MWANDENDEULE
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 4,099
- 7,466
Nilijikita kumrekebisha mtoa taarifa badala ya kujibu hoja kwani alikuwa ameandika vitu vya kuumiza kichwa. Karekebisha tayari na taarifa imekaa vizuri.Mkuu mtoto wa la 2 atoke nyumbani ahsubuhi arudi sa 11 jioni ikiwa hata wa darasa la sita anarudi saa kumi upo serious?
Kwa tatizo hilo ni vyema wakaongea na uongozi wa shule hiyo kwa ufumbuzi wa tatizo.