Shule na wanafunzi 10 bora mwaka 2021

Shule na wanafunzi 10 bora mwaka 2021

Kumbukeni wanatuongoza saivi, kuanzia msoga, raisi, waziri mkuu, jaji mkuu...nk!!
 
Madras kwa Ilimu dini Vs Ilimu dunia🤣🤣🤣🤣
 
Ukitulia chini ukaangalia percent ya Wakristo wanaopiga paper na wanaovurunda paper, hakika utaililia elimu ya Tanzania badala ya kudhani ni tatizo la Waislamu!!
Wewe ndio una akili.
Watu wamesoma ila hawana mbele wala nyuma.
Nchi haina mbele wala nyuma, nchi inashindwa dira hadi na korea kaskazini, kuna wasomi hapa ?
Mnaweza kuonesha kazi za kisomi na kiurevu mkiombwa?
Walau wakenya wanaweza tamba kidogo.
Trump alisema. Africa ni shit$##$ hakuna kenge alimpinga.
Kama kuna kenge anajifanya amesoma humu anyoshe kidole niende nae ligi.
 
Naona shule pamoja na wanafunzi wa kiislam kuna tatizo kwenye haya matokeo.

what's wrong??

Shule 10 bora form 4
1. Kemebos - Mkoa wa Kagera
2. St. Francis - Mbeya
3. Waja Boys - Geita
4. Bright Future Girls
5. Bethel Sabs Girls - Iringa
6. Maua Seminary - Kilimanjaro
7. Feza Boys - Dsm
8. Precious Blood - Arusha
9. Feza Girls - Dsm
10. Mzumbe Secondary - Morogoro.


wanafunzi 10 bora form 4
1. Consolata Prosper Luguva - St. Francis Mbeya
2. Butoi Ernest Kangaza - St. Francis
3. Wllhemia Steven - St. Francis
4. Cronel John - St Francis
5. Merry George Ngoso - St Francis
6. Holly Beda Lyimo - Bright Future Girls
7. Brandina - St. Francis
8. Imamu Suleiman - Feza Boys
9. Mfalme Hamis Madili - Ilboru
10. Clara Straton - St. Francis


Shule 10 bora form 2
1. St Francis Girls - Mkoa wa Mbeya
2. Kemebos - Kagera
3. Graiyaki - Mara
4. Canossa - Dar es salaam
5. Tengeru Boys - Arusha
6. St. Monica Moshono Girls - Arusha
7. St. Augustine Tagaste - Dar es salaam
8. Centennial Christian - Peani
9. Bethel sabs Girls - Iringa
10. Bright Future Girls


Wanafunzi 10 bora form 2
1. Geovin Macha - Shule ya Jude Arusha
2. Moses Masome - Heritage Pwani
3. Pius Tairo - Tengeru Arusha
4. Henry Shelembi -Jude Arusha
5. Shilanga Malegi - Heritage Pwani
6. Loi Kitundu - Feza Girls - DSM
7. Joshua Leo - Tengeru Boys Arusha
8. Brian Chille - Marian Mkoa wa Pwani
9. Cornel Karoli - Jude Arusha
10. Elizabeth Msengi - St. Monica Arusha.


shule 10 bora darasa la 4

1. Twibhoki - Mara
2. Graiyaki - Mara
3. St. Peter Claver - Kagera
4. Green Star - Shinyanga
5. Kwema Modern - Shinyanga
6. Kikodi - Ruvuma
7. Bohari - Kagera
8. Rocken Hill - Shinyanga
9. Musabe - Mwanza
10. Mtuki - Dar es salaam


wanafunzi 10 bora darasa la 4
1. Joel Leonard - Libermann
2. Falima Mwenura - Green Star Junior
3. Goodluck Mtaki - Green Star Junior
4. Careen Slaa - Sasa
5. Joyce Ndonde - Wonder Kids
6. Samirah Mnali - Wonder Kids
7. Jonathan Maziku - Green Star
8. Balkis Majowe - Wonder Kids
9. Christopher Kileo - Green Star
10. Doreen Sanare - St Francis De Sale
Someni tu sisi tunajiandaa kuwa maboss wenu, tutasoma kidogo tu, tutaingia kwenye biashara na kuwaajiri nyinyi wasomi.
Sisi tuache tusome mas'haf kwa sana kwetu inatosha.
 
Wajitahidi tu kuwekeza kwenye elimu..mana elimu dunia hawaitaki..wanataka elimu akhera ili wakaendelezo ngono huko peponi..chezea bikra7..na nguvu za kuto..mba wanawake 100 wewe.

Atakuja yule mzee kilizi mida si mrefu.Kusema wanahujumiwa.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Soma dini usisubiri watu wakusomee kisha waje kukuambia eti Mungu kasema... Mana inaonesha wazi mnasoma Biblia lkn hamuiamini kwakuwa hamuifuati.
 
tunashangilia sana uwingi wa hizi shule za kidini na kusahau kuboresha shule za kawaida za serikali kwa ajili ya Watanzania wote...

tukiendelea kuyaacha haya huko mbele kuna hatari sasa kila dini ikawa na shule zake na matokeo yake ni jamii kutengeneza matabaka ya kidini ambayo huko mbele yataleta matatizo kwenye uongozi...

ni wakati wa Serikali kupiga marufuku shule zote za kidini au matabaka fulani na watu wote wachangamane..Muda wa masomo ulegezwe labda mpaka saa nane mchana...baada ya hapo kila mtu akasome dini yake aipendayo....lakini pia weekend jmosi na jpili kila mtu aisome dini yake...

tunatengeneza bomu kimyakimya... Public schools ziboreshwe, private school ziwe za watu wote na sio mrengo wa dini fulani....

Tunapaswa kubaki na mfumo wa shule za private kama zile za zamani... Makongo, Airwing, Mbezi beach, nk tuachane na huu mfumo wa shule za makanisa na misikiti....
 
Hiyo list yako haina uhalisia kwa kuwa, kwa record zangu karibia nusu ya shule hapo juu zina wanafunzi kati ya 7 na 25 kwa darasa. Hivi utawezaje kushindanisha shule yenye wanafunzi 145 kwa darasa na shule yenye wanafunzi 9?
Na ukute hiyo yenye 9 walianza 35 wengine wote wakarudishwa ili mwishoni ionekane wamefaulu wote
Nilipenda pia kupata list ya shule kumi bora zenye wanafunzi angau zaidi 45 ambao ndio wastani wa darasa moja (hapo sijaongelea shule nyingi tu zenye angalau mikondo 3 ( A, B, C na kuendelea)
Nakushauri ufute hiyo list yako kwani haina maana yoyote labda kwa wale makanjanja!
Unajua kitu kinaitwa sampling?
 
Tatizo la waislam kunyimwa haki nchi hii lilianza awamu ya kwanza,

Scholarship zote walipewa kina jose unategemea nn waache wahifadhi juzuu 30.
 
Umetumia vigezo gani kuwalinganisha hao wawili, na mimi nikikuambia kati ya Marehemu Mkapa na ali Hassan Mwinyi nani alikuwa na uwezo mkubwa katika uongozi? Jibu ni Mkapa..

Nikirudi kwako tukiamua kufanya sampling ya watu 100 utakutana na muislamu mwerevu 1 wengine wote waliobaki ni kawaida kabisa.
Ww mzee nilikuwa nakuona kama mtu mwenye akili kumbe umejaa uharo kichwani?
Yaan Mwinyi aliye kutoa kwenye ufukara wa kutisha wa kuvaa viraka na kununu chumvi kwa foreni una mfananisha na Mkapa aliye kuja kutaifisha madini yetu na kumpa mzungu?
 
Tatizo la waislam kunyimwa haki nchi hii lilianza awamu ya kwanza,

Scholarship zote walipewa kina jose unategemea nn waache wahifadhi juzuu 30.
Sawa lakin kuna mada ililetwa na mama d kuwa waislam ndio wanaipeperusha hii nchi karibia sekta zote so maisha yana mambo mengi
 
Hiyo list yako haina uhalisia kwa kuwa, kwa record zangu karibia nusu ya shule hapo juu zina wanafunzi kati ya 7 na 25 kwa darasa. Hivi utawezaje kushindanisha shule yenye wanafunzi 145 kwa darasa na shule yenye wanafunzi 9?
Na ukute hiyo yenye 9 walianza 35 wengine wote wakarudishwa ili mwishoni ionekane wamefaulu wote
Nilipenda pia kupata list ya shule kumi bora zenye wanafunzi angau zaidi 45 ambao ndio wastani wa darasa moja (hapo sijaongelea shule nyingi tu zenye angalau mikondo 3 ( A, B, C na kuendelea)
Nakushauri ufute hiyo list yako kwani haina maana yoyote labda kwa wale makanjanja!
Kwani definition ya shule inahusisha idadi ya wanafunzi!?

Mbona unakuwa mjinga hivi mpaka aibu! Hayo ni matokeo according to baraza la mitihani,tutolee ujinga wako hapa,jibu hoja.

Why more educational success to christian communities than muslim communities?
 
Naona shule pamoja na wanafunzi wa kiislam kuna tatizo kwenye haya matokeo.

what's wrong??

Shule 10 bora form 4
1. Kemebos - Mkoa wa Kagera
2. St. Francis - Mbeya
3. Waja Boys - Geita
4. Bright Future Girls
5. Bethel Sabs Girls - Iringa
6. Maua Seminary - Kilimanjaro
7. Feza Boys - Dsm
8. Precious Blood - Arusha
9. Feza Girls - Dsm
10. Mzumbe Secondary - Morogoro.


wanafunzi 10 bora form 4
1. Consolata Prosper Luguva - St. Francis Mbeya
2. Butoi Ernest Kangaza - St. Francis
3. Wllhemia Steven - St. Francis
4. Cronel John - St Francis
5. Merry George Ngoso - St Francis
6. Holly Beda Lyimo - Bright Future Girls
7. Brandina - St. Francis
8. Imamu Suleiman - Feza Boys
9. Mfalme Hamis Madili - Ilboru
10. Clara Straton - St. Francis


Shule 10 bora form 2
1. St Francis Girls - Mkoa wa Mbeya
2. Kemebos - Kagera
3. Graiyaki - Mara
4. Canossa - Dar es salaam
5. Tengeru Boys - Arusha
6. St. Monica Moshono Girls - Arusha
7. St. Augustine Tagaste - Dar es salaam
8. Centennial Christian - Peani
9. Bethel sabs Girls - Iringa
10. Bright Future Girls


Wanafunzi 10 bora form 2
1. Geovin Macha - Shule ya Jude Arusha
2. Moses Masome - Heritage Pwani
3. Pius Tairo - Tengeru Arusha
4. Henry Shelembi -Jude Arusha
5. Shilanga Malegi - Heritage Pwani
6. Loi Kitundu - Feza Girls - DSM
7. Joshua Leo - Tengeru Boys Arusha
8. Brian Chille - Marian Mkoa wa Pwani
9. Cornel Karoli - Jude Arusha
10. Elizabeth Msengi - St. Monica Arusha.


shule 10 bora darasa la 4

1. Twibhoki - Mara
2. Graiyaki - Mara
3. St. Peter Claver - Kagera
4. Green Star - Shinyanga
5. Kwema Modern - Shinyanga
6. Kikodi - Ruvuma
7. Bohari - Kagera
8. Rocken Hill - Shinyanga
9. Musabe - Mwanza
10. Mtuki - Dar es salaam


wanafunzi 10 bora darasa la 4
1. Joel Leonard - Libermann
2. Falima Mwenura - Green Star Junior
3. Goodluck Mtaki - Green Star Junior
4. Careen Slaa - Sasa
5. Joyce Ndonde - Wonder Kids
6. Samirah Mnali - Wonder Kids
7. Jonathan Maziku - Green Star
8. Balkis Majowe - Wonder Kids
9. Christopher Kileo - Green Star
10. Doreen Sanare - St Francis De Sale
Kula na kuliwa jicho kunaondoa sana akili,Pwani na muslim communities zinaongoza sana kwa tabia hizi
 
Back
Top Bottom