

Pambaffffff.

Hujui kitu kwenye haya mambo wewe. Kwanza, kiherehere cha nini kumpeleka mtoto wako huko? Si umpeleke shule za Serikali? Mizazi mingine bwana!!!
 
Back
Top Bottom