Shule nyingi zinazoitwa English Medium ni za kisanii tupu

Shule nyingi zinazoitwa English Medium ni za kisanii tupu

Sawa sema sasa hizi Englisha Medoum zimekaa kiujanja ujanja sana, hakuna kitu kibaya kwenye kitu kama elimu kuingiza janja janja nyingi sana, mara watoto wawe na nguo za michezo na shule haina hata uwanja wa kupack gari
Boss sio English Medium zote ni za Hovyo! Kuna shule za maana tu!
 
Tatizo lenu nyie WaTz ni wajinga, hadi leo hamjui kutambua shule inayotoa elimu bora ni ipi, hamjui shule bora yenye standards ni ipi, hamjui shule bora yenye walimu mahiri ni ipi...
Ni kwa vile mna maarifa dhaifu sana na hamna exposure na hizo International Schools zilipo Tz, mkisikia neno international School mnachanganyikiwa, hamjui zipo international Schools nyingi tu Tz hazina ubora hazina viwango na hazina walimu mahiri...
English medium pia nyingi hazina sifa ila zinaendelea kuongezeka kwasabab WaTz ni washamba, wao wakisikia shule ni English medium basi anapeleka mtoto huko...
Kwasabab ya ushamba wenu ndiyo maana mmeishia kuwapeleka watoto wenu kwenye hizo shule na mwisho wa siku wamelawitiwa na kuanza ushoga...

Lengo lako lilikua ni sentensi ya mwisho,hopeless kabisa.
 
Tatizo lenu nyie WaTz ni wajinga, hadi leo hamjui kutambua shule inayotoa elimu bora ni ipi, hamjui shule bora yenye standards ni ipi, hamjui shule bora yenye walimu mahiri ni ipi...
Ni kwa vile mna maarifa dhaifu sana na hamna exposure na hizo International Schools zilipo Tz, mkisikia neno international School mnachanganyikiwa, hamjui zipo international Schools nyingi tu Tz hazina ubora hazina viwango na hazina walimu mahiri...
English medium pia nyingi hazina sifa ila zinaendelea kuongezeka kwasabab WaTz ni washamba, wao wakisikia shule ni English medium basi anapeleka mtoto huko...
Kwasabab ya ushamba wenu ndiyo maana mmeishia kuwapeleka watoto wenu kwenye hizo shule na mwisho wa siku wamelawitiwa na kuanza ushoga...
umeongea pwenti kubwa sana mkuu
 
Mpeleke mwanao International school inatosha. Chaguo ni lako
 
Unataka mtaala wa Cambridge? Unajua unachoongea? Utalazimika kutumia vitabu vyao na kufanya mitihani yao ambayo lazima ulipie uingereza sababu wana copyright ya elimu yao na quality ya elimu yao lazima ithibitishwe na wao

Hapo ndipo ada kwa mwaka utaikuta inasoma sio chini ya milioni 18 kwa mwaka ndio maana imebaki tu kwa private sector na wanaoenda huko kusoma ni watoto wa matajiri kweli kweli sio uchwara

Elimu ya watu hasa ya kimataifa huwezi tu ku copy na kupaste kienyeji lazima uwe licensed na wao na walimu wawe licensed na wao na mitihani na quality zisimamiwe na wao na mitihani watunge wao na kusahihisha wao
Kama una hela kasomeshe huko serikali uwezo huo
hakuna lolote jipya huko cambridge. machapisho yao, syllabus, na vitabu vinavyotumika viko wazi, asikudanganye mtu kuwa copyright inakuzuia chochote. inachozuia ni kutumia bila kuonyesha source. hivi unafikiri maswali ya cambridge ni tofauti nacte. cambridge, oxford, au harvard ni jina tu.
 
Watu wanamzodoa mtoa mada lakini ana haki ya kusikilizwa sio kubezwa ila sio vibaya mtu kutoa maoni yake

Kwa upande wangu hebu tuache kuongelea International school kwanza maana kwa upande wangu ni sawa na kujadili kumpa samaki mtihani wa kupanda juu ya mti.Au kuweka mzania kujilinganisha na mtu mwenye range rover wakati wewe una IST.

Mimi kiuhalisia nilisoma enzi za Nyerere mtaala ni mmoja nchi nzima hata watoto wa wakubwa tulikuwa tunasoma nao moja wapo,watoto wa Nyerere,watoto wa Malecela Marehemu Mwele na kaka yake Le Mutuz RIP na marehemu Mhe sana Magufuli japo alikuwa mbele yetu kidogo.Wote waliokuwa wanasoma International ni watu wa jamii ya Asia matajiri na watu wa mataifa ya nje iko shule moja st Constantine iko Arusha wanafunzi walikuwa wanadekezwa mno hata kufua walikuwa hawajui na kuchapwa ilikuwa marufuku.Field walikuwa wanakwenda Ugiriki wakati mwingine Nairobi Kenya.Hawa kwa sasa ada unaweza nunua gari la nguvu

Sasa huko tuache sio kwetu tulio wengi.Hebu turudi kwetu tulio wengi kunakonoga
Tuje hizi shule za English medium na shule mlizobatiza saint Kayumba kiukweli hata mimi nachanganyikiwa naona nchi yetu ilikosea toka mwanzo shauri ya kuweka siasa mbele ukweli ulio wazi Kingereza ndio kiswahili cha dunia Kiswahili ni lugha ya nyumbani.

Mimi sizifagilii sana hizi shule za English medium ila kinachofanya nipeleke watoto wangu English medium ni hali ilivyo sasa hivi Unakuta darasa moja wanafunzi wako 200 hadi mwalimu hajui majina ya wanafunzi wake hadi mwanafunzi amsalimie barabarani anamuambia unanifundisha.

Wanafunzi wanasomea chini hakuna madeksi.Kuna mtoto wa dada yangu siku moja nilimpa homework nyumbani cha ajabu akatoka kwenye meza akawa anajibu akiwa chini sakafuni niliumia sana nikajua kuwa ni sababu hakuzoea meza anajua meza kazi yake ni kulia chakula.
Walimu wamekata tamaa mishahara midogo hakuna ongezeko wala hakuna kitu kinaitwa muda wa ziada wa kazi alipwe yaani overtime.
Walimu ari ya kufundisha imepotea wanakopa kwenye vikoba na kufanya biashara zingine.

Mimi pamoja na kusoma enzi ya Nyerere lakini darasani deksi moja tulikuwa tunakaa wanafunzi watatu na darasa moja tulikuwa hatuzidi 25.

Kwa niliyoeleza hapo juu vihela vyangu pamoja na yote lazima nitampeleka mtoto wangu English medium kumuonea huruma asije ota kibiongo.Yuko mmoja anasema ada ya English medium ni shs 3m ukweli sawa zipo lakini mimi nalipa pungufu ya hapa chini ya hiyo kwa mwaka mzima sitashindwa kumsomesha mwanangu au kwa sasa nasema wajukuu zangu.
enzi za nyerere, darasa la kwanza hadi la 4 max 45, tano hadi 8/7 watoto 40, fomu 1-4 watoto 35 na fomu 5=6 watoto 25 hizi ni shule serkali na misheni toka 1956-1970, baadaya hapo sijui.
 
Bado naamini Elimu iko kwenye shule za International School tu, kule kuna world clasll education, English medium ni utapeli mkubwa sana.

International School watoto hawasomi tu just kusoma kama ilivyo English Medium, kule watoto wanafunsdishwa skills zote za maisha kama wanazo taka, na hata mtoto akiwa peke yake anataka skills fulani atatafutiwa mwalimu. Kuna mtoto fulani ni Arusha yeye alikuwa anataka kujifunza Lugha ya Kichina, ilibidi atafutiwe mwalimu wa Kichina.

- Michezo, wanaviwanja ambayo vina levo sawa na vya kuchezea ligi.

- Muziki, Wana vifaa vyote vya kujifunzia mziki.

- Michezo ya kila aina, Baiskel, Tenesi, Mpira wa miguu, Basket ball na mingin meingi na kumbuka wana walimu qualifoed kwa kila idara ya michezo.

- Mabwawa ya kujifunza kogelea,

Mfumo wa kufundishwa wanao tumia ni ule shirikishi yaani sana wanatumia discusion na presentantions ndio maana watoto wana kuwa na confidence sana kwa sababu ya presentation na discusion nyingi sana Darasani.

Njoo English Medium sasa;

English Medium zenye viwanja tu vya michezo ni za kutafuta kwa tochi, nyingi zimepewa usajiri bila kuwa na kiwanja cha michezo, Saa za michezo wanacho fanya ni kuwapa watoto mpira wakakimbizane wenyewe kwenye eneo la assembly, zingine watoto wanachezea humo humo Darasani.

- Zimejikita sana kukaririsha watoto kuongea kingereza ili kuwa brainwash wazazi.

- Homework ndio nyingi sana plus tuition, yaani mzazi analipishwa ada na pia analipiswa pesa ya tuition.

Narudia tena ukiondoa kuwakariririsha watoto kingereza hakuna kitu kingine hizi shule zina offer kwa mtoto.
Kama wazazi walinisomesha english medium, wanangu watasoma hizo international curriculum schools.
 
Kuna shule ipo mabibo inaitwa castle hills jamani sijawah Ona English medium ya kisanii ka ile aisee ina kaeneo ka sqr meter kama 1000 hiv af kana wanafunz nursery mpk standard seven machoz yalinitoka nipomkuta mwanangu pale...[emoji22]
 
Mwaka huu dogo kaanza la kwanza. Ndani ya mwezi wakaniambia ana akili zinatosha kua la 2 wakamrusha darasa.

Ana miaka 6. Yupo la 2. Wakati nina miaka 6 nilikua nasoma chekechea kwa mwalimu mjaluo
 
[emoji28]


Nyakati hiz sio kama zetu
Mkuu vijana wana akili sana zama hiz
 
kuna english medium zipo watoto wanafundishwa hadi ufugaji, nidhamu n.k, wazazi tumekuwa wapumbavu kupindukia, hatufanyi utafiti, hatufatilii, tumejikita kutafuta pesa tu masaa 24 na kuwaachia walimu watulelee watoto. Pumbavu kabisa.
 
Bado naamini Elimu iko kwenye shule za International School tu, kule kuna world clasll education, English medium ni utapeli mkubwa sana.

International School watoto hawasomi tu just kusoma kama ilivyo English Medium, kule watoto wanafunsdishwa skills zote za maisha kama wanazo taka, na hata mtoto akiwa peke yake anataka skills fulani atatafutiwa mwalimu. Kuna mtoto fulani ni Arusha yeye alikuwa anataka kujifunza Lugha ya Kichina, ilibidi atafutiwe mwalimu wa Kichina.

- Michezo, wanaviwanja ambayo vina levo sawa na vya kuchezea ligi.

- Muziki, Wana vifaa vyote vya kujifunzia mziki.

- Michezo ya kila aina, Baiskel, Tenesi, Mpira wa miguu, Basket ball na mingin meingi na kumbuka wana walimu qualifoed kwa kila idara ya michezo.

- Mabwawa ya kujifunza kogelea,

Mfumo wa kufundishwa wanao tumia ni ule shirikishi yaani sana wanatumia discusion na presentantions ndio maana watoto wana kuwa na confidence sana kwa sababu ya presentation na discusion nyingi sana Darasani.

Njoo English Medium sasa;

English Medium zenye viwanja tu vya michezo ni za kutafuta kwa tochi, nyingi zimepewa usajiri bila kuwa na kiwanja cha michezo, Saa za michezo wanacho fanya ni kuwapa watoto mpira wakakimbizane wenyewe kwenye eneo la assembly, zingine watoto wanachezea humo humo Darasani.

- Zimejikita sana kukaririsha watoto kuongea kingereza ili kuwa brainwash wazazi.

- Homework ndio nyingi sana plus tuition, yaani mzazi analipishwa ada na pia analipiswa pesa ya tuition.

Narudia tena ukiondoa kuwakariririsha watoto kingereza hakuna kitu kingine hizi shule zina offer kwa mtoto.
Tafuta hela acha kulia lia mitandaoni.

Hizo English medium zinatifautiana ubora kulingana na gharama zinazolipwa .Huwezi kufananisha shule yenye ada ya milioni 2 iwe sawa na shule wanayolipa million 7 na kuendelea .
 
Unataka mtaala wa Cambridge? Unajua unachoongea? Utalazimika kutumia vitabu vyao na kufanya mitihani yao ambayo lazima ulipie uingereza sababu wana copyright ya elimu yao na quality ya elimu yao lazima ithibitishwe na wao

Hapo ndipo ada kwa mwaka utaikuta inasoma sio chini ya milioni 18 kwa mwaka ndio maana imebaki tu kwa private sector na wanaoenda huko kusoma ni watoto wa matajiri kweli kweli sio uchwara

Elimu ya watu hasa ya kimataifa huwezi tu ku copy na kupaste kienyeji lazima uwe licensed na wao na walimu wawe licensed na wao na mitihani na quality zisimamiwe na wao na mitihani watunge wao na kusahihisha wao
Kama una hela kasomeshe huko serikali uwezo huo
Hii miyihani ya Cambridge inakubalikoa hapa Tanzania mfano katika vyuo?

Nini faida ya kufanya mitihani ya Cambridge?
 
Bora kusoma ENGLISH MEDIUM kuliko zile shule za SENTI KAJAMBA.

Wengi wenu humu ni zao la SENTI KAJAMBA, ndio maana mna wivu mnapokutana na vitoto vya chekechea vinatema yai kiulaini.

Hata watoto wenu wanasoma SENTI KAJAMBA. Mmejaa makasirikoo na gubu kali. [emoji851]

Acheni wivu nyie MASENTI KAJAMBA.
Wewe hiyo 'divisheni foo' uliipata ukiwa hizo hizo so called English medium?

Sio kila anayeongea ukweli hajapitia hizo shule bali wengine wamepitia wameona ubabaishaji tu.

Nani alikudanganya kujua kiingereza ndiyo kuwa na uelewa wa mambo? Hao hao wa english medium wanapata division zer, four nakadhalika kwenye mitihani ya kitaifa.
 
Faida ya Cambridge ni nini wakuu.
Inabidi nifanye maamuzi kama mzazi ila sina uelewa wa jambo hili
 
Back
Top Bottom