Shule nzuri ya Kimataifa(Sekondari na Awali) mkoa wa Arusha

Shule nzuri ya Kimataifa(Sekondari na Awali) mkoa wa Arusha

Mtoto wa Bos mmoja nampata vema na huwa ananiambia ishu zake za family alifeli hapo Jeffrey academy sasa kurisit mtihani mmoja ilikuwa kama 3600,000Tsh na alitaka kurisiti kama masomo manne na nikuristi siyo kukaa darasan ni mtihani Tu utakuja kufanya.. imagine..
Ila baadaye naona aliona mtoto ubishioo mwingi akampeleka diploma canada
 
Back
Top Bottom