Uhakiki
JF-Expert Member
- May 18, 2017
- 7,288
- 7,704
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Elimu ya TZ ni rahisi sana, yani unaambiwa fagio tu nalo hutaki kupeleka unalalamika.Tuache ujinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Elimu ya TZ ni rahisi sana, yani unaambiwa fagio tu nalo hutaki kupeleka unalalamika.Tuache ujinga
Aisee [emoji1787][emoji3][emoji3][emoji3]Wew lipia hizo gharama yaishe bana,
Ko unataka watu msome bila kulipia? Mwisho mlalamike elimu mbovu et
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Kwa uzi huu ndiyo watampokea?
Lipa michango acha ufala
Daaaaa[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Lishikaji halina hela sasa linalialia ili eti mtoto apokelewe bila kumaliza michango
Lipa hela yote acha janjajanja.
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Msameheni aisee [emoji1787][emoji1787][emoji1787]ndoo 1-2,000/= fangio 1-1,000/= na mopper 1-3,500/=
Inabidi utoe tu hiyo 6,500/= sasa ukikataa nani akufanyie usafi? Serekali yenyewe ndo hii kama mambo muhimu kama huduma za afya unaweza kufa kwa kukosa buku 5 unategemea vifaa vya usafi watatoa?
Mkuu sio fagio tu,kumpeleka mtoto advance ili apokelewe vitu walivyoorodhesha at least uwe na laki nne ndio pesa ya chini kabisaElimu ya TZ ni rahisi sana, yani unaambiwa fagio tu nalo hutaki kupeleka unalalamika.Tuache ujinga
Heb share hivo vitu vinavyofika laki nne,Mkuu sio fagio tu,kumpeleka mtoto advance ili apokelewe vitu walivyoorodhesha at least uwe na laki nne ndio pesa ya chini kabisa
Japo umeniquote kipumbavu ngoja nikujibu tu kistaarabu,mchango wa shule aufiki hata laki 1,vitu anavyotakiwa mtoto kuripoti navyo ndio gharama,vitabu tu vinakaribia laki 2,uniform,nguo za kushindia,godoro,vitendea kazi n.k,japo ni jukumu la mzazi ila uwezo watu wametofautiana sioni haja kuanza kumbully huyo mzazi ambae mwanae amekataliwa kupokelewaHeb share hivo vitu vinavyofika laki nne,
Wote tumesoma siku hizi, wew peleka michango mtoto apokelewe, kwa hio unataka vyoo vya mtoto wako visafishwe kwa fagio ya nani?
Elimu ya TZ ni rahisi sana, yani unaambiwa fagio tu nalo hutaki kupeleka unalalamika.Tuache ujinga
Nyie UVCCM ungeserema mwingi sana.Mtoto wako alikuandikia barua umzae? Acha kusumbua waalimu. Lipa ada na michango yote unayodaiwa. Elimu ni gharama. Halafu unawezaje kutoka Mtwara hadi Dodoma huku ukijua hujakamilisha michango? Hiyo shule ni ya ukoo wenu kwamba utapokelewa? Kila siku tunalalamika kuburuzwa na watawala halafu hapohapo hatutaki kusomesha watoto...!! Mleta uzi acha upuuzi.
Awali naomba unisamehe kama unahisi nimekuquote kipumbavu,Japo umeniquote kipumbavu ngoja nikujibu tu kistaarabu,mchango wa shule aufiki hata laki 1,vitu anavyotakiwa mtoto kuripoti navyo ndio gharama,vitabu tu vinakaribia laki 2,uniform,nguo za kushindia,godoro,vitendea kazi n.k,japo ni jukumu la mzazi ila uwezo watu wametofautiana sioni haja kuanza kumbully huyo mzazi ambae mwanae amekataliwa kupokelewa
Nitolee upuuzi hapa. Mimi sio UVCCM na pia nilisoma wakati elimu haikuwa bure. Nimesoma shule hadi chuo kikuu cha serikali na mkopo nilipata 100% kutokana na kutoka familia ya kawaida sana. Ninachoongea nina uhakika nacho. Watu wanakwepa majukumu yao kifala. Hakuna haja ya kubembeleza.Nyie UVCCM ungeserema mwingi sana.
Unahisi watu wote wanafanana kipato au Kila siku inakuwa kama Jana?
Acheni ujuaji mwingi nyie watoto.
Kwanini kukawepo Kaya zinazohudumiwa na miradi ya TASAF?
Unafikiri huko serikalini wangewaza kama ninyi mifuko hiyo ingekuwepo?
Zamani walikuwepo wanaolipiwa na halmashauri pia sababu walijua changamoto kama hizi.
Una uhakika wa nini? Uhakika kwenye kipato cha watu wengine?Nitolee upuuzi hapa. Mimi sio UVCCM na pia nilisoma wakati elimu haikuwa bure. Nimesoma shule hadi chuo kikuu cha serikali na mkopo nilipata 100% kutokana na kutoka familia ya kawaida sana. Ninachoongea nina uhakika nacho. Watu wanakwepa majukumu yao kifala. Hakuna haja ya kubembeleza.
Hakutumwa amzae huyo mtoto. Awajibike kugharamia elimu ya mtoto wake na sio vinginevyo.Una uhakika wa nini? Uhakika kwenye kipato cha watu wengine?
You are very inconsiderate person.
Hauna connection ya Mpwayungu Village? Mtafute huyo, atakusaidia.Habari Watanzania,
Nawasalimu kwa jina la muungano..
Nina kero yangu haswa kwa shule za advance wanaopokea kidato cha tano Walimu wakuu wanachukua maamuzi ya kukataa kumpokea Mtoto ikiwa tu hajamaliza michango na vifaa vingine kama vile vya usafi ukiangalia umbali uliotoka na Mtoto ni mbali sana.
Mfano mimi mwanangu kapangiwa Kibaigwa Girls iliyopo Dodoma, Mwalimu mkuu na makamo Mkuu wa shule wamenigomea kumpokea Mtoto kisa nimelipia nusu ya pesa za michango na sijakamilisha vifaa vya usafi ukizingatia nimetokea mkoa wa Mtwara
Sijui cha kufanya, naomba waziri husika kufuatilia hili jambo, wazazi tunashindwa kuwapeleka shule mapema watoto kutokana na hizi changamoti.
Naomba kuwasilisha
🤝