Jobless_Billionaire
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 3,106
- 8,101
Akikujibu nitagizo r na l zimekusaidia nini mpaka sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akikujibu nitagizo r na l zimekusaidia nini mpaka sasa
Kuna wengine wameibuka wanaongeza h mbele mfano:-Acha wasome ili watoe ujinga na wasiwe kama wale wajinga wasiotofautisha L na R waliojaa ugali kichwani kiasi cha kuandika "wai" badala ya "wahi".
Umewasahau wale wa xaxa, mambow, veepeKuna wengine wameibuka wanaongeza h mbele mfano:-
Ameamka=hameamka
Anakuja=hanakuja
Amenipa=hamenipa
Hawa wenzetu sijui wameishia darasa la ngapi?
Kabisa mkuu,uyu tatizo amekua na ujinga wake awezi kuachaHakika. Ukiwa vizuri financially hayo sio issue kabisa
Hii ipo town kabisa na wanaenda morning wanalud eveningShule za vijijini huwa wanarudi huo mda, ila shule wanaenda saa 5, wanapishana na drs la 1.
Ukiwa vizuri hiyo siyo story tena. The aim itakuwa ulichokusudia kimeelewekaKabisa mkuu,uyu tatizo amekua na ujinga wake awezi kuacha
Kabisa mkuu anataka kutuvurugia mada husika apaUkiwa vizuri hiyo siyo story tena. The aim itakuwa ulichokusudia kimeeleweka
Mkuu mtoto wa la 2 atoke nyumbani ahsubuhi arudi sa 11 jioni ikiwa hata wa darasa la sita anarudi saa kumi upo serious?
😄😄😄Acha wasome ili watoe ujinga na wasiwe kama wale wajinga wasiotofautisha L na R waliojaa ugali kichwani kiasi cha kuandika "wai" badala ya "wahi".
Kwa mtindo huu warudi saa mbili usiku kabisa🤣😅Anarudi sio analud, wajinga wakubwa nyie, mnapinga watoto kusoma ili wawe kama nyie?
Yani mtu akishachanganya R na L A na H namshusha thamani hata kama ni prof..miaka ya nyuma kidogo nilijua waandishi wabovu ni ambao shule haikuwa upande wao lakini leo hii ukiona mwandiko wa kijana mwenye diploma unajiuliza hivi huyu alienda kusomea ujinga au alienda kutoa ujinga..ni huzuni kwa kweli...uwakute sasa kwenye online TV ni unprofessional wamejaa kule mpaka editors ni mbulula hajui nn aedit nini kiende hewani.Acha wasome ili watoe ujinga na wasiwe kama wale wajinga wasiotofautisha L na R waliojaa ugali kichwani kiasi cha kuandika "wai" badala ya "wahi".
Ela badala ya hela.Kukaa kutikisa makario ili waleAcha wasome ili watoe ujinga na wasiwe kama wale wajinga wasiotofautisha L na R waliojaa ugali kichwani kiasi cha kuandika "wai" badala ya "wahi".
🤣🤣🤣🤣🤣 Hapo wanajiona wajanja kweli utaona "baxi xawa"Umewasahau wale wa xaxa, mambow, veepe
Kuna wachambuzi utasikia "Huyu ni mmoja Kati ya mchezaji mzuri" Inaboa kama nini.Hii ni moja ya machine nzuri kuitazamaEla badlands ya hela.Kukaa kutikisa makarios ili wale
Badilika na Wewe bro,kwanini unaandika Kwa rafudhi,Andika maneno yanavyopaswa kuandikwaKabisa mkuu,uyu tatizo amekua na ujinga wake awezi kuacha
Hii sasa hatarii. LolHii ipo town kabisa na wanaenda morning wanalud evening
Njoo getho uone zilivyonisaidiaizo r na l zimekusaidia nini mpaka sasa
Ni private au government?Kuna shule ipo Morogoro mjini inaitwa shule ya msingi Bungo Mlimani.
Hii shule ni kipengele sana yaani mtoto wa darasa la pili anatoka nyumbani saa kumi na mbili asubuhi anarudi nyumbani saa kumi na Moja jioni, akiwahi sana ni saa kumi jioni. Hapa mtoto anateseka sana kuanzia njaa plus uchovu, pia Kuna risky kubwa ya watoto kupotea maana wanarudi muda umeenda sana wakati mwingine mvua kubwa zinanyesha.
Ratiba ya mtoto wa darasa la pili kutoka darasani kurudi nyumbani kachelewa sana saa saba na nusu.
Kwa wenye taaluma hii mje hapa msaidie jamvi, je hii ni sawa? Na taratibu gani itumike kisheria kumdhibiti mwalimu huyu anayewatesa watoto kiafya.
Nasubiria ushauri ulio thabiti.
Najua wenye sekta hii mpo humu ndani🙏🏽
kama una nyash nitumie picha nione kama inaridhisha nije kukushughulikia vizuri bila vilainishi ushike adabuNjoo getho uone zilivyonisaidia