KERO Shule ya Bungo Mlimani ni changamoto, wanafunzi wanachelewa kutoka

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Hahahah nisameheni wakuu
 
Mkuu,nenda hapo ofisini onana na mwalimu,unakwama wapi?
Wahi kabla watoto hawajapata shida zaidi
 
Mkuu,nenda hapo ofisini onana na mwalimu,unakwama wapi?
Wahi kabla watoto hawajapata shida zaidi
Uyu mwalimu n wazaz wamemchoka nataka Kuonana na mwalimu wake mkuu alafu niskie atajibuje Kisha nione atua ya kuchukua
 
Sasa kama una namba za viongozi, kwa nini usiwapigie ukatoa malalamiko yako?
 
Ngoja waje st kayumba wajadili vizuri kupinga ems huku wakisahau mateso ya watoto wao na ratiba ngumu
 
He
Acha wasome ili watoe ujinga na wasiwe kama wale wajinga wasiotofautisha L na R waliojaa ugali kichwani kiasi cha kuandika "wai" badala ya "wahi".hela wanaandika ela,jiuzulu waandika jiuzulu,kuna mmoja yuko Arusha,kura anatamka kula.
 

Usikose kuja kuwasilisha hoja yako kwenye kikao kijacho cha wazazi.
 
Shule za vijijini huwa wanarudi huo mda, ila shule wanaenda saa 5, wanapishana na drs la 1.

Hata mimi, kijijini tulikuwa tuna swap. Tunaingia saa 2 tunatoka 5 wengine wakiingia muda huo, wanatoka saa 8
 
Kuna wengine wameibuka wanaongeza h mbele mfano:-
Ameamka=hameamka
Anakuja=hanakuja
Amenipa=hamenipa
Hawa wenzetu sijui wameishia darasa la ngapi?

Hao ni wahaya. Hata kabila lao wanaloita wa'aya. Wanashindwa kitamka ha.
 
Uyu mwalimu n wazaz wamemchoka nataka Kuonana na mwalimu wake mkuu alafu niskie atajibuje Kisha nione atua ya kuchukua

Hudhurieni vikao vya wazazi ni muhimu. Mambo yote kama haya, huishia huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…