Wengi wanalipa kati ya 1.5m up to 2M tena kwa installment 4 na mtoto anaenda kwa daladala bila school bus 😁 😁 😁 😁 , hata hiyo 3M wachache sana wanalipa.Kutaka English medium zitoe huduma zile zile za shule za kimataifa kwa ada ya milioni tatu ni sawa na kwenda kwa mama nitilie anauza chakula sahani shilingi elfu.moja kumtaka akuuzie chakula buffet ambacho kitaanza na starter ya supu na chenye kila kitu na akupe uma na kisu cha kulia hicho chakula kwenye mazingira safi kama ya hoteli ya kitalii ya nyota tano
Huku haitachelewa maana Leo ni kutuaribu sis race nyeusiUingereza wameweka kwenye mitaala yao kabsaa.
Basi kila mtu ajipimie pale anapoweza.Mimi bora nijipimie hii ya 1000 kuliko ile ya BURE.Back in the days when I was form 2 student,Kuna mwalimu mmoja aliyeitwa muhidin alitoa kauli Moja darasani siku hiyo alisema,ukitaka elimu ya 1000 utapata na ukitaka elimu ya milioni Moja utaipata. Ni Zaid ya miaka 12 Sasa tokea aitoe hiyo kauli ndipo nilipokuja kumuelewa alimaanisha Nini haswa.
Michezo ikusaidie nini brother africa hii.Yan uende shule ukacheze seriouslly?English medium kazi yake ni kukaririsha watoto siku nzima
Hakuna michezo
Ni kweli ada zingekuwa ndogo wengi wangepeleka hukoTatizo ada za International ni kubwa
Tafuta ada ya milioni 18 kwa mwaka upeleke mwanao International School tupumuzike kelele zako humuEnglish medium kazi yake ni kukaririsha watoto siku nzima
Hakuna michezo
Tatizo umekariri kama kuinamishwaTafuta ada ya milioni 18 kwa mwaka upeleke mwanao International School tupumuzike kelele zako humu
Hakuna asiyependa kizuri suala ni uwezo
Ukiwa na watoto wawili ada International School milioni 36 kwa mwaka minimum
Wewe mwenyewe huo uwezo unao? Au unatuletea kelele tu humu
Huna akiliMichezo ikusaidie nini brother africa hii.Yan uende shule ukacheze seriouslly?
Sawa .Inategemeana na definition yako kuhusu akiliHuna akili
Cc: MAMA, WAZIRI WA ELIMU.Watoto wa SENTI KAJAMBA kwanza wengi wao hawajiamini.
Muda wote wanatandikwa mabakora na kusukumwa sukumwa na walimu wenye hasira za madeni ya vikoba.
Mtoto muda wote anatetemeka amejaa mashaka na hofu, walimu wanamtisha na kumfokea kama msukule.
Ni bora ENGLISH MEDIUM, mtoto hanyanyaswi hovyo na anapewa elimu stahiki.
Kuna ka ukweli Fulani.English medium kazi yake ni kukaririsha watoto siku nzima
Hakuna michezo
Umemaliza mkuu,Ulichoandika hakina tofauti hizi list ya mada hapa chini
1)Gari Range Rover bana lina stability, lipo imara, linanguvu nk sio Passo kigari hakina nguvu, hakina uwezo nk
2)Sehemu ya kuishi Masaki, Osterbay, na Mikocheni bana sehemu haina ushahili, hewa Safi barabara na nyumba nzuri nk sio MBAGALA Kuna uswahili, vijumba hovyo nk
3)Simu iPhone 12 bana camera kali, sijui kioo kizuri, umbo sio iPhone 6 kamera mbovu bla blaa
4)Chakula Wali maharage bana ukimix na nyama choma na maziwa pembeni juisi sio Ugari wa muhogo na dagaa chungu
Hizi mada unaweza andika hata 1000 sidhani Kuna mtu ajui kitu kizuri ni kipi ila uwezo wa pesa ndio unaamua mtu anunue au achague huduma gani unamfananishaje International school watu wanalipa ada mpaka million 70 pale IST unafananisha na english medium ada laki kadhaa unafikiri sisi hatuzijui hizo international wewe ndio unazijua Sana tuwekee Billion 700 kwenye bank then uwone jinsi gani tunajua vutu vizuri kuliko wewe
Nadhani kuanzia mil 20 hiv ila kama ist inaenda mpaka milioni 70Na ada za International School zikoje vile?😏
Utakutana nao wapi mkuu? Mo dewji mmoja waoUmeshakutana na watoto waliosoma international school za Tanzania ili ujue kuwa maajabu wanayo au la?
Kuna Moja inaitwa fortune IPO kinyerezi. Nilimtoa mtoto haraka sana. Watoto wamejaa, mkurugenzi anajali pesa, anadai ada on time hata ruba mnyonya damu ananafuu, walimu wakuunga UNGA cheap labor.Bado naamini Elimu iko kwenye shule za International School tu, kule kuna world clasll education, English medium ni utapeli mkubwa sana.
International School watoto hawasomi tu just kusoma kama ilivyo English Medium, kule watoto wanafunsdishwa skills zote za maisha kama wanazo taka, na hata mtoto akiwa peke yake anataka skills fulani atatafutiwa mwalimu.Kuna mtoto fulani ni Arusha yeye alikuwa anataka kujifunza Lugha ya Kichina, ilibidi atafutiwe mwalimu wa kichina.
- Michezo, wanaviwanja ambayo vina levo sawa na vya kuchezea ligi.
- Muziki, Wana vifaa vyote vya kujifunzia mziki.
- Michezo ya kila aina, Baiskel, Tenesi, Mpira wa miguu, Basket ball na mingin meingi na kumbuka wana walimu qualifoed kwa kila idara ya michezo.
- Mabwawa ya kujifunza kogelea,
Mfumo wa kufundishwa wanao tumia ni ule shirikishi yaani sana wanatumia discusion na presentantions ndio maana watoto wana kuwa na confidence sana kwa sababu ya presentation na discusion nyingi sana Darasani.
Njoo English Medium sasa;
English Medium zenye viwanja tu vya michezo ni za kutafuta kwa tochi, nyingi zimepewa usajiri bila kuwa na kiwanja cha michezo, Saa za michezo wanacho fanya ni kuwapa watoto mpira wakakimbizane wenyewe kwenye eneo la assembly, zingine watoto wanachezea humo humo Darasani.
- Zimejikita sana kukaririsha watoto kuongea kingereza ili kuwa brainwash wazazi.
- Homework ndio nyingi sana plus tuition, yaani mzazi analipishwa ada na pia analipiswa pesa ya tuition.
Narudia tena ukiondoa kuwakariririsha watoto kingereza hakuna kitu kingine hizi shule zina offer kwa mtoto.