shule nyingi za msingi zinachaji ada milioni kazaa ila zinazidiwa ubora wa miundombinu na ufundishaji na shule za msingi za serikali kama MiKONGENI

shule nyingi za msingi zinachaji ada milioni kazaa ila zinazidiwa ubora wa miundombinu na ufundishaji na shule za msingi za serikali kama MiKONGENI

MKATA KIU

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
3,410
Reaction score
8,184
huu ni ukweli mchungu.

tazama mwenyewe video uone ubora wa shule hii ya msingi ya serikali wanaiita kayumba english medium. inayoitwa Mikongeni primary school iliyopo gongo la mboto dar kisha linganisha na private primary school iliyo jirani na unapoishi ilivyo ama shule ya private anayosoma mwanao unayomlipia ada milioni kazaa,

utagundua private school nyingi ni kama mawinga wa kariakoo kwenye swala la kutupiga kwenye school fees kubwa kuliko ubora


 
Nimecheki video. Shule kali sana.

Mazingira ni mazuri kuliko private school anayosoma mwanangu.

Na hapo nalipishwa ada karibu milioni 2 kwa mwaka
 
hii ndio nia ya chama cha mapinduzi kwa watanzania mapinduzi chanya ndio kipaumbele kwetu

nampongeza mama pamoja na wasaidizi wake amati kuu ya chama na serikali kwa ujumla
 
huu ni ukweli mchungu.

tazama mwenyewe video uone ubora wa shule hii ya msingi ya serikali wanaiita kayumba english medium. inayoitwa Mikongeni primary school iliyopo gongo la mboto dar kisha linganisha na private primary school iliyo jirani na unapoishi ilivyo ama shule ya private anayosoma mwanao unayomlipia ada milioni kazaa,

utagundua private school nyingi ni kama mawinga wa kariakoo kwenye swala la kutupiga kwenye school fees kubwa kuliko ubora


View attachment 3243949
Kwahio hii serikali yenu inafanya makusudi tu shule nyingine kuwa hovyo?! Ina .maana wana uwezo wa kufanya shule na elimu kwa jumla iwe bora.
 
ila ni kweli aisee EM nyingi miundombinu ni mibovu kuliko inavyotakiwa

maktaba hakuna, msosi wa hovyo; makande, ugali maharage, uji....

zile 1M ukijiuliza zinaenda wapi hupati jibu
 
Back
Top Bottom