Apa watu washasema sana kwenye vikao ila anafanya n kichwa ngumu,ila baada ya kuweka apa nazan watu wa idara husika wamelifanyia Kaz tokea siku Ile watoto wanawai kutoka angalau sa tisa wakichelewa sa tisa sio kama mwanzo alikua anawatoa sa kum na Moja jion au kumi na mbili