Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Na hao wanatakiwa wakasome vyuo vya nje kulinda hiyo thamani ya pesa waliyotumiaIla kuna watu wana maokoto, kuna rafiki angu kwao wako 6 na wote wamesoma St. Constantine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hao wanatakiwa wakasome vyuo vya nje kulinda hiyo thamani ya pesa waliyotumiaIla kuna watu wana maokoto, kuna rafiki angu kwao wako 6 na wote wamesoma St. Constantine.
Unaijua hadi St.Francis!Kwanini mkuu
Wewe utakuwa mwenyeji wa maji ya chai haswaaa
Actually ndyo mitaa ya home halafu madogo wamesoma hapo aisee ful adabu na academically very good....Unaijua hadi St.Francis!
Huwezi kuingia kwenye websites za shule husika na kutafuta hizo taarifa?Je bei zake wanacharjije kwa per terms na je zipo term ngapi?? Na hizi shule nikuanzia nursery mpaka secondary naomba kujua
Haya sawa chuganian,yule jamaa anachoma nyama M/chai tamu pale stand unamjua?Actually ndyo mitaa ya home halafu madogo wamesoma hapo aisee ful adabu na academically very good....
Kuna moja pale, chekechea milioni 12Huwezi kuingia kwenye websites za shule husika na kutafuta hizo taarifa?
1. Braeburn ipo nursery na secondayHabari zenu wakaka na wa dada wa jf . Habari zenu wamama na wababa na wazee wa humu .
Nichukue nafasi hii kuwauliza wazazi wa arusha ni shule gani ya international nzuri kwa secondary na nursery muongozo wenu ni muhimu sana .
Wapi pale toroka uje?? Au huku upande wa juu wa barabara karibu na bar ya mrutu 😅Haya sawa chuganian,yule jamaa anachoma nyama M/chai tamu pale stand unamjua?
Duuu wewe balaa shost!hadi majina yao unawajua? Upande wa juu.Pana choma tamuWapi pale toroka uje?? Au huku upande wa juu wa barabara karibu na bar ya mrutu [emoji28]
Ndiyo mimi nmekulia hapo....nikiongea sana utanijua 😄😄 ila kitaa kimenikuza hicho sahivi naendaga kusalimia tuDuuu wewe balaa shost!hadi majina yao unawajua? Upande wa juu.Pana choma tamu
Masters ndio wameenda nje, degree wamesoma bongo.Na hao wanatakiwa wakasome vyuo vya nje kulinda hiyo thamani ya pesa waliyotumia
Wala siwezi kukujua,me mgeni maeneo hayo kabisaaa. Now upo wapi na family yako?I mean ulikoolewaNdiyo mimi nmekulia hapo....nikiongea sana utanijua [emoji1][emoji1] ila kitaa kimenikuza hicho sahivi naendaga kusalimia tu
Sijaenda tangu last year mwezi wa 10
Wengi wanaopelekwa kwenye hizi shule, huwa hawategemei ajira, wengi wao huwa wanasimamia kampuni zilizoanzishwa na wazazi wao.Masters ndio wameenda nje, degree wamesoma bongo.
Baada hapo ni kulamba role kwa kampuni ya mzee.
Naona unataka hadi kieleweke😄Wala siwezi kukujua,me mgeni maeneo hayo kabisaaa. Now upo wapi na family yako?I mean ulikoolewa
Nipo najitafuta tuWala siwezi kukujua,me mgeni maeneo hayo kabisaaa. Now upo wapi na family yako?I mean ulikoolewa
Anataka international, hizi ni Medium. Hivi kwanini hizi shule zipo ndani ndani?ST. Fransis de Sales, Precious blood
Hata wewe Mkuu kama unajua panapopatikana choma tamu stand, na ni kanyumba tu kadogo wewe sio mchezo 😂😂Wewe utakuwa mwenyeji wa maji ya chai haswaaa
Mkuu ukute ni x wakoHata wewe Mkuu kama unajua panapopatikana choma tamu stand, na ni kanyumba tu kadogo wewe sio mchezo [emoji23][emoji23]
Hiyo ni international ?Binafsi nimesoma Angelico lipani, hutojutia.