UTEKELEZAJI
JF-Expert Member
- Oct 14, 2018
- 295
- 764
Hahahaaa we jamaaIla CCM ni katili sana huko mitaani wanasema tumejenga shule Bora kumbe matapeli yamejenga maeneo ya kupotezea muda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaa we jamaaIla CCM ni katili sana huko mitaani wanasema tumejenga shule Bora kumbe matapeli yamejenga maeneo ya kupotezea muda
kuna shule nyingi sana Dsm zimepasua fresh, hizo zilizowekwa zimeangukia kuti kavuDar sio sehemu nzuri kwa makuzi ya mtoto,
Ukichunguza wafanyakazi wenye kipato cha wastani wa juu , Wana wakimbizia watoto wao mikoani kusoma, hawataki kabisa wazoee tabia za kiswahili za hapa Darkuna shule nyingi sana Dsm zimepasua fresh, hizo zilizowekwa zimeangukia kuti kavu
😁😁😁Ila CCM ni katili sana huko mitaani wanasema tumejenga shule Bora kumbe matapeli yamejenga maeneo ya kupotezea muda
kuna shule nyingi sana za DSM zimepasua fresh tu, ukiwa na vijisenti mtoto unamsomesha Dsm bila tatizoUkichunguza wafanyakazi wenye kipato cha wastani wa juu , Wana wakimbizia watoto wao mikoani kusoma, hawataki kabisa wazoee tabia za kiswahili za hapa Dar
HatariMkuu kama kiongozi mkubwa anapewa airtime kwenye media kuponda wasomi kisa yeye ana pesa mingi tutarajie nini? Ukikemea unashambuliwa kila kona kuwa una chuki binafsi kwa std seven wenye hela. Waalimu wamekuwa wakifedheheshwa hata na waokota makopo.
😂😂😂😂Ila CCM ni katili sana huko mitaani wanasema tumejenga shule Bora kumbe matapeli yamejenga maeneo ya kupotezea muda