Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 2,470
- 7,376
Hahahah nisameheni wakuuAise ata kama wee unaishi mbinguni lakini sio kwa kutukosea hivyo wanamorogoro.
Wee hapa tuna vyuo, sgr inakatiza hapa, king of the road mwenyewe yupo na tuna nyumbani lounge totoz zote unapata pale hadi wale wagawa visoda wakiume.
Moro ndio home wewe
Karibu nyumbani lounge upate bia na mbususu ya kupoza misukosuko yakoHahahah nisameheni wakuu
mzabzab Wa Moro.eeenhh.Karibu nyumbani lounge upate bia na mbususu ya kupoza misukosuko yako
Wewe ndio jinga ila hujui tuuAnarudi sio analud, wajinga wakubwa nyie, mnapinga watoto kusoma ili wawe kama nyie?
Mkuu,nenda hapo ofisini onana na mwalimu,unakwama wapi?Kuna shule ipo Morogoro mjini inaitwa shule ya msingi Bungo Mlimani.
Hii shule ni kipengele sana yaani mtoto wa darasa la pili anatoka nyumbani saa kumi na mbili asubuhi anarudi nyumbani saa kumi na Moja jioni, akiwahi sana ni saa kumi jioni. Hapa mtoto anateseka sana kuanzia njaa plus uchovu, pia Kuna risky kubwa ya watoto kupotea maana wanarudi muda umeenda sana wakati mwingine mvua kubwa zinanyesha.
Ratiba ya mtoto wa darasa la pili kutoka darasani kurudi nyumbani kachelewa sana saa saba na nusu.
Kwa wenye taaluma hii mje hapa msaidie jamvi, je hii ni sawa? Na taratibu gani itumike kisheria kumdhibiti mwalimu huyu anayewatesa watoto kiafya.
Nasubiria ushauri ulio thabiti.
Najua wenye sekta hii mpo humu ndani🙏🏽
Uyu mwalimu n wazaz wamemchoka nataka Kuonana na mwalimu wake mkuu alafu niskie atajibuje Kisha nione atua ya kuchukuaMkuu,nenda hapo ofisini onana na mwalimu,unakwama wapi?
Wahi kabla watoto hawajapata shida zaidi
Sasa kama una namba za viongozi, kwa nini usiwapigie ukatoa malalamiko yako?Wewe sasa ndio umekurupuka 😂😂😂 uyu mwalimu ana jifanya ni kichwa kibovu hamsikilizi ata mkuu wake wa shule ambae ndio boss wake je atamsikiliza mzazi?,pili kuusu no apo Umepuyanga mkuu😂😂 Nina no za viongozi wote wa mkoa morogoro mjini Kwa vijijini ila kabla ya Yote nimeomba ushauri apa pia najua Kuna watu wa sekta iyo wapo umu (wizara ya elimu) ivyo kama mada haikuusu pita kushoto mkuu🙏🏽
Wewe si umesema huyo mwalimu hamtii mwalimu mkuu? Unaenda kuonana naye ili iweje?Uyu mwalimu n wazaz wamemchoka nataka Kuonana na mwalimu wake mkuu alafu niskie atajibuje Kisha nione atua ya kuchukua
Sijaelewa point Yako apa mkuuWewe si umesema huyo mwalimu hamtii mwalimu mkuu? Unaenda kuonana naye ili iweje?
Una watoto na ungekua na watoto alafu mtoto wa darasa la pili kutoka kumi na Moja jioni au kumi na mbili usinge bwabwaja pumba kama izo mkuuAcha watoto wasome wasiwe wajinga kama wewe
Acha wasome ili watoe ujinga na wasiwe kama wale wajinga wasiotofautisha L na R waliojaa ugali kichwani kiasi cha kuandika "wai" badala ya "wahi".hela wanaandika ela,jiuzulu waandika jiuzulu,kuna mmoja yuko Arusha,kura anatamka kula.
Kuna shule ipo Morogoro mjini inaitwa shule ya msingi Bungo Mlimani.
Hii shule ni kipengele sana yaani mtoto wa darasa la pili anatoka nyumbani saa kumi na mbili asubuhi anarudi nyumbani saa kumi na Moja jioni, akiwahi sana ni saa kumi jioni. Hapa mtoto anateseka sana kuanzia njaa plus uchovu, pia Kuna risky kubwa ya watoto kupotea maana wanarudi muda umeenda sana wakati mwingine mvua kubwa zinanyesha.
Ratiba ya mtoto wa darasa la pili kutoka darasani kurudi nyumbani kachelewa sana saa saba na nusu.
Kwa wenye taaluma hii mje hapa msaidie jamvi, je hii ni sawa? Na taratibu gani itumike kisheria kumdhibiti mwalimu huyu anayewatesa watoto kiafya.
Nasubiria ushauri ulio thabiti.
Najua wenye sekta hii mpo humu ndani🙏🏽
Shule za vijijini huwa wanarudi huo mda, ila shule wanaenda saa 5, wanapishana na drs la 1.
Kuna wengine wameibuka wanaongeza h mbele mfano:-
Ameamka=hameamka
Anakuja=hanakuja
Amenipa=hamenipa
Hawa wenzetu sijui wameishia darasa la ngapi?
Kuna wachambuzi utasikia "Huyu ni mmoja Kati ya mchezaji mzuri" Inaboa kama nini.Hii ni moja ya machine nzuri kuitazama
Morogoro sio sehemu ya kuishi hiyo ni Parking ya Abood
Uyu mwalimu n wazaz wamemchoka nataka Kuonana na mwalimu wake mkuu alafu niskie atajibuje Kisha nione atua ya kuchukua