Shule nyingi za sekondari zinazomilikiwa na Jumuiya ya Wazazi wa CCM zadaiwa kufungwa kwa kukosa wanafunzi

Shule nyingi za sekondari zinazomilikiwa na Jumuiya ya Wazazi wa CCM zadaiwa kufungwa kwa kukosa wanafunzi

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Shule za sekondari zinazomilikiwa na Jumuiya ya Wazazi wa CCM zimeanza kufungwa na kubaki kuwa mazalia ya wadudu, baada ya wananchi kwa umoja wao kuzigomea kupeleka watoto kusoma humo.

Hii ni baada ya wananchi hao kufahamu kwamba chanzo cha umasikini na dhuluma dhidi yao Kwa miaka yote ni CCM , taarifa ya uhakika inaonyesha kwamba hadi sasa shule 8 za chama hicho zimepigwa kufuli kwa kukosa wanafunzi, huku zilizobaki zikitarajiwa kupigwa kufuli muda wowote kuanzia sasa.

Mungu wabariki Wananchi

Chanzo : EFM Radio
 
Ile press imeendaje bwashee?
Sirro kapewa za uso kuhusu kupeleka bunduki madrasa kama alivyotumwa na Kagame
‘Tutakagua_vinavyofundishwa_Sunday_school_na_Madrasa’.jpg
 
Shule za sekondari zinazomilikiwa na Jumuiya ya Wazazi wa ccm zimeanza kufungwa na kubaki kuwa mazalia ya wadudu , baada ya wananchi kwa umoja wao kuzigomea kupeleka watoto kusoma humo .

Hii ni baada ya wananchi hao kufahamu kwamba chanzo cha umasikini na dhuluma dhidi yao Kwa miaka yote ni CCM , taarifa ya uhakika inaonyesha kwamba hadi sasa shule 8 za chama hicho zimepigwa kufuli kwa kukosa wanafunzi , huku zilizobaki zikitarajiwa kupigwa kufuli muda wowote kuanzia sasa .

Mungu wabariki Wananchi

Chanzo : EFM Radio
Tegeta Sekondari ilishafungwa miaka kibao nyuma. CCM is dying slowly
 
Bila kuzitaja shule hizo wewe moja kwa moja unaupungufu wa utimamu!
Shule za sekondari zinazomilikiwa na Jumuiya ya Wazazi wa ccm zimeanza kufungwa na kubaki kuwa mazalia ya wadudu , baada ya wananchi kwa umoja wao kuzigomea kupeleka watoto kusoma humo .

Hii ni baada ya wananchi hao kufahamu kwamba chanzo cha umasikini na dhuluma dhidi yao Kwa miaka yote ni CCM , taarifa ya uhakika inaonyesha kwamba hadi sasa shule 8 za chama hicho zimepigwa kufuli kwa kukosa wanafunzi , huku zilizobaki zikitarajiwa kupigwa kufuli muda wowote kuanzia sasa .

Mungu wabariki Wananchi

Chanzo : EFM Radio
 
Erythrocyte na Salary slip atakuwa ni Joyce Mkuya
Mh.Joyce anahusianaje na mada iliyopo jukwaani?Huo uandishi wako unaitwaje?Jikite kwenye suala la Shule za Jumuia ya Wazazi CCM (Ingawa ilipoanzishwa haikuwa ya chama) kukosa wanafunzi.Tatizo ni nini?
 
Serikali ya CCM inastahili pongezi kwa hili. Uwepo wa shule nyingi za serikali kila kata kumesaidia kuondoa gharama za elimu kwa wazazi.

Hongera kwa Raist mstaafu Jakaya Kikwete kwa kuanzisha na kujenga shule za kata. Hongera marehemu JPM kwa kutekeleza Sera ya elimu bure na kuongeza vyumba vya madarasa nchi nzima.

Mama mae yuko promising,tayrai ameshasema mkopo wa IMF utaenda kujenga madarasa.
 
Serikali ya CCM inastahili pongezi kwa hili. Uwepo wa shule nyingi za serikali kila kata kumesaidia kuondoa gharama za elimu kwa wazazi.

Hongera kwa Raist mstaafu Jakaya Kikwete kwa kuanzisha na kujenga shule za kata. Hongera marehemu JPM kwa kutekeleza Sera ya elimu bure na kuongeza vyumba vya madarasa nchi nzima.

Mama mae yuko promising,tayrai ameshasema mkopo wa IMF utaenda kujenga madarasa.
Tatizo la CCM ndiyo hilo. Kwenye kampeni wa najifanya busy wananadi Manifesto ya chama. Wakiingia madarakani wanataka umaarufu binafsi.

Zile page numbers walizokuwa wakitusomea kwenye kampeni sasa hivi hutawasikia wakizisoma tena.
 
Back
Top Bottom